Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Na mpaka tumfikie maalimu seif, maana alijaza maruhani wake pale Ubungo plaza, tunahitaji maelezo yake ya kina, kwa nini alitenda vile?
 
But, yawezekana napata shida kuunganisha dots. Hivi ni kweli CUF ndiyo great threat kwa CCM? I'm just curious, I guess there is something wrong within CUF itself, I'm not happy with what happens to CUF but I think the party members should open up the box and see what eats them inside
Dats how it is...kuna tatzo ndani kwa ndani cuf penyewe
 
Wabunge Wa cuf msimkubali huyo mnafiki hakupigana Na nyinyi vitani alikuwa Na adui yenu siku zote Sheria ya Vita ni kumpigania uliyepigana naye vitani huyo yuko kwa ajili ya lumumba 2020 atawaacha tena simamieni haki yenu msije juta 2020 hajui machungu yenu wakati Wa Vita yeye hata kushuhudia akushuhudia alikuwa Rwanda wabunge wengi mnajua ni nguvu ya ukawa ata huyo sakaya akuwa Na ubavu Wa kumwangusha kapuya au maftaa akuwa Na ubavu Wa kumwangusha mujri bila ukawa nyinyi kama wanajeshi mnatakiwa kumpigania uliyepigana naye vitani nawashauri tu Maalim seif ndio aliwaongoza kwenye Vita mkashinda Na mnajua humuhimu wake cuf huyo jamaa anawauza 2020 mtajuta Na siyo mbali
Umesahau, kuwa professor aliondoka cuf kwa kuchukia tendo la kuleta mgombea urais el ambaye kipindi chote mlimtuhumu kuwa fisadi. Tatizo liko wapi prof. kukwepa kula matapishi ya kuenzi mtuhumiwa wa ufisadi?
 
Kwa jinsi mambo yanavyoendea siasa za nchi hii...unaweza ukaambiwa DK slaa naye ni katibu mkuu halali..!
Weee hawawezi kuthubutu, CHADEMA namba ingne, si tutamalizia ule mkono wake m1 uliobaki
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Niliwahi kuuliza humu CUF Lipumba yuko peke yakeau ana wafuasi?

naona kumbe kina Mtatiro hawajui wanachofanya


Halafu Mtatiro nae kahamia Zanzibar?
Hahahahaa The Boss huu mchezo hauhitaji hasira.. wakina Mtatiro badala ya kukaa pembeni ndio kwanza amehamia Zanzibar kutumika vizuri na Sefu...
 
Hatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa, ambaye kisheria ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa!...

Katika kauli yake, kasema hii ni hatua ya kawaida katika kusuka chama ili kiendane na wakati na kujipanga kwa uchaguzi wa meya Kinondoni na Ubungo, na uchaguzi mkuu wa 2020...

Pia, Prof. Lipumba kawaonya wabunge wa CUF kuacha kurukia mambo na kasema watii katiba, sheria, na kanuni za chama hicho vinginevyo watapoteza nafasi zao

Hayo yakiwa yanaendelea kwa upande mwingine viongozi wa mpito wakiongozwa na Mtatiro na Maalim Seif wameitisha baraza kuu itakayofanyika siku ya Jumanne Zanzibar ili kutoa kauli ya pamoja ya kupinga maamuzi ya Jaji Mtungi
Mimi nilishaacha kujitambulisha kama msomi mbele ya jamii,maana mambo tunayofanya wasomi wa nchi hii afadhali ata wazee wetu ambao walisoma ngumbaro.
 
Kweli mzaha mzaha hutumbua usaha, CUF hiyooo inazamishwa kwenye Mkondo wa Nungwi

[HASHTAG]#SiasaMchezoMchafu[/HASHTAG]
 
CCM pekee ndo chama imara Tanzania, wengine malengo binafsi yamewatawala. Msakila KABENDE
 
Next move Lipumba atamtimua Seif. Kama mwenyekiti wa chama uwezo wa kumtimua katibu mkuu anao eg Mbowe vs Slaa/ Zitto.
 
Huyu mzee simuelewi kabisa si ni profesa mkubwa kabisa mbona anafanya mambo ya kiundawazimu kabisa,ameamua kukiua chama maana mpk sasa chama kitakuwa kimegawanyika kwa upuuzi anaofanya huyu mzee
 
Lipumba Anafanya Alicho Ambiwa Kufanya na Waliomtuma,ila Yatakwisha Haya!
Na Hapa Ndipo Ninapo Wapendea CHADEMA!
Chama Kikiongozwa na Wasomi Wengi na Kuwa Wanachama Wengi Waliopitia Shule,Ujinga Kama Huu Hauwezi Kuwepo!
Ashakum Si Matusi:
Kuna Muda Huwa Nawaza Kuwa Matatizo Mengi Yanayoikumba CUF,Kiundani Ukichunguza Utangudua Kuwa Inachangizwa na Uelewa Mdogo wa Wanachama Wake!
Mathalani,ni Kweli Lipumba Alijiuzuru na Kuwakimbia UKAWA Katikati ya Mapigano Makali,na Barua Yake Haikujibiwa,na Ana Haki ya Kurudi Maana Mkutano Mkuu wa Chama Haukufanya Maamuzi ya Kura ya Aidha Kumrudisha au La!
Lakini,Chakushangaza,Japo Aliwakimbia Wana CUF Wakati wa Vita,Lakini Bado Kuna Wafuasi Wanamkubali!
Quite Strange!
Mtu anaejielewa na alieelimika hawezi kusapoti chadema ya sasa
 
Cuf kuweni makini. Wanataka shida zitokee ili waweze kukifutia usajili chama chenu.
Ndio maana nimesema humu MUTUNGI na watawala wenzie wanajua walichofanya...watachaa wavuruganeee..Mwisho ZNZ watakuwa na CUF yao na Tanganyika vilevile ikifikia hapo niambie kitakachofuata maana hakuna Sheria itakayoruhusu hayo mambo...
 
Jamani msajili wa vyama hana mamlaka kisheria kumrejesha anaweza kushauri ndio maana nwisho wa barua take amesisitiza mi ushauri.

Pili tayari taratibu za kichama zilifanywa hivyo ilikua no busara kwa Lipumba kusubiri busara za viongozi waliopo aidha kukubali ushauri huo am a kuukata ndipo achukue hatua. Alichokifanya mi saw a na uhaini na kitendo kinaweza pia kuchukuliwa kama uvunjifu wa sheria taratibu na kanunuzi za chama.

Prof. Lipumba anapaswa kufahamu atafanya Kazi na watu ambao ndio nguzo za chama kwa vurugu zinazoendelea no kuua chama alichokijenga mwenyewe kwa miaka mingo amepigwa virungu, mahakani na kwengine sasa anaharibu yote.

Yeti mach
Kwani wewe unafikiri hili Li-Pumba lina akili. Kaandika barua ya kujiuzulu na kuikimbia ofisi. Kama aavyosema kuwa hajajibiwa barua yake, mbona alikuwa hhudhurii kazini? Barua yake haikuomba aruhusiwe kujiuzulu, alitamka kujiuzulu na ikfuatiwa na safari ya nje ya nchi ya kazi zake binafsi. Muajiri gani atakayekuruhusu kutokuwepo ofisni kwa miezi zaidi ya tisa halafu uamaue tu kurudi ofisini. Hata hizo sheria za kazi zinaruhusu? Huyo msajili wa Chama angepelekewa audited account ya matumizi ya chama na kuonesha expenses za Li-Pumba wakati ana haha mitaani angezikubali kwa vile on his own words kwamba Li-Pumba bado aliendelea kuwa mwenyekiti wa Chama? CUF kuitisha uchaguzi mpya wa kum replace haikuwa na maana kwamba resignation yake imeshakubalika?
 
Baraza kuu linaitishwa na katibu mkuu kwa kushauriana na Mwenyekiti amabae ni Lipumba
Kina mtatiro wanaenda kuitisha kikao cha harusi tu kwa kuwa HSefu ni lazima ashauriane na Lipumba sio Mtatiro ambae hatambuliwi
Wewe upo CUF?
 
Hata kama itatokea Chama Cha Wananchi CUF kikaparaganyika hakuna mwanachama wa CUF atakayekuwa na mapenzi ya dhati kwa chama tawala.Wengi wataishi bila uelekeo lakini litakapotokea suala la C kura lazima watamwagikia upande wa upinzani.Na isitoshe watu wengi wameshaonja utamu wa Mabadiliko.Mabadiliko hayaepukiki kwa sababu dunia hairudi nyuma.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom