Naungana nawe huo ndio ukweli, maana suala LA Zanzibar sasa lipo masikioni Kwa jumuia za kimataifa. Hili litawaletea shida Kwa serikali ya Zanzibar. Cha kusikitisha sana anayetumika kuisambaratisha ni huyuhuyu aliyekuwa kila Mara akilalamika kuonewa na polisi Kutimwa na chama tawala, Leo yeye ndo yupo mbele. Haihitajiki akili kubwa sana kuona mzee wetu msomi kiwango cha PhD akifanya mambo ya kitoto, natambua Kwa usomi wake anauwezo Wa kuforesee the bad impact ahead, kila maadamu, mabomu kesha jifunga tayari kujilipua, hajali effect yoyote.
Inakera sana, ila malipo ni hapa hapa duniani, wasaliti wote wataumbuka.