Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Haaah professor, njaa ,uchwara ,uchu wa madaraka ,kibaraka wa ccm
Kweli kuna kazi nchi hii!!
Uchu alikuanao DJ pale alipo muuzia Chama ma Mvi na akuna msomi yeyote aliye leta fyoko. Isipokua Dr slaa na watanzania waliokataa upuuzi ule.
 
Kwani DJ alishauriwa na CCM ku mkaribisha Fisadi Papa?
 
Wantanzania wajinga sana sijawai kuona mtu alijiuzuru mwenyewe leo hii anashangiliwa kama mfalme ok mda utasema
 
Hivi CUF hawezi itisha mkutano mkuu na lipumba akiwepo na wakampiga tena chini kwa mara ya pili tena bara? Lipumba hawezzi kuwa na sapota wengi kuliko chama tuwe wakweli.
Labda kikao cha mamluki hakina MTATIRO na genge lake ! Lakini mkutano mkuu una zaidi ya mahaba kwa profesa lipumba ndo maana wamemrejesha. Mtetea wanyonge na mchumi nguli Afrika. MTATIRO amepewa chama wiki mbili magari 5 hazipo hii ni zaidi ya njaa sasa! Achunguzwe huyu
 
Jaman naombeni mwenye ushahidi kua anatumiwa na CCM aulete au anambie maana naskia tu anatumiwa anatumiwa bila ushahidi?
Hawa jamaa siku zote mambo yakifika shingoni hujificha kwenye chaka la kuwa fulani anatumiwa na CCM..

Yaani CCM eti ndio iliwalazimisha wampokee luwasa(matatizo). Luwasa ndio chanzo cha migogoro ndani ya CUF. Wasisingizie CCM...
 
Uchu alikuanao DJ pale alipo muuzia Chama ma Mvi na akuna msomi yeyote aliye leta fyoko. Isipokua Dr slaa na watanzania waliokataa upuuzi ule.
Hizo propaganda za kukaririshwa na mkuu wa Kitengo cha uchakachuaji na kamati za ufundi za CCM, yaani umekariri bure wakati wenzako walilipwa kwa kuwakaririsha uzushi mnakariri kizembe zembe hadi leo, Tambua kuwa CCM hakuna cha bure kila wanachofanya ni pesa, Kuwachonganisha wapinzani ni pesa, waliwanunua Slaa na Lipumba walitumia pesa kuwarubuni wakakimbia kisha Mwakyembe akimfundisha Slaa kule Serena hotel jinsi ya kuwahadaa watanzania, Lakini Slaa yeye katumia vizuri pesa zake alizonunuliwa kawekeza Canada hana mda na siasa za maji taka, lakini Lipumba yy alimaliza pesa zake Rwanda na michepuko ndipo madalali wa siasa wa CCM wakabuni mladi mpya kupitishia pesa kwa Lipumba ili wapige 10% kwenye fungu la kuwakoroga Ukawa, pesa za kutoa misaada Bukoba hawana mpaka wanachangisha wafanyabiashara, lakini pesa za kuwakoroga wapinzani na kuzuia UKUTA zipo kibao.
 
Hizo pesa anazopewa Lipumba, msajili wa vyama vya siasa ingeweza kujenga Hosptal kubwa wilaya mpya za Kigamboni na Ubungo na kuzikarabati Hosptal za mwananyamala, Temeke na ilala, kununua madawati na kutoa misaada kule bukoba na zingine kujenga nyumba za watumishi wa umma Dodoma, 'Madalali wa siasa hawana huruma wao wamekomaa na 10% juu ya pesa za kudhoofisha upinzani hawana huruma na watanzania wenzao kabsa.
 
Heeeeee umeshahusisha ukabila?????!!!!!!wewe ni kabila gani, hata uanze kuponda Wanyamwezi wote kwa mambo haya...futa usemi au kauli yako...Tkukianza kuhusisha makabila na vyama vya siasa au na siasa kwa ujumla wake tutafika kweli????
Wewe ni mjinga mnatuletea upumbavu hapa mnadhani nini wanyamwezi mna akil wew ulioni hilo baba zima halioni aibu sijui yanasomeaga ujinga eti profu
 
Naona katumwa kwa kazi nyingi ..ikiwamo hii ya umeya...anataka kuvuruga ukawa
Huyu ni kirusi akiachiwa kilaini ukawa imekosa umeya
 
Naungana nawe huo ndio ukweli, maana suala LA Zanzibar sasa lipo masikioni Kwa jumuia za kimataifa. Hili litawaletea shida Kwa serikali ya Zanzibar. Cha kusikitisha sana anayetumika kuisambaratisha ni huyuhuyu aliyekuwa kila Mara akilalamika kuonewa na polisi Kutimwa na chama tawala, Leo yeye ndo yupo mbele. Haihitajiki akili kubwa sana kuona mzee wetu msomi kiwango cha PhD akifanya mambo ya kitoto, natambua Kwa usomi wake anauwezo Wa kuforesee the bad impact ahead, kila maadamu, mabomu kesha jifunga tayari kujilipua, hajali effect yoyote.
Inakera sana, ila malipo ni hapa hapa duniani, wasaliti wote wataumbuka.
Mkuu kwa sasa Lipumba kichwani hana Akili tena kachagua pesa badala ya Akili, Ujue Lipumba hana familia yupo single ni mzee mtukutu yaani mzinzi fulani hivi anaishi na michepuko, kashindwa kuongoza familia ataweza kuyalinda hayo mapinduzi? Polisi watamlinda mpaka lini? Uliona wapi Duniani kiongozi wa chama cha siasa analindwa na polisi? Hivi vioja vipo Tanzania pekee, wanufaika wa pesa za kuchochea migogoro kwenye vyama sasa wapo busy kubuni mbinu za kupenya kwenye vyama vingine, mpaka kufika 2020 ndani ya vyama vya siasa kutakuwa na vioja kibao huku madalali wa siasa wakitajirika kupitia njia hizo.
 
Wewe ni mjinga mnatuletea upumbavu hapa mnadhani nini wanyamwezi mna akil wew ulioni hilo baba zima halioni aibu sijui yanasomeaga ujinga eti profu

Duh.....aisee, upinzani wa Tanzania uko matatizoni...duh, ipo kazi...yaani ndiyo mchukue dola kwa kauli kama hizi????!!!! dah
 
Wewe ni mjinga mnatuletea upumbavu hapa mnadhani nini wanyamwezi mna akil wew ulioni hilo baba zima halioni aibu sijui yanasomeaga ujinga eti profu
Mkuu huyo Lipumba Asili yake ni Congo ingawa huwa anazuga ni mzaliwa wa Tabora, hata Ndugu zake wengi wapo Congo na Rwanda angekuwa adui wa CCM wangechimba uraia wake lakini kwa sasa ni rafiki mpenzi wa CCM hakuna wa kumgusa analindwa na polisi kokote alipo.
 
Hizo pesa anazopewa Lipumba, msajili wa vyama vya siasa ingeweza kujenga Hosptal kubwa wilaya mpya za Kigamboni na Ubungo na kuzikarabati Hosptal za mwananyamala, Temeke na ilala, kununua madawati na kutoa misaada kule bukoba na zingine kujenga nyumba za watumishi wa umma Dodoma, 'Madalali wa siasa hawana huruma wao wamekomaa na 10% juu ya pesa za kudhoofisha upinzani hawana huruma na watanzania wenzao kabsa.
Hivi ukiulizwa utoe ushahidi wa kuonyesha Lipumba alipewa pesa utatuonyesha au ndo zile porojo za kuvutia uradi? Au unataka kutuaminisha mambo hewa?
 
NCCR -MAGEUZI ya Mrema in the making ingawa kwa staili tofauti!
mkuu unachambua kama karanga kabisa huyu Prof. na dr.slaa na lytonga mrema ni project ya mda sana ya Ccm na pia hata huyu ZZK woote hawa kwa mtazamo wangu ni mazao ya mfumo Hanikizi na paraganyifu wa Ccm nilianza kuchambua jana nikasema kama watanzania wakielewa siasa hovyo za System ya nchi hakuna haja ya kuwa ba upinzani Tanzania kwa sababu waoinzani karibu wote wananunuliwa na kununuana hivyo hatuwezi kupata chama pinzani halisi ukizingatia usemi wa mwalimu kuwa watakaoiangusha CCM lazima watoke CCM unaweza ujaelewa msingi wa hoja yangu picha kubwa ndio hii ya kinachotokea CUF na ambacho kinaweza tokea popote hata CDM lakini pia kilishatokea NCCR mageuzi huu ni muendelezo wa sinema iliyoanza hapo kale kabla hata hakujawa na upinzani Tanzania tabia ya wanaziasa kununuliwa na kununuana imehafifisha sana kile kilichotegemewa na wengi kuwa kama upinzani halisi Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom