Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Watu wengi wanapenda kufanya mambo kihisia tu
hawataki kutazama reality....Lipumba hata kama kanunuliwa na CCM..
akiweza kuwa na wafuasi tu basi ni tatizo
siasa ni watu na sio sheria...

Kuwa na watu siyo big deal, kama sheria na kanuni za chama haziko upande wako. Kama kuwa na watu tu ndiyo kilakitu Zitto asingeshindwa dhidi ya Chadema. Tatizo la CUF ni kwamba walifanya procedural mistake wakati Lipumba kaandika barua ya kujiuzulu. Walikalia barua ya Lipumba muda mrefu mpaka Lipumba akapata muda wa kutafakari/kushauriwa na kuja kuandika barua nyingine ya kubatilisha uamuzi wake wa awali wa kutaka kujiuzulu. Kisheria hapa Lipumba anaweza kuwabwaga CUF, unless CUF wathibitishe kwamba walipokea na kukubali maamuzi ya awali ya Lipumba kwa kufuata taratibu zote za chama; kitu ambacho CUF hawakufanya. Retracting your statement is legal; and Lipumba did just that, within time.
 
Nimewaza cha kuandika nimekosa. Niseme tu hii ni aibu kubwa sana kwa wasoni na wwanasiasa wote hapa nchini.
 
HAWA NDIO WAPINZANI UCHWARA... WAKIKOSA HOJA WANASEMA ANATUMIWA NA CCM..

Kama waliweza kutuaminisha kuwa Lowasa ni fisadi... Ghafla wakaanza kumsafisha... Ni kichaa pekee anaweza kuyafanya haya.
ukikua utaacha!
 
AF PICHA LIKIISHA HAPO NA DR NAYE ANARUDI KWENYE KITI CHAKE.....ILI WAMALIZANE WAO KWA WAO
Huyu hana Jeuri hiyo muSHUMBUZI ameshazoea maisha ya CANADA hawezi kumruhusu maana SLAA anafuata maelekezo ya mshumbuzi tofauti na lipumba inasemekana ni mseja
 
Hivi 'Mwenyekiti' Lipumba ndiye mwajiri wa watendaji wa CUF? Sasa CUF inaenda kuwa kama NCCR enzi za Mrema, wanagawana fito muda si mrefu.

Na huyo Msajili wa Vyama vya siasa ndio ameamua kukaza kitanzi cha kuinyonga CUF, BTW hivi hata kwa akiki za kawaida, Msajili ana mamlaka ya kumrejesha Lipumba CUF? Mbona haujawahi kutokea wakati wowote Msajili kuingilia masuala ya ndani ya Chama inapotokea migogoro na kufukuzana? Mbona ktk Vyama vingine waluotimuliwa walikimbilia Mahakamani na Mahakama ikawasikiliza? Hili la Prof. Lipumba, lina upekee gani?

The time will tell.


Vv
 
Baraza kuu linaitishwa na katibu mkuu kwa kushauriana na Mwenyekiti amabae ni Lipumba
Kina mtatiro wanaenda kuitisha kikao cha harusi tu kwa kuwa HSefu ni lazima ashauriane na Lipumba sio Mtatiro ambae hatambuliwi
Kwa hiyo kama Baraza Kuu linaitishwa kwa kushauriana na Mwenyekiti basi tayari kikao hicho ni batili ata kabla hakijafanyika.Mgogoro huu unahitaji busara, tatizo ni je Maalim Seif atakunali kushusha ego yake ili ajadiliane na Lipumba na kutafuta ufumbuzi?
 
Kuondoka kwa huyu jamaa hakukuvunja ukawa. Amerudi kiaina' Sasa anahamu ya kuuvinja kwa nguvu. Nguvu za mbavuni!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom