dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Reference?Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reference?Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Uzinduzi wa mikutano MwanzaReference?
Lipumba limekuwa lipumbavuUsikute mambo ya kadi ya Bashiru ndiyo yalikuwa maongezi yake kwa wananchi
Bashiru Ali huyu aliyepiga mabilioni kwenye project haramu ya kununua wapinzani uchwara akishirikiana na Humphrey Polepole au mwingine?Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.
Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa
1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole
Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Labda kama humjui Bashiru Ally! Au siku Mfuate Prof Shivji atakuambia Bashiru Ally ni mtu wa aina ganBashiru Ali huyu aliyepiga mabilioni kwenye project haramu ya kununua wapinzani uchwara akishirikiana na Humphrey Polepole au mwingine?
Kama ni ujamaa, basi itakuwa ujamaa wa kisoshalisti, siyo ujamaa wa kikomunisti. Nyerere hakuwa mkomunisti, ndiyo maana alicha nafasi kwa sekta binafsi kufanya kazi kwa kiasi fulani ktk jamii.Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.
Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa
1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole
Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
imekaa vizuriKimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.
Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa
1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole
Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Hii mbowe aliipiga wapi!?..ukilewa unatoa ya moyoniMbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
ongeza KabudiKimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.
Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa
1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole
Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Bashiru ni mtu safi kabisaHuyu Bashiru huyu..muda utasema
Sasa utaletaje misimamo ya kijamaa ktk nchi ya kibepari? Na kuwafananisha hao watu na Nyerere & Sokoine ni kejeli kubwa kwa viongozi hao. Ebu katafakari maisha aloishi Mwl Nyerere alafu linganisha na hao mabwenyenye ulowataja.Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.
Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa
1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole
Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Huyu chawa wala hajawahi kuwa mwanachama wa CCM wala msomi kama anavyoitwa bali msaka tonge na nyemelezi wa kawaida aliyejaa unafiki na njaa tu.Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema aliyekuwa Katibu wa CCM Dr. Bashiru hajawahi kuwa mwanachama wa CUF na hajawahi kumiliki kadi ya chama hicho.
Chanzo: ITV Dakika 45
N ikweli Lipumba amegeuka pumba na pumbavu kama wewe na bashiru wako.Lipumba limekuwa lipumbavu
Hata mbowe piaAisee naomba Lipumba aachane na siasa atunze heshima ndogo aliyobaki nayo katika Jamii.
Sawa wewe mkewe unamjua sana mumeo ila amekuficha kuwa ule mradi wa kununua wapinzani uchwara umemtajirisha sana.Labda kama humjui Bashiru Ally! Au siku Mfuate Prof Shivji atakuambia Bashiru Ally ni mtu wa aina gan
Tayari kinyeo kinakuwashaN ikweli Lipumba amegeuka pumba na pumbavu kama wewe na bashiru wako.
Chako kinanuka hata hakiwezi kuwasha kwani kilishachomwa na kuchomeka hadi una hisia. Tatizo ni kwamba kwa vile wewe ni mseeenge unadhani kila mtu akiwamo baba yako kama mimi ni sawa na wewe. May you perishiiiiTayari kinyeo kinakuwasha
Heshima gani?Aisee naomba Lipumba aachane na siasa atunze heshima ndogo aliyobaki nayo katika Jamii.