Prof. Lipumba: Dkt. Bashiru hajawahi kuwa mwanachama wa CUF wala kumiliki kadi

Prof. Lipumba: Dkt. Bashiru hajawahi kuwa mwanachama wa CUF wala kumiliki kadi

Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.

Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa

1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole

Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Bashiru Ali huyu aliyepiga mabilioni kwenye project haramu ya kununua wapinzani uchwara akishirikiana na Humphrey Polepole au mwingine?
 
Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.

Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa

1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole

Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Kama ni ujamaa, basi itakuwa ujamaa wa kisoshalisti, siyo ujamaa wa kikomunisti. Nyerere hakuwa mkomunisti, ndiyo maana alicha nafasi kwa sekta binafsi kufanya kazi kwa kiasi fulani ktk jamii.
 
Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.

Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa

1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole

Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
imekaa vizuri
 
Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.

Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa

1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole

Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
ongeza Kabudi
 
Kimsingi Bashiru Ally anachowakera CCM ni itikadi yake, Bashiru ana Unyerere mwingi.

Kwangu mimi sijaona tofauti katika watu hawa

1. Mwalimu Nyerere
2. Sokine
3. Magufuli
4. Bashiru Ally
5. Polepole

Hawa wanaitikadi za kijamaa kwa % kubwa hivo wanafanana sana katika misimamo yao.
Sasa utaletaje misimamo ya kijamaa ktk nchi ya kibepari? Na kuwafananisha hao watu na Nyerere & Sokoine ni kejeli kubwa kwa viongozi hao. Ebu katafakari maisha aloishi Mwl Nyerere alafu linganisha na hao mabwenyenye ulowataja.
 
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema aliyekuwa Katibu wa CCM Dr. Bashiru hajawahi kuwa mwanachama wa CUF na hajawahi kumiliki kadi ya chama hicho.

Chanzo: ITV Dakika 45
Huyu chawa wala hajawahi kuwa mwanachama wa CCM wala msomi kama anavyoitwa bali msaka tonge na nyemelezi wa kawaida aliyejaa unafiki na njaa tu.
 
Labda kama humjui Bashiru Ally! Au siku Mfuate Prof Shivji atakuambia Bashiru Ally ni mtu wa aina gan
Sawa wewe mkewe unamjua sana mumeo ila amekuficha kuwa ule mradi wa kununua wapinzani uchwara umemtajirisha sana.
 
Tayari kinyeo kinakuwasha
Chako kinanuka hata hakiwezi kuwasha kwani kilishachomwa na kuchomeka hadi una hisia. Tatizo ni kwamba kwa vile wewe ni mseeenge unadhani kila mtu akiwamo baba yako kama mimi ni sawa na wewe. May you perishiiii
 
Back
Top Bottom