Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
Mlizungumza haya kwa Lowassa wakati yupo ccm, sasa hivi mnamsafisha.

Lipumba ana haki ya kuhamia chama chochote kile....mengineyo ni kejeli tu dhidi yake.

Mnasema Lipumba anang'ang'ania uenyekiti, ila Mbowe hang'ang'anii uenyekiti.

This is double standard
Tulia tulia tulia
 
Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.

Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Bora shetani ampeleke huko huyo lana sumaka
 
Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.

Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Ahahahahaha! Molemo naona umeibuka kuwa msemaji wa ACT-Wazalendo.
 
Lipumba na zzk ...bhara bhara moya wachu...ukifika tabora tayari unakuwa umeshakaribia khigoma...kwa akina mwidiye ...ulakomeye....Act ni chama cha waha ...hahahaaa....kwa ubishi wale watu wamebarikiwa sana aisee ..kama wakinga vile
 
Ha ha ha! Siasa noma sana,

Nikiangalia hizi mambo za Dr Slaa Msaliti, Lipumba Msaliti, Zitto Msaliti; Lowassa fisadi then, Lowassa siyo fisadi ni mfumo!

Lipumba anaondoka CUF kwamba nafsi imemsuta, kesho anataka kurudi, imeshindikana, anatafuta chaka lingine.

Namwomba Rais wangu Dr Slaa apumzike zake, aachane na ulaghai na unafiki huu wa ACT, CDM, CCM, NCCR nk!
Sasa wewe mtusi mambo ya Tanzania yanakuhusu mini tuacheni na nchi yetu tujadiri yetu. Mbona Mwa nya Rwanda hamuishi kutufata fata
 
Aende akaendrlee na utapeli wa kisiasa hiko. Lipumba now is not after the democracy development or anything in the plitics. Is oportunistic man. ACT be careful as you receive him.
 
Si jambo la ajabu sana kwenda huko maana wote kiitikadi (Zitto na Lipumba) ni sawa. Sale outs. Hakuna jipya. Kwa wasiolewa watashangalia lakini hii ni political strategy ya CCM kucheza na akili za watu. Ni dhahiri kuwa ACT ni CCM B na kipindi cha uchaguzi kina Slaa walipokuwa wanakaa Serena kwa siri akikutana na Mwakyembe na Lipumba kwenda vacation Rwanda halafu States sasa ni wakati wa kutumikia ruzuku waliozokula. Hamjiulizi Lipumba alikuwa wapi siku zote toka alipojiuzulu asidai ueneyekiti wake tena mpaka juzi na baada ya kuja tu CUF imesambaratika. Alikuwa kwenye mission kaitimiza.

Dhamira hapa ni kudhoofisha upinzani. Kitakochofuata Slaa nae atajiunga ACT na wale wachumia tumbo wa upinzani wote watakwenda huko pia kujifanya wanapigania nchi.

CUF tayari kuna mtafuruku ambao Lipumba ana mkono wake, CHADEMA napo hakukaliki kina Lema na Lissu kutwa wapo lupango, mwenyekiti anadhoofishwa kiuchumi, muda si mrefu watakuwa chali. Hapo sasa ACT wataonekana ndio tegemezi la wanyonge while in reality ni decoy tu.

Come 2020 aidha Lipumba ama Slaa atasimama kugombea urais ambapo in reality itakuwa ni CCM A versus CCM B na mshindi mnajua atakuwa nani. Na hii ndio Tanzania yetu ya kidemokrasia na amani tele............................
KILA JAMBO HUWA LINA WAKATI WAKE.USICHUKULIE RAHISI MAANA DUNIA HAIRUDI NYUMA.
 
Sasa huko atakuwa mbwa asie na meno chini ya kiongozi mkuu Khomeini
 
P
Uko sahihi

Usiogope kushambuliwa na mtu aliye na upande, kwani mashambulizi hayataakisi hali halisi na yatabase kwenye ushabiki.

Kwa sasa wanaomshambulia Lipumba hawana hoja, kwani wanayomsemea Lipumba nao waliyafanya na wanaendelea kuyafanya.

Hawana moral authority ya kumkemea prof
una umri gani mkuu.....?
 
Hakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
Lazima unafikiria kwa kutumia masaburi wewe. Takwimu zinaonesha kwamba kila akigombea uraisi kura zilikuwa zinashuka badala ya kuongezeka.maana yake Ni kwamba wafuasi wake walikuwa wanapungua.Na kwa jinsi alivyo likoroga ndio kabisa kabaki na wajinga wachache sana.simply hana mtaji.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom