Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tulia tulia tuliaMlizungumza haya kwa Lowassa wakati yupo ccm, sasa hivi mnamsafisha.
Lipumba ana haki ya kuhamia chama chochote kile....mengineyo ni kejeli tu dhidi yake.
Mnasema Lipumba anang'ang'ania uenyekiti, ila Mbowe hang'ang'anii uenyekiti.
This is double standard