Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Act ni mtoto wa ccmLakini si vikao vya ndani na nje vya vyama vya siasa vimepigwa marufuku? Au ACT wana kibali maalumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Act ni mtoto wa ccmLakini si vikao vya ndani na nje vya vyama vya siasa vimepigwa marufuku? Au ACT wana kibali maalumu?
Cc:mcubicSasa anaogopa nini wakati wao wote wanafanana
Lipumba Msaliti
zitto Msaliti
ACT---Chama cha wasaliti
Kuingia lipumba act ndio kufungua mlango kwa kitila kung'olewa na kutupwa njeZito awezi kugombea urais hiyo nafasi ni lipumba kwa sababu anajua awezi shinda ili wawe Na mgombea wa kudumu lazima wawe Na lipumba kama kitilya alivyokataa kugombea kwa kuwa akuwa Na maslai Na zito hivyo hivyo zito ataendelee kugombea ubunge tu maana awana uhakika Na mbunge mwingine
Cuf wamepata wabunge wengi wakati lipumba hayupo cuf hivyo hii taarifa yako ni ya uongo na upotoshaji mkubwaMkuu kiujumla Tanzania hakuna upinzani unao jitambua.Huwezi kucheza kamali katika siasa,kamali inachezwa mpirani tu.Wapinzani mpaka sasa wanabanwa sana na mtukufu na huku wanagawanyika pia.
Kuondoka kwa Lipumba Cuf ndio kuondoka kwa Cuf Tanganyika.Jalibu tu kufanya tathmini ya haraka nguvu lipumba aliyonayo mikoa ya pwani,na pia angalia watu walioukuwa wanamsapoti liprofeseli kama Magdalena Sakaya na Kambaya hawa wote ndio walioukuwa wanategemewa na Cuf.
Tujiandae tu kuona Chadema ikitafuta Muunganiko na ACT ili kutotawanya kura za wale jamaa wa mikoa ya pwani.Chadema na Ukawa kiujumla kamali waliyocheza yakumpokea Edo itawaghalimu sana,labda uongozi wote wajuu ujiuzuru upishe watu wapya.
CCM ni genge hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu lakini upinzani wenyewe huu wakina Edo,Sumaye,Lipumba kamwe hautoweza kuwaondoa CCM madarakani.Vyama tu vihangaike kuongeza ruzuku.
Lipumba sasa keshapotea kama yule aliyekuwa mbunge wa maswaMuda utasema, acha tusubiri ataongeza nguvu gani ACT! Mtu aliyekuwa mwenyekiti wa CUF kwa miaka karibu 20 na mkashuhudia CUF ikipotea bara hadi kuzimia kama si kufa leo atarajiwe kufanya mabadiliko tena baada ya kusaliti chama chake cha zamani hawezi kufanya tofauti zaidi ya kuleta mfarakano pia huko atakakowenda.
Mcubic ndugu yangu jiandae kufurumushwa kutoka act maana lipumba ni zaidi ya msambaratishajiNaona wakwepa kodi misuli imewashupaa.
Lowasa ni bonge la kiongozi hapa tanzania huwezi kumlinganisha na hao wasaka tongeLowassa nae ni mgombea wa kudumu CDM.
Ebu tuombe radhi wana cdm kwa kuiingiza kwenye vyama kama hivyo hapo juuHa ha ha! Siasa noma sana,
Nikiangalia hizi mambo za Dr Slaa Msaliti, Lipumba Msaliti, Zitto Msaliti; Lowassa fisadi then, Lowassa siyo fisadi ni mfumo!
Lipumba anaondoka CUF kwamba nafsi imemsuta, kesho anataka kurudi, imeshindikana, anatafuta chaka lingine.
Namwomba Rais wangu Dr Slaa apumzike zake, aachane na ulaghai na unafiki huu wa ACT, CDM, CCM, NCCR nk!
Mkuu huyo ni kijukuu wa ccmMbona unaongea vitu tofauti na tulivyoona kwenye uchaguzi wa mwaka Jana??
Hongera Sana kwa point muruwaMtu aliyeshindwa kukipatia chama chake hata diwani katika jimbo alilozaliwa?
Anajuta sasa na ndio keshapotea kisiasaNadhani Prof Lipumba alivuta CCM hela nzuri Oktoba ile na hii imeondoa sana heshima yake
Ni ukabira tu hapoNikweli lakini tambua wapo wafuasi uchwara wa mtu au walio kuwa wananufaika nae lazima waongozane nae atakapoelekea.
Jaribu ujiulize hivi Magdalena Sakaya(Mbunge wa Kaliua) ananufaika na nini kwa kuwa upande wa Liprofeseli?.
Yule mama alishajitabiria haya yote baada ya kusema anamrudia mungu na kuanza kumtumikia mungu kwa ukaribuSio bure,kuna jambo,naona mwenyekiti ataondolewa wadhifa.Unakaribisha mtu baada ya muda anakufukuza wewe.
Act siyo chama cha upinzaniHii kamati kuu ni sawa na mkutano mkuu wa tawi wa CHADEMA..... Tafadhali CHADEMA/UKAWA wasaidieni hawa jamaa Magufuli ataviua hivi vyama
Mmawia pumzika kuliply comment za watu hauchoki?.Cuf wamepata wabunge wengi wakati lipumba hayupo cuf hivyo hii taarifa yako ni ya uongo na upotoshaji mkubwa
Mkuu Luhanyula najua kabisa hilo jina ni la kwetu kule kwenye migebuka ndio maana umechangia kila post kwenye uzi huuMmawia pumzika kuliply comment za watu hauchoki.