Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
Ahamie TLP kule hata mwenyekiti wao sio mpinzani.
 
Zito awezi kugombea urais hiyo nafasi ni lipumba kwa sababu anajua awezi shinda ili wawe Na mgombea wa kudumu lazima wawe Na lipumba kama kitilya alivyokataa kugombea kwa kuwa akuwa Na maslai Na zito hivyo hivyo zito ataendelee kugombea ubunge tu maana awana uhakika Na mbunge mwingine
Kuingia lipumba act ndio kufungua mlango kwa kitila kung'olewa na kutupwa nje
 
Mkuu kiujumla Tanzania hakuna upinzani unao jitambua.Huwezi kucheza kamali katika siasa,kamali inachezwa mpirani tu.Wapinzani mpaka sasa wanabanwa sana na mtukufu na huku wanagawanyika pia.

Kuondoka kwa Lipumba Cuf ndio kuondoka kwa Cuf Tanganyika.Jalibu tu kufanya tathmini ya haraka nguvu lipumba aliyonayo mikoa ya pwani,na pia angalia watu walioukuwa wanamsapoti liprofeseli kama Magdalena Sakaya na Kambaya hawa wote ndio walioukuwa wanategemewa na Cuf.

Tujiandae tu kuona Chadema ikitafuta Muunganiko na ACT ili kutotawanya kura za wale jamaa wa mikoa ya pwani.Chadema na Ukawa kiujumla kamali waliyocheza yakumpokea Edo itawaghalimu sana,labda uongozi wote wajuu ujiuzuru upishe watu wapya.

CCM ni genge hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu lakini upinzani wenyewe huu wakina Edo,Sumaye,Lipumba kamwe hautoweza kuwaondoa CCM madarakani.Vyama tu vihangaike kuongeza ruzuku.
Cuf wamepata wabunge wengi wakati lipumba hayupo cuf hivyo hii taarifa yako ni ya uongo na upotoshaji mkubwa
 
PPT MAENDELE walishai k usimamisha mgombea kwa nafasi ya urais bi cloudiana senkolo mwaka 2005 kwahyo huyu mama WA ACT sio WA kwanza ,nilikuwa naweka hansadi vizuri tu mkuu
 
Muda utasema, acha tusubiri ataongeza nguvu gani ACT! Mtu aliyekuwa mwenyekiti wa CUF kwa miaka karibu 20 na mkashuhudia CUF ikipotea bara hadi kuzimia kama si kufa leo atarajiwe kufanya mabadiliko tena baada ya kusaliti chama chake cha zamani hawezi kufanya tofauti zaidi ya kuleta mfarakano pia huko atakakowenda.
Lipumba sasa keshapotea kama yule aliyekuwa mbunge wa maswa
 
Ha ha ha! Siasa noma sana,

Nikiangalia hizi mambo za Dr Slaa Msaliti, Lipumba Msaliti, Zitto Msaliti; Lowassa fisadi then, Lowassa siyo fisadi ni mfumo!

Lipumba anaondoka CUF kwamba nafsi imemsuta, kesho anataka kurudi, imeshindikana, anatafuta chaka lingine.

Namwomba Rais wangu Dr Slaa apumzike zake, aachane na ulaghai na unafiki huu wa ACT, CDM, CCM, NCCR nk!
Ebu tuombe radhi wana cdm kwa kuiingiza kwenye vyama kama hivyo hapo juu
 
njaaa mbaya. akakutane na msaliti mwenzie
 
Nikweli lakini tambua wapo wafuasi uchwara wa mtu au walio kuwa wananufaika nae lazima waongozane nae atakapoelekea.

Jaribu ujiulize hivi Magdalena Sakaya(Mbunge wa Kaliua) ananufaika na nini kwa kuwa upande wa Liprofeseli?.
Ni ukabira tu hapo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom