Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema atangaze umma ujueNa mimi nitamshauri Mh. Zitto tuhamie CCM
Wewe tangu wana cdm walivyo kuminya na ukaukosa udiwani Arusha imekuwa nongwa?Chadema ni dini gani mkuu?
Kumbuka kuwa alishalipia kadi ya cuf hadi 2020rekebisha heading huyu mzee si mwanachama wa chama chochote kwa sasa so atajiunga na wala si kuhamia halaaaaaaaaaaaaa
AmeeeeeenHili halihitaji tochi,maana Mkuu wao alipoingia UKAWA akaona ndio nafuu,kumbe anapukutishwa.
CUF rest in Peace
Hata hiyo nuru ya chama ataukosa ubunge piakama ni kweli huko anaenda tu kutafuta jukwaa la kusemea. hana mvuto tena, na kama ACT-wazalendo watamsimamisha kugombea urais 2020 wasitarajie ushindi katika urais wala wabunge.wajiulize kwa nini miaka yote ambayo amegombea urais wananchi hawakuhamasika kumpa kura nyingi wala kupata wabunge wengi tanzania bara.
Mkuu Mmawia mie ngoja niendelee kukusoma maana kukoment huwa si mpenzi sana.Halafu mie natokea Marangu.Mkuu Luhanyula najua kabisa hilo jina ni la kwetu kule kwenye migebuka ndio maana umechangia kila post kwenye uzi huu
Mbona huwasemi ma cia waliopo ccm kutoka cdm?Hii ni kama itakavyotokea baada ya Kumgundua EDDO kama ni CIA wa ccm.
Acha muda uongeee
Ebu wacha masihara wewe kalumanziraMkuu Mmawia mie ngoja niendelee kukusoma maana kukoment huwa si mpenzi sana.Halafu mie natokea Marangu.
Jiandae kufukuzwa baada ya ujio wa lipumbaKumbu kumbu zinaonesha uenyekiti wa milele ni wa Mbowe mkwepa kodi.
BTW mbona hata nyie mlimchukua Lowassa baada ya kumpa matusi yote mabaya.
Nimeipenda sana hiyoHongera Pro. Lipumba, kwa kujitambua " Birds of same Feathers", Hivyo ACT lazima wakupe Uenyekiti " uliouzowea" la sivyo haitanoga. Au bora nenda ADC kwa Hamad Rashid lakini huko usiliie cheo,hupati na hawakupi.
Hilo labda hulijui weweZitto, Lipumba na Slaa walikuwa watu wa ccm kitambo sasa kama wataungana sijui itakuwa ni ccm 2! Wanajua wenyewe...
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kwenye huu uzi?Au Mbowe, mbona ni yeye tu kwenye uenyekiti?
Nyani haoni kundule.....
Wanasiasa wote ni power mongers
Punguza ukali basiIla nyie mnaochukua maccm sio wasaliti?
Nyani haoni kundule
Watatoana macho maana kila mtu anataka ukubwasafi sana....hapo ndio saaafi ...waache waende huko
Teeeeeeeh, Teeeeeeeeh, TeeeeeeeehKaribu ACT dr Slaa, haya ni maneno ya kejeli ya wakwepa kodi
Maalim seif kastukia diliNjama za kumtumia kuvuruga CUF zimeshindwa,hongera wana Cuf kwa msimamo thabiti