Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Anatafuta umaarufu kupitia Tundu!!... atafute mke kwanza awe na familia akili imtulie. Kiongoz unagombana hovyo mambo binafsi na viongozi wenzio lichama halitulii linajifia
 
Wacha tu. Hata kulala Keko au Ukonga.
Watatubu hayo mazingira waliyoyajenga ya "uharakati"
 
Propesa pumba ktk ubora wake, akili ilishagandamana na tope kabisa maskini!
Uliwahi kuona wapi propesa anakaa buguruni malapa😛
 
Jibu hoja yake .Je kupigwa risasi ni sifa?

..Kupigwa risasi ni sifa kama unataka kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

..Askari na watu wa Usalama wanaheshimu zaidi kiongozi aliyepitia BATTLE EXPERIENCE kuliko ambaye hajapitia.
 
Prof. Lipumba wakati anajibu maswali mbalimbali ya Waandishi wa Habari amemlipua Tundu Lissu kuwa ajue kupigwa risasi siyo sifa ya kukufanya uchaguliwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Prof. Lipumba amesema kwenye sifa za mtu kuwa Rais wa Tanzania kupigwa risasi haipo, hivyo Lissu angeendeleza sera za kuwaunganisha Watanzania na kuwaletea maendeleo na siyo kuimba kupigwa risasi kila siku.


Lipumba sema chochote kuhusu Lissu lakini yeye ni shujaa kuliko wewe maana aliumizwa kwa kusimamia aliyoyaamini na si wewe uliyetumiwa kuwasaliti wana mageuzi wenzako hadi chama kinakufia mkononi.
 
Prof. Lipumba wakati anajibu maswali mbalimbali ya Waandishi wa Habari amemlipua Tundu Lissu kuwa ajue kupigwa risasi siyo sifa ya kukufanya uchaguliwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Prof. Lipumba amesema kwenye sifa za mtu kuwa Rais wa Tanzania kupigwa risasi haipo, hivyo Lissu angeendeleza sera za kuwaunganisha Watanzania na kuwaletea maendeleo na siyo kuimba kupigwa risasi kila siku.


Lipumba anajua sana, hii hoja Tundu Lissu itamfikirisha sana mara mbili mbili kugomea urais maana mara ile alipomaliza kampeni na uchaguzi kuisha ata hakupita kwa wananchi kusema chochote alitimkia zale belgium hakuwapa wananchi breafing yoyote wala shukuran zozote wala chochote ni kama vile alirudi kusaka urais tu akikosa arudi uhamishoni.

Na hata sasa ametakiwa kurudi kwa taabu amekaa wiki 1 tu, kadai madaktari wanamuita amerudi zake huko huko
 
..Kupigwa risasi ni sifa kama unataka kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

..Askari na watu wa Usalama wanaheshimu zaidi kiongozi aliyepitia BATTLE EXPERIENCE kuliko ambaye hajapitia.
Hiyo sifa haipo kwenye katiba ya muungano wa Tanzania
 
Lipumba anajua sana, hii hoja Tundu Lissu itamfikirisha sana mara mbili mbili kugomea urais maana mara ile alipomaliza kampeni na uchaguzi kuisha ata hakupita kwa wananchi kusema chochote alitimkia zale belgium hakuwapa wananchi breafing yoyote wala shukuran zozote wala chochote ni kama vile alirudi kusaka urais tu akikosa arudi uhamishoni.

Na hata sasa ametakiwa kurudi kwa taabu amekaa wiki 1 tu, kadai madaktari wanamuita amerudi zake huko huko
Malinda yaliwasha akatimuka, madaktari ni kisingizio tu
 
Hiyo sifa haipo kwenye katiba ya muungano wa Tanzania

..Ni sifa ya ziada.

..askari anayetumwa vitani ataheshimu maagizo ya amiri jeshi aliyeumia kwa kupigwa risasi, kuliko amiri jeshi aliyeumia wakati akikata vitunguu jikoni.
 
..Ni sifa ya ziada.

..askari anayetumwa vitani ataheshimu maagizo ya amiri jeshi aliyeumia kwa kupigwa risasi, kuliko amiri jeshi aliyeumia wakati akikata vitunguu jikoni.
Onyesha hicho kipengele kwenye katiba yetu
 
..Ni sifa ya ziada.

..askari anayetumwa vitani ataheshimu maagizo ya amiri jeshi aliyeumia kwa kupigwa risasi, kuliko amiri jeshi aliyeumia wakati akikata vitunguu jikoni.

Lisu siyo askari aliyetumwa vitani
 
Back
Top Bottom