Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Nonsense!kwani wale si wabunge wa ccm wenye kadi ya cuf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsense!kwani wale si wabunge wa ccm wenye kadi ya cuf?
Machadema mnaumiaaaaaa!!
Mnamlaumu Lipumba kwa jambo gani hasa!?Sasa unategemea wale wataenda ccm? Kuna wabunge wa cuf wamepata kura kwa mgongo wa chadema ndani ya ukawa mm mwenyewe nilipigia kura diwani na mbunge wa cuf kwa kuwa wapo ukawa bila hivyo kura yangu ilikuwa inaenda chadema leo lipumba anapora haki yao na kura yangu kirahisi hivyo akishirikiana na ccm wakati alienda kura bata rwanda.
Sasa kwa nini maoni yako yanaegemea kwa maalim sefu tu?Mimi sina kadi ya chama chochote cha siasa.
Natoa maoni kama mwananchi asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cuf ina nini jamn bora ata ungesema chadema cuf mbona weupe kabisa.Habari wana jamvi.
Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.
Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.
Get tunned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili nyingi za prof,sio mtu wa mchezo mchezoJamani hivi huyu Profesa ndo huyu tunayemfaham ama mwingine?Huyu mzee kiukweli anatia hasira sana basi tu
View attachment 582136huyu jamaa huyuuu
Nadhani akiwafukuza ndiyo itakuwa pouwa zaidi
Halafu apungukiwe ruzuku?