Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,718
- 15,347
Hahahahahahaha lol nimejikuta nacheka kwa sauti kwa jibu lakoUsipate shida mkuu. Seif si katwambia ataapishwa "hivi karibuni"?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahaha lol nimejikuta nacheka kwa sauti kwa jibu lakoUsipate shida mkuu. Seif si katwambia ataapishwa "hivi karibuni"?
if you can't beat them, join them - Wiktionarykureconcile na jamaa ni sawa na kutafta suluhu na aliyezini na mkeo
Ingekuwa Kenya huyu sasa hivi tungekuwa tumeshaanua matanga!!Ivi huyu Propesa mbona anazingua sana hivi.
Halafu watu wakorofi mara nyingi wanaishi miaka kibao aisee
Habari wana jamvi.
Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.
Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.
Get tunned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamvi.
Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.
Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.
Get tunned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
keshajifia huyoHao nao watapoteza ubunge kirahisi rahisi tu.....nimemsikia Ndugai asubuhi akiwakejeli wanaomwita yeye dhaifu...amesema sasa watauona udhaifu wake vizuri
Hata Dr Slaa alisifiwa hivyo hivyo na CHADEMA hii! Ph D ya u kweli, msomi zaidi etc nothing is constantNdio ni huyuhuyu ambaye hapo zamani CUF walimsifia sana.
Kuwa,
Ni msomi kuliko Watanzania wote.
Anafaa kufanya kazi Benki ya Dunia.
Raisi Museveni wa Uganda anamtegemea ktk kuimarisha uchumi wa Uganda.
Anafaa kuwa Raisi wa Tanzania.
Ndiye pekee anayeweza kuiinua nchi ya Tanzania kiuchumi na kidemokrasia.
Ndiye pekee mtetezi wa haki sawa kwa wote
nk.
Ni huyuhuyu Prof. Lipumba.
Na CUF ni hii hii.
Ni kweli awatimue tu, kama.ana.ubavuAwatimue tuu awape kete cdm
Ana mtoto alizaa na GeorgiaSijawahi kusikia kama ana watoto. Ivo laana yako imekwama labda ishike miti.....
Ilikuwa miaka ya 80 Georgia alikuwa ametengana na mumewe wakati huo kama sikosei huyo mume alikuwa anaitwa Green yeye akamzalisha baadae Green alienda mahakamaniIla sijawahi kusikia. Unamfahamu kwa jina? Thanks 4 info
Ilikuwa miaka ya 80 Georgia alikuwa ametengana na mumewe wakati huo kama sikosei huyo mume alikuwa anaitwa Green yeye akamzalisha baadae Green alienda mahakamani
You mean MBWENI???[emoji23][emoji23][emoji23]Habari wana jamvi.
Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.
Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.
Get tunned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app