Tetesi: Prof. Lipumba kuwaandikia barua ya onyo wabunge wa CUF waliotoka nje Bungeni

Tetesi: Prof. Lipumba kuwaandikia barua ya onyo wabunge wa CUF waliotoka nje Bungeni

Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Awafukuze uanachama aone kama hatakufa njaa maana haitapatikana hata senti kipande ya ruzuku, fala sana huyu mzee.
 
Unafikiri ni kwanini wabunge wa Cuf wametoka, hawamwogopi mshika mpini?
Wanaweza kua Wanamuogopa, ila pia ni watiifu kwa Maalim Seif ambae Serikali, Mahakama, Msajili, NEC etc wamemnyima au kumuondolea Power
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Machadema bana! Mko bize na ishu ya CUF yenu yanawashinda.
 
Kwa navyouona Mchezo ni wazi kua Li Pumba ndio kashika mpini, na Maalim kwenye makali. kadiri wanavyovutana basi Maalim ndio anaumia zaidi. Sababu ni kua Vyombo vyote vya dola pamoja na Bunge, Mahakama, Msajili, NEC wako nyuma ya Li Pumba.

Maalim afanye tu maamuzi magumu ya ku-reconcile na Li Pumba, otherwise aondoke na wabunge wake kuhamia CDM au kuanzisha chama kingne. Ni wazi kua kutafanyika uchaguzi mwengine ksha wananchi ndio watakaoamua
Kumbe mnataka wabunge wa maalim wahamie chadema!!!
 
Ndio ni huyuhuyu ambaye hapo zamani CUF walimsifia sana.
Kuwa,
Ni msomi kuliko Watanzania wote.
Anafaa kufanya kazi Benki ya Dunia.
Raisi Museveni wa Uganda anamtegemea ktk kuimarisha uchumi wa Uganda.
Anafaa kuwa Raisi wa Tanzania.
Ndiye pekee anayeweza kuiinua nchi ya Tanzania kiuchumi na kidemokrasia.
Ndiye pekee mtetezi wa haki sawa kwa wote
nk.
Ni huyuhuyu Prof. Lipumba.
Na CUF ni hii hii.
Kwani nyie chadema kinawauma nini? Ugomvi wa ndugu nyie mnachagua upande!!
 
Naona ccm inajiandalia kifo ukiuwa cuf ni fulsa ya chama kingine cha upinzani usitegemee washabiki wa cuf kujiunga na ccm tayar ukawa ishawaingia damuni watasubir kauli ya maalimu tu
 
Kumbe mnataka wabunge wa maalim wahamie chadema!!!

Sasa unategemea wale wataenda ccm? Kuna wabunge wa cuf wamepata kura kwa mgongo wa chadema ndani ya ukawa mm mwenyewe nilipigia kura diwani na mbunge wa cuf kwa kuwa wapo ukawa bila hivyo kura yangu ilikuwa inaenda chadema leo lipumba anapora haki yao na kura yangu kirahisi hivyo akishirikiana na ccm wakati alienda kura bata rwanda.
 
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda cuf ife bara lkn sio zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda cuf ife bara lkn sio zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
Kusudi lao nikuiuwa cuf zanzibar lakini wanasahau kuiuwa kwao cuf ni kuinufaisha ukawa maana uchaguz ujao sidhani kama wabunge waliogombea kupitia cuf watarudi kugombea kupitia cuf tena maana nadhan wanataman muula uishe wahame atakosa wabunge na kuinufaisha chadema hawafikiri
 
Mungu anaipenda Tanzania, Maalim amevunjwa miguu na mtumishi wake mwenyewe. Lipumba aliajiriwa tu na Maalim mmiliki wa Cuf, anaemilikishwa na Mwarabu aliepinduliwa Zanzibar 1964. Hasira ya kuvunja Muungano kwa kupitia chama chake cha kale enzi za ukoloni kilitwa hivi hivi kama leo yaani "Chama cha Wananchi" yaani kwa kiarabu "Hizbu" na ndio maana kwenye vikao vya siri Qatar Maalim alikutanishwa na Sultani wa Zanzibar, hiyo imetokeya baada ya Mfalme wa Qatar kuja Zanzibar tena kwa njia ya Bahari wakati wa mwisho wa Amani Karume mwaka 2009.
 
Kwanini Maalim alikutana na Sultan aliepinduliwa Zanzibar huko Qatar? Kwanini baada ya hapo Karume akamtuewa Maalim kuwa Makamu wa Rais? Kwanini Karume alimwalika Mfalme wa Qatar aje Zanzibar lakini kwa njia ya baharini tu? Kwanini baada ya hapo vikundi vya kigaidi kama UAMSHO viliwasha moto kudai Zanzibar huru wakitumia dini na kuuwa Wakristo, kuchoma makanisa? Wema wa JK haujatumiwa vibaya? Mungu ajalie tuje tupate Rais Dikteta japo mara moja.
 
Ipo haja ya kutafakari kwa pamoja UKAWA wote ni nini cha kufanya kwa LIPUMBA. Atawaumiza sana kwa sababu ni miongoni mwa viongozi wa serikali hii. Vyombo vyote vya dola vipo nyuma ya Lipumba. Analindwa, analipwa mshahara na anapewa kila kitu. Yote hayo ni kwa kazi moja tu ya kuua CUF na upinzani wote. Lipumba ameshakengeuka, yuko upande wa Shetani. Hana machungu kwa maumivu wanayopata wengine. Kama si vyombo vyote vya serikali kuwa upande wake hangeweza chochote. Anaringa kwa sababu ya nguvu ya dola aliyonayo.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom