Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba: Nichagueni Oktoba 28 niwe Rais nisimamie elimu bora na matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano

Tanzania tupo huru kwa kila kitu, isipokuwa hakuna uhuru wa ushoga

Kwa anayetaka uhuru wa ushoga aende ubeligiji
 
Utajiri wa nchi, fedha za nchi ni mali ya wananchi. Chama kilichopo madarakani kinatakiwa kusimamia utajiri, kuuendeleza na kusimamia matumizi ya fedha za wananchi na sio kuzifuja au kujinadi kama za kwao.
 
Ni bora nizikwe hai kuliko kumpigia kura msaliti wa Nchi lissu

Ni bora nikae nyumbani nisipige kura kuliko kufanya dhambi ya kumpigia kura lissu

Ee Mungu niondolee hii nuksi
aaaah wapi najua unaongea tu, posho hio ya elfu saba ndio inakupa mawazo najua ..kura utampa Lissu, najua na nakupongeza kwa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…