Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu hukengeuka, baadaye hujirekebisha na kutubu..Huyu nae si akae kimya tu maana unafiki wake tumeshauchoka mda mrefu sana
Amesikika Profesa Lipumba mjumbe aliyehudhuria mkutano wa TCD Dodoma kikamilifu...
Mzee wa kupepesa ulimi kama Nyoka mbele ya yai viza...
Huyu nae ni mtu wa hovyo sana mbele ya pesa... amejaa tamaa isiyomithilika hapo mate yanamtoka kwa miposho wanayolamba akina Zitto si kingine.
Hopeless!!
Kama alichosema Lipumba kina ukweli, Zitto atakuwa amejipaka matope.Nadhani Zitto aje akanushe ya Prof au akubaliane naye. Kukaa kimya haitasaidia
JokaKuu Fundi Mchundo
Tumsubiri Zitto ze double dealerMwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ameoneshwa kusikitishwa na baadhi ya masuala yaliyowasilishwa na Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau...
I conceed ur submission mkuuKila nikisema hapa kuwa nchi inaongozwa na vibaka watu huwa hawaelewi na huishia kunitolea macho kama Mjusi uliobanwa na malango[emoji205][emoji205][emoji205]
Lipumba ni mmoja wa watu waliopoteza credibility hata hivyo ametusaidia sana kujua walichokubaliana. Kwa mantiki hiyo Zitto akikaa kimya atathibitisha shaka iliyokuwepo kuhusu 'kununuliwa''. Kuna namna Tatu za yeye kufanya.Kama alichosema Lipumba kina ukweli, Zitto atakuwa amejipaka matope.
Inawezekana hilo la kusogeza katiba mpya baada ya uchaguzi wa 2025 ni maoni binafsi ya hicho kikosi na sio wadau kama kina Lipumba.Lipumba ni mmoja wa watu waliopoteza credibility hata hivyo ametusaidia sana kujua walichokubaliana. Kwa mantiki hiyo Zitto akikaa kimya atathibitisha shaka iliyokuwepo kuhusu 'kununuliwa''. Kuna namna Tatu za yeye kufanya....
HaaaMzee wa kupepesa ulimi kama Nyoka mbele ya yai viza...
Huyu nae ni mtu wa hovyo sana mbele ya pesa... amejaa tamaa isiyomithilika hapo mate yanamtoka kwa miposho wanayolamba akina Zitto si kingine.
Hopeless!!
Akijitokeza kukubaliana na lipumba nitafute nikununulie soda kwa mangiNadhani Zitto aje akanushe ya Prof au akubaliane naye. Kukaa kimya haitasaidia
JokaKuu Fundi Mchundo
Arudishe posho za watu basi!Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ameoneshwa kusikitishwa na baadhi ya masuala yaliyowasilishwa na Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau ...
Kama ni maoni binafsi inaonekana Lipumba wa CUF haafiki kama chama.Inawezekana hilo la kusogeza katiba mpya baada ya uchaguzi wa 2025 ni maoni binafsi ya hicho kikosi na sio wadau kama kina Lipumba.
Hivi wanaohitaji katiba mpya wanataka kipi kifanyike maana bunge la katiba lilishaijadili rasimu ya warioba, je wanataka kura ya maoni ya kuidhinisha ile katiba?, Au mchakato uanze upya (kujadili upya rasimu ya warioba) ?
Ila kwa aina ya wabunge waliopo hapo Dodoma (ukizingatia walivyopatikana mwaka 2020) ni bora huo mchakato usogezwe mbele tu.
Kusogezwa mbele siamini kama ni nasuluhu,ila kikubwa ni kuwa na dhamira ya kweli kwenye kupatikana kwake,kwani wanakijani hola zao ni za kiwango Cha kuitwa animal na SII watu🤔.Inawezekana hilo la kusogeza katiba mpya baada ya uchaguzi wa 2025 ni maoni binafsi ya hicho kikosi na sio wadau kama kina Lipumba.
Hivi wanaohitaji katiba mpya wanataka kipi kifanyike maana bunge la katiba lilishaijadili rasimu ya warioba, je wanataka kura ya maoni ya kuidhinisha ile katiba?, Au mchakato uanze upya (kujadili upya rasimu ya warioba) ?
Ila kwa aina ya wabunge waliopo hapo Dodoma (ukizingatia walivyopatikana mwaka 2020) ni bora huo mchakato usogezwe mbele tu.
Binadamu hukengeuka, baadaye hujirekebisha na kutubu..
Hata wewe bila shaka kuna wakati ulikuwa mnafiki lakini ulipoona unafiki hauilipi, ulitubu na kubadilika..
We can't judge you referring your past after repentance..!
Sasa kwanini wewe unamhukumu Lipumba? Sikiliza na soma hoja zake, tujadili hizo. Acha kushambulia personality yake..