Prof. Lipumba: Rais Samia Kadanganywa na Kikosi kazi cha Demokrasia, hatukukubaliana vile

Prof. Lipumba: Rais Samia Kadanganywa na Kikosi kazi cha Demokrasia, hatukukubaliana vile

CUF acheni kulazimisha mambo ambayo wenzenu hayapo kwenye ratiba zao kwa kipindi hiki,mkishinda kuongoza serikali mtabadili hiyo katiba mnayotoka muwe na serikali za majimbo hii pia inawahusu na cdm.
 
Lipumba vile wewe unatufanyiaga wananchi ndivo inavotuumaga poleyako
 
Amesikika Profesa Lipumba mjumbe aliyehudhuria mkutano wa TCD Dodoma kikamilifu.

View attachment 2167212

Hajui kabisa wazo hili la katiba mpya baada ya 2025 liliasisiwa wapi.

Ni wazi kuwa Profesa Mukandala, Zitto na wenzake wameamua kutucheza shere.

Watu hawa hawapaswi kuendekezwa kwani nchi hii si yao peke yao.

Kwanini isiwe kuwa wamedhamiria kupenyeza maslahi yao binafsi kwenye suala hili?

Watu hawa wanaaminika vipi tena kutokea hapa?
Mimi nitakupeleka mbele zaidi.
Utaamini vipi kiongozi mkuu wa nchi kuamua jambo ambalo sio la manufaa kwa nchi yake, bali kwake yeye mwenyewe na chama chake.

Bado siondoi lawama kwa hao uliowataja, na hata hawa maprofesa njaa kabisa, wanaotia aibu kubwa kwa usomi wao, lakini lawama kuu ni kwa huyo anayetoa amri yafanyike anayotaka kupitia mgongoni kwa hawa washenzi kabisa wanaopoteza heshima zao kwa wananchi.

Haya yaliyotangazwa na hicho kikosi kazi ni matakwa ya Maza Mzinguo, halafu yeye anajifanya ni mapendekezo ya hicho kikundi alichokiteuwa yeye.

Halafu angalia ujuha mwingine: Mada inaletwa hapa JF na kichwa cha habari "Rais Samia Kadanganywa..,." ; kama siyo yeye ndiye anaye wadanganya waTanzania?
 
Nakupa kwanz faida zake

1) posho hadi 2030
2) Safari nje ya nchi kujifunza wenzetu wanatekelezaje Demokrasia …safari za nje unajua posho zake? Semina y wiki 3 kenya tu unanunua Harrier 'tako la nyani' toleo la 2011
Duh, kumbe ndiyo maana wanajitoa akili kabisa kichwani!

Hawa ni wabaya zaidi kuliko askari wa kulipwa (mercenary)
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ameoneshwa kusikitishwa na baadhi ya masuala yaliyowasilishwa na Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Nchini kinachoongozwa na Mwenyekiti Prof. Rwekaza Mukandala kwa kueleza kuwa baadhi ya masuala hayo yaliyowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan na kupitia kwake kwa Umma si miongoni mwa yale waliyokubaliana kwenye mkutano wa Baraza la vyama vya siasa uliofanyika Jijini Dodoma

Akizungumza na Wanahabari kwenye makao makuu ya Ofisi za Chama hicho Jijini Dar Es Salaam Prof.Lipumba amefafanua kuwa kwenye Mkutano huo ambao ndio uliopelekea kuundwa kwa Kikosi Kazi hicho hakutokea Mjumbe yeyote aliyependekeza kuwa mchakato wa Katiba mpya ufanyike baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, hivyo ameeleza kuwa ameshangazwa kusikia Prof.Mukandala na Kikosi cahe wanawasilisha jambo ambalo ni kinyume na makubaliano ya Wajumbe wa Mkutano huo

Mwenyekiti huyo wa CUF amewataka Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho kufanya kazi wanayopaswa kufanywa badala ya kuanza kugeuka na kufikiri wanamtumikia Rais au Serikali
View attachment 2167160View attachment 2167161View attachment 2167162View attachment 2167163View attachment 2167164View attachment 2167165
Kikos kazi cha Mkandala🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nitakupeleka mbele zaidi.
Utaamini vipi kiongozi mkuu wa nchi kuamua jambo ambalo sio la manufaa kwa nchi yake, bali kwake yeye mwenyewe na chama chake.

Bado siondoi lawama kwa hao uliowataja, na hata hawa maprofesa njaa kabisa, wanaotia aibu kubwa kwa usomi wao, lakini lawama kuu ni kwa huyo anayetoa amri yafanyike anayotaka kupitia mgongoni kwa hawa washenzi kabisa wanaopoteza heshima zao kwa wananchi.

Haya yaliyotangazwa na hicho kikosi kazi ni matakwa ya Maza Mzinguo, halafu yeye anajifanya ni mapendekezo ya hicho kikundi alichokiteuwa yeye.

Halafu angalia ujuha mwingine: Mada inaletwa hapa JF na kichwa cha habari "Rais Samia Kadanganywa..,." ; kama siyo yeye ndiye anaye wadanganya waTanzania?
🤣🤣🤣Baraza la Siasa liliongea mengine Mkandala na wenzake wamekuja na yao
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ameoneshwa kusikitishwa na baadhi ya masuala yaliyowasilishwa na Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Nchini kinachoongozwa na Mwenyekiti Prof. Rwekaza Mukandala kwa kueleza kuwa baadhi ya masuala hayo yaliyowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan na kupitia kwake kwa Umma si miongoni mwa yale waliyokubaliana kwenye mkutano wa Baraza la vyama vya siasa uliofanyika Jijini Dodoma

Akizungumza na Wanahabari kwenye makao makuu ya Ofisi za Chama hicho Jijini Dar Es Salaam Prof.Lipumba amefafanua kuwa kwenye Mkutano huo ambao ndio uliopelekea kuundwa kwa Kikosi Kazi hicho hakutokea Mjumbe yeyote aliyependekeza kuwa mchakato wa Katiba mpya ufanyike baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, hivyo ameeleza kuwa ameshangazwa kusikia Prof.Mukandala na Kikosi cahe wanawasilisha jambo ambalo ni kinyume na makubaliano ya Wajumbe wa Mkutano huo

Mwenyekiti huyo wa CUF amewataka Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho kufanya kazi wanayopaswa kufanywa badala ya kuanza kugeuka na kufikiri wanamtumikia Rais au Serikali
View attachment 2167160View attachment 2167161View attachment 2167162View attachment 2167163View attachment 2167164View attachment 2167165
Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimemteua Hamad Masoud Hamad kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, akichukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Haroub Mohamed Shamis.

Masoud ameteuliwa kushika wadhifa huo, akitokea Chama cha ACT Wazalendo alikokuwa akilalamika kuchezewa rafu katika uchaguzi aliogombea nafasi ya Mwenyekiti, ambapo Juma Haji Duni ndiye aliyechaguliwa kushika nafasi hiyo.

Baraza hilo pia limewateua Kona Vuai Haji na Juma Shaaban Nkumbi kuwa wajumbe wa baraza kuu huku nafasi nyingine zilizo wazi zikipangwa kujazwa katika kikao kijacho cha baraza kuu.

Kauli hiyo imetolewa leo Machi 28 jijini hapa na Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba wakati wa kutangaza maazimio ya ajenda 14 zilizotokana na mkutano wa baraza hilo, ikiwamo mabadiliko ya uongozi, hali ya ngumu ya maisha, vita vya Urusi na Ukraine na hali ya kisiasa.

“Baraza Kuu limemshukuru Haroub Mohamed Shamis kwa kazi kubwa aliyofanya kama Katibu Mkuu katika kipindi kigumu baada ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama, hayati Khalifa Suleiman Khalifa na kukiwezesha chama hicho kushiriki kikamilifu katika uchaguzi Mkuu wa 2020,” amesema Lipumba.

Azimio lingine la baraza hilo ni pampoja na kuweka kando masharti ya Ibara ya 116 kifungu kidogo cha 6 yaliyopo kwenye Katiba ya chama hicho ya mwaka 1992 Toleo la 2019, yanayozuia mwanachama mpya kugombea nafasi ya uongozi hadi atakapokuwa ametimiza miezi sita.

Baraza hilo pia limeondoa kikwazo hicho ili kuhakikisha wanachama wanaorejea ndani ya chama hicho kushiriki katika ujenzi wa chama hicho huku likitangaza kuanza kwa uchaguzi wa ndani kati ya Mei 14 mwaka huu hadi Oktoba 2023.
 
Back
Top Bottom