Prof Lipumba: Taswira ya Tanzania kimataifa iliyoachwa na Mwalimu Nyerere, Rais Magufuli ameiharibu. Ni aibu kubwa kutoshirikiana na WHO

Prof Lipumba: Taswira ya Tanzania kimataifa iliyoachwa na Mwalimu Nyerere, Rais Magufuli ameiharibu. Ni aibu kubwa kutoshirikiana na WHO

We Mzee na wewe leo umemgeuka mshikaji wako?
 
Kwa malezo aliyotoa Prof Lipumba alipokuwa anaongea na waandishi wa habari huku akiongea kwa uchungu, amesema kuwa rais Magufuli ameharibu taswira ya Tanzania kwenye jumuia ya kimataifa.

Nchi zingine zote zinashirikiana na WHO kwa kupima na kutoa taarifa. Pia zipo kwenye mgao wa WHO wa kupata chanjo ya Covax.

Leo hii mataifa ya nje yanaisema vibaya Tanzania juu mapambano ya Covid 19. Haijabadili takwimu tangu March 2020.

Prof Lipumba amedai kuwa Mwl Nyerere aliunda taifa lenye ushirikiano na jumuia za kimataifa na hata marais waliopita waliundeleza. Leo hii ni rais Magufuli ameuharibu.

View attachment 1719493
Hiyo Marekani yenyewe imeikataa hiyo who Sisi ni akina Nani tuipende?? Think loud
 
Lipumba aache unafiki wake. Kwani yeye tangu lini ameanza kuwakosoa ccm
 
Kwa malezo aliyotoa Prof Lipumba alipokuwa anaongea na waandishi wa habari huku akiongea kwa uchungu, amesema kuwa rais Magufuli ameharibu taswira ya Tanzania kwenye jumuia ya kimataifa.

Nchi zingine zote zinashirikiana na WHO kwa kupima na kutoa taarifa. Pia zipo kwenye mgao wa WHO wa kupata chanjo ya Covax.

Leo hii mataifa ya nje yanaisema vibaya Tanzania juu mapambano ya Covid 19. Haijabadili takwimu tangu March 2020.

Prof Lipumba amedai kuwa Mwl Nyerere aliunda taifa lenye ushirikiano na jumuia za kimataifa na hata marais waliopita waliundeleza. Leo hii ni rais Magufuli ameuharibu.

View attachment 1719493
Propesa anataka bil 3 nyingine nini? Mbona anampiga spana jiwe.
 
Kwa malezo aliyotoa Prof Lipumba alipokuwa anaongea na waandishi wa habari huku akiongea kwa uchungu, amesema kuwa rais Magufuli ameharibu taswira ya Tanzania kwenye jumuia ya kimataifa.

Nchi zingine zote zinashirikiana na WHO kwa kupima na kutoa taarifa. Pia zipo kwenye mgao wa WHO wa kupata chanjo ya Covax.

Leo hii mataifa ya nje yanaisema vibaya Tanzania juu mapambano ya Covid 19. Haijabadili takwimu tangu March 2020.

Prof Lipumba amedai kuwa Mwl Nyerere aliunda taifa lenye ushirikiano na jumuia za kimataifa na hata marais waliopita waliundeleza. Leo hii ni rais Magufuli ameuharibu.

View attachment 1719493
Hata saa iliyoharibika kuna wakati inasema ukweli.
 
Back
Top Bottom