Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEWE NI NDUMILA KUWILI KILA MTU ANAKUJUA ULIUSALITI UKAWA NA DR.SLAA
Ndumila kuwili ni wale waliomtaja lowasa na wenzake pale mwembeyanga kuwa mafisadi Kisha 2015 kumpa tiketi ya kugombea urais kupitia chama Chao kisa wamenunuliwaWEWE NI NDUMILA KUWILI KILA MTU ANAKUJUA ULIUSALITI UKAWA NA DR.SLAA
Hio ni baada ya Lissu kusema haungani na vyama vingine vya siasa kwenye kipindi cha Dakika 45 ITV, maana vyama vingine vinaungana na Chama Tawala na kukubari kila hoja ya Chama Tawala kwa hio hivyo vyama sio vyama vya upinzani, chama pekee cha upinzani kwa mujibu wa Lissu ni CHADEMA, sasa Prof naona kihoro kimemwingiaNaona kamkomalia jamaa!
Kwenye maridhiano na CCM chadema haimo!?Hio ni baada ya Lissu kusema haungani na vyama vingine vya siasa kwenye kipindi cha Dakika 45 ITV, maana vyama vingine vinaungana na Chama Tawala na kukubari kila hoja ya Chama Tawala kwa hio hivyo vyama sio vyama vya upinzani, chama pekee cha upinzani kwa mujibu wa Lissu ni CHADEMA, sasa Prof naona kihoro kimemwingia
Mimi sijui, nilichosema kilichomuuma Prof kuanza kumsema Lissu negatively ni hicho tu sio kingine, asingesema hivyo Prof asingeanza kumuongelea Lissu negativelyKwenye maridhiano na CCM chadema haimo!?
So una uwezo wa kuingia kwenye nafsi ya mtu na kujua nini kimemuumiza!?...aliposema Kuna vyama vina sera za kutongoza madem juzi alikua kaumizwa na kauli ya Leo ya lissu!?Mimi sijui, nilichosema kilichomuuma Prof kuanza kumsema Lissu negatively ni hicho tu sio kingine, asingesema hivyo Prof asingeanza kumuongelea Lissu negatively
Mkuu huko Mimi sipo, sera za kutongoza mademu chama kipi?So una uwezo wa kuingia kwenye nafsi ya mtu na kujua nini kimemuumiza!?...aliposema Kuna vyama vina sera za kutongoza madem juzi alikua kaumizwa na kauli ya Leo ya lissu!?
Lipumba juzi alisema 'kuna vyama vina sera za kutongoza madem'...inasemekana mwenyekiti chadema alihamasisha kutongoza madem' mkutanoniMkuu huko Mimi sipo, sera za kutongoza mademu chama kipi?
Mkutano huo ulifanyika wapi?Lipumba juzi alisema 'kuna vyama vina sera za kutongoza madem'...inasemekana mwenyekiti chadema alihamasisha kutongoza madem' mkutanoni
Tafuta babuMkutano huo ulifanyika wapi?
Leta linkTafuta babu
Kwani sera ni nini??Lipumba juzi alisema 'kuna vyama vina sera za kutongoza madem'...inasemekana mwenyekiti chadema alihamasisha kutongoza madem' mkutanoni
Tafuta Uzi upo humu,mbona mvivuLeta link
Tafuta kamusiKwani sera ni nini??
Jina la uzi tafadhari au nisogezee link ya huo uzi nisomeTafuta Uzi upo humu,mbona mvivu