makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,620
- 5,260
Maisha yamepanda Sana mtaani ni muhimu kuonesha pale unapoulizwa kwa unacho kielezeaAtafute,we unataka nimtafutie nimuwekee link..mi tarishi wake!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yamepanda Sana mtaani ni muhimu kuonesha pale unapoulizwa kwa unacho kielezeaAtafute,we unataka nimtafutie nimuwekee link..mi tarishi wake!?
Huelewi Kama nimegoma kuwa tarishi!?Maisha yamepanda Sana mtaani ni muhimu kuonesha pale unapoulizwa kwa unacho kielezea
Mimi sijui, nilichosema kilichomuuma Prof kuanza kumsema Lissu negatively ni hicho tu sio kingine, asingesema hivyo Prof asingeanza kumuongelea Lissu negatively
Kila chama kina-struggle kivyake kwa ajili ya kushika dola. Kwa hiyo hapo hakuna unafikiWapinzani wanafiki,hawapendani
Huyo ni profesa bingwa wa uchumi duniani, anatambulika mpaka umoja wa mataifaLipumba anajua kapoteza mvuto kwa umma. Namna pekee ya kuendelea kupata makombo huko CCM anajua ni kumtajataja Tundu Lisu.
Hamna profesa wa hivyo, wapambe wake ndio walikuwa wanamvika kilemba cha ukoka zamani, lakini tulikuwa tunajua ni boya fulani tu.Huyo ni profesa bingwa wa uchumi duniani, anatambulika mpaka umoja wa mataifa
Lissu na vi masters vya human rights, digrii rahisi kabisa kupata hapa duniani. Lissu ukimuambia aache kujadili sheria, ni mweupe tu kichwaniHamna profesa wa hivyo, wapambe wake ndio walikuwa wanamvika kilemba cha ukoka zamani, lakini tulikuwa tunajua ni boya fulani tu.
Kuna mtu anamchukulia serious Lipumba?Naona kamkomalia jamaa!
[emoji1787][emoji1787] Wanajitoa akili kujifanya kama hawajui kilicho tokea.Ndumila kuwili ni wale waliomtaja lowasa na wenzake pale mwembeyanga kuwa mafisadi Kisha 2015 kumpa tiketi ya kugombea urais kupitia chama Chao kisa wamenunuliwa
Ndio.Kuna mtu anamchukulia serious Lipumba?