Mi siyo tarishi wakoJina la uzi tafadhari au nisogezee link ya huo uzi nisome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi siyo tarishi wakoJina la uzi tafadhari au nisogezee link ya huo uzi nisome
Unakumbuka Kikwete alisema kwamba CCM wanaogopa kuachina glasi za maji kwa hofu ya kutiliana sumu. Kwani vyama vyenye sera tofauti kuna ulazima gani kuwa pamoja??Wapinzani wanafiki,hawapendani
Acheni ukasuku nyie. Yaani chama kiwe na sera za kutongoza mademu. inawezekanaje!!??Tafuta kamusi
Jina la uziMi siyo tarishi wako
CCM ndiyo huwa inapenda kupita bila kupingwa. Unakumbuka uchaguzi wa mwaka 2019/2020 mlivyoiba hadi wenyewe mkawa mnashangaana!!??Lisu alitaka awe Rais bila kupingwa.
Heshimu maoni yake mbwa koko weweHili zee jinga sana
Hao ni "Team wazushi". Huwa wanazusha mambo kama vile wao wanaishi nchi tofauti na sisi!!Jina la uzi
Nimekuelewa mkuu na mimi naona hivyoHao ni "Team wazushi". Huwa wanazusha mambo kama vile wao wanaishi nchi tofauti na sisi!!
Nashangaa, nia kubwa ya wapinzani ni nini sasa Kama si kuchukua nchi dhidi ya chama cha CCM?!Wapinzani wanafiki,hawapendani
Asubirie nyundo za Lissu...alipingwa sababu ni ccm BNaona kamkomalia jamaa!
Unaulizwa unaleta Mambo ya tafuta we nitaka takaTafuta babu
Si ndiyo atafute,ni jibuUnaulizwa unaleta Mambo ya tafuta we nitaka taka
Hivi mnamkumbuka huyu 2015 alivyosaliti ukawa na Slaa?Nashangaa, nia kubwa ya wapinzani ni nini sasa Kama si kuchukua nchi dhidi ya chama cha CCM?!
Wakianza kupondana wenyewe kwa wenyewe tuwaeleweje?
Msukuma na Mwigulu wanasifiana? Na si wapo chama kimoja? Sembuse vyama tofauti. CUF na CHADEMA kinachowaunganisha ni kwamba vyote ni vyama vya siasa na wala si kutokuwa kwao madarakani.Nashangaa, nia kubwa ya wapinzani ni nini sasa Kama si kuchukua nchi dhidi ya chama cha CCM?!
Wakianza kupondana wenyewe kwa wenyewe tuwaeleweje?
We unaona ni jibu au sio?Si ndiyo atafute,ni jibu
Atafute,we unataka nimtafutie nimuwekee link..mi tarishi wake!?We unaona ni jibu au sio?