griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 442
Ohh kumbe, nilifikiri ni kuokoa maisha kwanza halafu ndio twitter.
mkuu ficem ni walewale tu kama yule alouza nyumba public kwa hawarah, na ako na hotel anayoirun hawara yake mwingine, juzjuz kamzalisha wazir tena mke wa mtuMwandosya tutamkumbuka kwa kufanya ufisadi TTCL mpaka shirika likafa, UFISADI ndio legacy pekee alioacha kwenye taifa hili.
Ameshaga staafuHivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
Akamatwe uyo mzee mchocheziNadhani kuna umri mtu ukifikia kuna mambo inapaswa kuwaachia vijana, matumizi ya vitu kama facebook, tweeter n.k.
Sio ya kijinga wewe unaefikiri hivyo ndio mwenye mawazo ya kiji.nga huwezi mpangia mtu namna ya kufikiri??Mawazo ya kijinga hayo , kwani Trump na wenzie wanaotumia mitandao huko Ulaya na America ni vijana? Matumizi ya technology hayana umri!!! Unajua Michael Bloomberg former mayor of New York na owner of Bloomberg Inc. ana umri gani? Mara nyingine kaa kimya kuficha ujinga wako.
Na wakamzika kisiasaMzee wa " Kyoto" huyo........ana mambo mengi kichwani.
2005 alishika namba 3 kwenye kura za maoni kinyang'anyiro cha urais CCM usimchukulie poa comrade!
kama yako ambaye you are below that.
Hapana nipo Dar es Salaam mji wa kibiashara wa Nchi pendwa ya Tanzania.Umefukizwa Chato au siyo?
haya bwana
Electrical engineering from Birmingham UniversityHivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
Electrical engineering from Birmingham University
Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee
Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee
Unapoteza kuungwa mkono aisee..wenzio wanamtukana wewe unamtetea na kuonyesha kua ni mtu...pole yako ukikosa malipo usije lalamika!Mzee wa " Kyoto" huyo........ana mambo mengi kichwani.
2005 alishika namba 3 kwenye kura za maoni kinyang'anyiro cha urais CCM usimchukulie poa comrade!
Mkuu wewe kwakutokua msomi au wazazi wako wamelisaidia nini Taifa? Tumia kutosoma kwako sasa kulisaidia TaifaAmetusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!
Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji
Sent using Jamii Forums mobile app
🖕Sasa mbona anakuwa kama mtoto au ndo Uzee?