Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Mwandosya tutamkumbuka kwa kufanya ufisadi TTCL mpaka shirika likafa, UFISADI ndio legacy pekee alioacha kwenye taifa hili.
mkuu ficem ni walewale tu kama yule alouza nyumba public kwa hawarah, na ako na hotel anayoirun hawara yake mwingine, juzjuz kamzalisha wazir tena mke wa mtu
 
Mawazo ya kijinga hayo , kwani Trump na wenzie wanaotumia mitandao huko Ulaya na America ni vijana? Matumizi ya technology hayana umri!!! Unajua Michael Bloomberg former mayor of New York na owner of Bloomberg Inc. ana umri gani? Mara nyingine kaa kimya kuficha ujinga wako.
Sio ya kijinga wewe unaefikiri hivyo ndio mwenye mawazo ya kiji.nga huwezi mpangia mtu namna ya kufikiri??
 
Sidhani Kama mtu anaejijua ameadhirika anaweza kuambukiza watu makusudi,
 
Huko bungen wanajifukiza au wamesahau

stidy
 
Mzee wa " Kyoto" huyo........ana mambo mengi kichwani.

2005 alishika namba 3 kwenye kura za maoni kinyang'anyiro cha urais CCM usimchukulie poa comrade!
Unapoteza kuungwa mkono aisee..wenzio wanamtukana wewe unamtetea na kuonyesha kua ni mtu...pole yako ukikosa malipo usije lalamika!
 
Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!

Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe kwakutokua msomi au wazazi wako wamelisaidia nini Taifa? Tumia kutosoma kwako sasa kulisaidia Taifa
 
Back
Top Bottom