babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Sugu ni tatizo zaidi. Mtu anayewageuza wafuasi wake nyumbu...Mungu wa mbinguni aturehemu.
Huyu Albert Chalamila kazi yake ni kumdhibiti Sugu badala ya kupambana na Corona.
Umefukizwa Chato au siyo?Unalazimisha uonekane una thamani kumbe huna.
Huyu anawafaa sana nyumbu wa ufipa. Watamsafisha hayo yoteHuyu aliyeuza TTCL kwa bei ya mkeka?
Na offer ya mwanaye kusomeshwa bure SA.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinafanana na njozi za aliyetoka kufukizwaOK, basi labda amefikia peak na sasa grafu inaanza kushuka, wanasema tukizeeka IQ inashuka pia.
Nadhani kuna umri mtu ukifikia kuna mambo inapaswa kuwaachia vijana, matumizi ya vitu kama facebook, tweeter n.k
Sasa mbona anakuwa kama mtoto au ndo Uzee?
Kima kweli wewe, unamfahamu vizuri Prof. Mark Mwandosya au unajambajamba tu hapo ulipo? Pimbi wewe, google academic qualifications za Magufuli na Mark alafu rudisha mrejesho hapa Jf, i wish nitukane hadi ukoo wako, nyani wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
siku hizi kuuliza kitu kama hujui ni upumbavu?Wewe ni moja wa wapumbavu
Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana
Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere
Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya
Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana
Wamekwisha staafu
Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee
You are gifted fool
Huyo ameleta kejeli mwache apate vipande vyake.siku hizi kuuliza kitu kama hujui ni upumbavu?
Huyo Mwandosya ni moja ya maprofesa ambao maandiko yao kwenye mambo ya Climate change yameacha alama Africa
Unapoongelea manguli na maprofesa ambao Nyerere aliwaamini kama vijana wake basi huyu ni namba moja
Hawa ndio walikuwa Think Tank wakati nchi yetu inajifunza kujitawala kutoka kwa mkoloni
Unapoongelea Mapinduzi Haya ya matumizi ya simu Tanzania huwezi mkwepa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa communication
Huyu ni Prof wa electronics and electrical engineering na Mwana ccm Nguli
Sawa kabisa.... Au hajifunzi kwa yule prof mhindi.... Issa shivjIdiot! Kwa hiyo asitweet? Prof anatweet mara moja kwa mwaka, akitweet inatrend globally..
Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto unakusumbua na roho za kimaskini zinakutesa.Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!
Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni moja wa wapumbavu
Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana
Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere
Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya
Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana
Wamekwisha staafu
Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee
You are gifted fool