Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Maendeleo ni Vitu na Sio Watu, kwahiyo mvumilie tu
 
Nadhani kuna umri mtu ukifikia kuna mambo inapaswa kuwaachia vijana, matumizi ya vitu kama facebook, tweeter n.k

Mawazo ya kijinga hayo , kwani Trump na wenzie wanaotumia mitandao huko Ulaya na America ni vijana? Matumizi ya technology hayana umri!!! Unajua Michael Bloomberg former mayor of New York na owner of Bloomberg Inc. ana umri gani? Mara nyingine kaa kimya kuficha ujinga wako.
 
Mwandosya tutamkumbuka kwa kufanya ufisadi TTCL mpaka shirika likafa, UFISADI ndio legacy pekee alioacha kwenye taifa hili.
 
Sasa mbona anakuwa kama mtoto au ndo Uzee?

Kima kweli wewe, unamfahamu vizuri Prof. Mark Mwandosya au unajambajamba tu hapo ulipo? Pimbi wewe, google academic qualifications za Magufuli na Mark alafu rudisha mrejesho hapa Jf, i wish nitukane hadi ukoo wako, nyani wewe!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo aliyetoroka akipona afunguliwe mashtaka haraka, sbb ni mpuuzi na ameamua kusambaza makusudi, sheria ichukue mkondo wake😠
 
Kima kweli wewe, unamfahamu vizuri Prof. Mark Mwandosya au unajambajamba tu hapo ulipo? Pimbi wewe, google academic qualifications za Magufuli na Mark alafu rudisha mrejesho hapa Jf, i wish nitukane hadi ukoo wako, nyani wewe!


Sent using Jamii Forums mobile app


Profesa wenu feki yuko anashindana Mangi Kimambi, kukimbilia twitter kupost umbea? WTF
 
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool
siku hizi kuuliza kitu kama hujui ni upumbavu?
 
Sisi kipindi tunasoma advance tuliambiwa ndo yeye aliechora ramani ya kutoa maji taka jiji la dar kuelekea baharini,hivyo kwa kufanya hivyo ndo akaukwaa uprofessa
 
Huyo Mwandosya ni moja ya maprofesa ambao maandiko yao kwenye mambo ya Climate change yameacha alama Africa

Unapoongelea manguli na maprofesa ambao Nyerere aliwaamini kama vijana wake basi huyu ni namba moja

Hawa ndio walikuwa Think Tank wakati nchi yetu inajifunza kujitawala kutoka kwa mkoloni

Unapoongelea Mapinduzi Haya ya matumizi ya simu Tanzania huwezi mkwepa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa communication

Huyu ni Prof wa electronics and electrical engineering na Mwana ccm Nguli

Hana lolote acha kumkuza hivyo, TTCL, Airtel aliharibu sana. Na ni mpiga dili tu, amekuwa waziri muda mrefu kipi cha maana amefanya, kuwa msomi haimaanishi kuwa ni mtendaji mzuri, huyu sio mtendaji kabisa, labda awe journalist
 
Barbarosa mwana CCM kindakindaki. Nilidhani wewe utakuwa mzee kuliko Mwandosya. Maana akili yako imechoka utadhani nawe umri sawa na waasisi wa TANU.
 
Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!

Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto unakusumbua na roho za kimaskini zinakutesa.
Utapona tuu muda upo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa upumbafu wake unatoka wapi mkuu??
Nadhan ww ndie mpumbafu sana
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom