Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool
Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!

Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Mwandosya ni moja ya maprofesa ambao maandiko yao kwenye mambo ya Climate change yameacha alama Africa

Unapoongelea manguli na maprofesa ambao Nyerere aliwaamini kama vijana wake basi huyu ni namba moja

Hawa ndio walikuwa Think Tank wakati nchi yetu inajifunza kujitawala kutoka kwa mkoloni

Unapoongelea Mapinduzi Haya ya matumizi ya simu Tanzania huwezi mkwepa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa communication

Huyu ni Prof wa electronics and electrical engineering na Mwana ccm Nguli
Heshima yake apewe lakini umeongeza chumvi nyingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa ni vijana wa Nyerere na Marafiki sana, JK, Ben Mkapa, Mwandosya na salim Ahmed

Walilelewa na chama na kupewa majukumu wakiwa vijana

Huyu ameacha alama kubwa hapa Tanzania kwa Wanaojua machapisho yake na ushauri

Ushauri wake sekta ya maji na Mawasiliano huwezi kuusahau

Mkuu bandiko langu lilikuwa katika kukuunga mkono. Wa kwenye katapita atawajulia wapi kina Mwandosya?

Huyo wake kina Harmonize
 
Alikuwa anatafuta tiba mbadala nadhani ya kufukiza, tuache utani watu wengi niwazembe wanaishi kwa mazoea wanakula vyakula kwenye usafiri wa watu wote 'public transport' hawataki kunawa pia
Mkuu maji ya kunawa hiyo mikono yako wapi? Je mabasi yetu pia yamefungwa hivyo vifaa ya kunawia mikono?
 
Mkuu umemshauri na umeeleza vizuri sana maana hata Mimi sikujua huyu ni prof.wa kitu gani ,hongera ila hapo mwisho umeharibu ,elimu ni elimu tu haijarishi umeichukulia kwenye chuo cha kata au lah,isingekuwa ni elimu government yetu isingeitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ipo tofauti kaka, Elimu sio sawa kabisa

Leo vyuo vya Afrika vya afya vinasubiri kinga ya corona toka Oxford University kwa kutegemea Prof Sarah Gilbert kama majaribio yake yatafanikiwa

Vyuo hivyo vina vifaa na wataalam wabobezi toka nchi mbalimbali

Sasa wewe Chuo kama CBE au TIa walimu wengi ni wa Masters na Profesa unakuta mkuu wa chuo tu huwezi fananisha na chuo kama Sua Morogoro

Elimu haupo sawa, Mtoto wa IST huwezi mfananishe na mtoto wa Jangwani au Makongo sec never ever
 
Sasa kwa nini asingepiga simu kwa Mamlaka husika ili akamatwe, Wagonjwa kutoroka Hospitalini ni kawaida hutokea Dunia nzima.
Kama angelipiga sim weye ungelijuaje kuwa kuna vitendo hovyo vinafanyika Tz?? Nadhani katufungua macho sisi sote kuwa; Wapo watu wanatamani kufa na wengine
 
.
IMG_20200423_151622.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
View attachment 1431217
Wajifukizie
 
Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!

Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na adabu basi usibwatuke hovyo kama mala.ya wa buza.......
amefanya mengi ya muhimu katika jamii mojawapo kufundisha vijana kwenye taaluma ya electrical....
 
OK, basi labda amefikia peak na sasa grafu inaanza kushuka, wanasema tukizeeka IQ inashuka pia.

Wewe utakuwa umeshafika peak hata kabla ya kuzeeka wakati hata CV huna. Hiyo si balaa kubwa?
 
Kwani kwenye corona ccm inaficha Nini? Mbona Magufuli akitwit hatuoni kelele hizi?
Hawa jamaa sijui wakoje. Ka tweet Mwandosya kisa katoa ukweli mchungu imekuwa nongwa. Alipo tweet Magufuli kuomba maombi ya siku tatu wakasema "Tupo na Rais wetu" Hawa MATAGA Jana nimetukana limoja nikaishia kula ban.
 
Mkuu umemshauri na umeeleza vizuri sana maana hata Mimi sikujua huyu ni prof.wa kitu gani ,hongera ila hapo mwisho umeharibu ,elimu ni elimu tu haijarishi umeichukulia kwenye chuo cha kata au lah,isingekuwa ni elimu government yetu isingeitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
Government yetu hii hii inayosaka wanaoikosoa mitandaoni? Unadhani itakupa elimu gani hii?Mungu atusaidie tu.
 
Kama angelipiga sim weye ungelijuaje kuwa kuna vitendo hovyo vinafanyika Tz?? Nadhani katufungua macho sisi sote kuwa; Wapo watu wanatamani kufa na wengine


Kwa hiyo akaamua kukimbilia twitter badala ya kujaribu kutatua tatizo?
 
Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!

Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hilo ni kosa la Mzazi wako binafsi
Nenda kawaulize, Mateso ni individual level

Unapoongelea Maisha sema wewe, Ila wataalam wanaongelea maisha wanaongelea kesho na yajayo hata kama wao hawajafaidika
 
Back
Top Bottom