nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Changamoto ni usafiri wa Tukuyu-Lufilyo, ni Noah ambazo zinabeba hadi watu 15!!!!, ni mbanano na kupuliana, Mungu awanusuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
View attachment 1431217
Professor bado ana akili hasa. Kuna wakati nilikuwa naye wakati alipoenda kutoa mhadhara kule SA. Ni lazima uwe na akili ndiyo unaweza kumwelewa. Usipokuwa na akili hutaona umuhimu wa ujumbe anaotaka kuutoa.Sasa mbona anakuwa kama mtoto au ndo Uzee?
Huyu aliyeuza TTCL kwa bei ya mkeka?Huyo Mwandosya ni moja ya maprofesa ambao maandiko yao kwenye mambo ya Climate change yameacha alama Africa
Unapoongelea manguli na maprofesa ambao Nyerere aliwaamini kama vijana wake basi huyu ni namba moja
Hawa ndio walikuwa Think Tank wakati nchi yetu inajifunza kujitawala kutoka kwa mkoloni
Unapoongelea Mapinduzi Haya ya matumizi ya simu Tanzania huwezi mkwepa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa communication
Huyu ni Prof wa electronics and electrical engineering na Mwana ccm Nguli
Sheris ya TCRA inasema mwisho wa kutumia mitandao ni umri gani?Hoja yangu ipo kwenye umri na matumizi ya mitandao ya kijamii , bwashee.
Wapi tena kawa utoto?? Kutujuza kuwa kuna mgonjwa wa Covid 19 katoroka karantini Mbeya akasafiri hadi Lufilyo ni utoto?? Ameshangaa kuwa mtu huyu katorokaje hadi afike huko kijijini bila kukamatwa. Yaani watu ka hao walitakiwa ikijulikana tu kuwa kuna mtoro basi itangazwe "Fatwa" na kichwa chake kiwekwe hadharani. Huenda ikaleta hifu kwa wengine kutoroka.
Usimwite tena mtoto mzee wetu
Kuna watu wanazeeka mwili lakini akili zao hazizeeki mpaka kufa. Kuna watu wanakuwa vijana wa miili lakini vikongwe katika akili.Nadhani kuna umri mtu ukifikia kuna mambo inapaswa kuwaachia vijana, matumizi ya vitu kama facebook, tweeter n.k.
TCRA haijaweka age limit kuwa ukifika umri fulqni usitumie mtandao.Sheris ya TCRA inasema mwisho wa kutumia mitandao ni umri gani?
Naomba kuelimishwa Tafadhali!
Labda ccm Kama mmeanza kutoa degree za uprofetssor duniani,Hivi kuna Proffessor wa kusomea?!
Mwakajana tu nilisafiri naye kwenda SA. Alikuwa anaenda kutoa mhadhara huko. Bado yupo vizuri sana. Huwezi hata kumkaribia. Kichwa hasa. Sijui kama kuna wa kumlinganisha naye katika hawa maprofessor tulio nao sasa hivi Serikalini.Asante sana kwa kunipa CV yake, nilikuwa simjui kiasi hicho, sasa mbona hafanani na fani yake au ni Mzee sana?
Hahahaaaaa.......labda Profesa Ndumilakuwili wa Sani!Labda ccm Kama mmeanza kutoa degree za uprofetssor duniani,
Mkuu huwezi kuwa Prof Kama wewe si mwalimu wa chuo kikuu unless uwe Prof wa aina na maji marefu.so any Prof aliwahi kuwa mhadhiri chuo kikuuLipumba ni Professor anafundisha wapi?
Kwani kila Professor ni lazima afundishe?
Unajua maana na tafsiri ya Professor wewe?
MATAGA at work even in senselessly issues!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishue sio sheria, ni Utashi wa mtu.Sheris ya TCRA inasema mwisho wa kutumia mitandao ni umri gani?
Naomba kuelimishwa Tafadhali!
Na watu kujua kuwa kuna mambo kama haya yanaendelea ni muhimu zaidi ili wachukue tahadhari. Information is power. Ukiona unaoenda mambo ya kificho ujue akili yako imekongoloka hata mwili unaweza kuwa bado na nguvu. Siku hizi tuna vijana wengi wa miili lakini ni vikongwe kimawazo.Sasa kwa nini asingepiga simu kwa Mamlaka husika ili akamatwe, Wagonjwa kutoroka Hospitalini ni kawaida hutokea Dunia nzima.
Kati ya maprofesa wa uhandisi ambao credentials zao hazina chenga chenga.Hivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
Acha Mambo ya sheria, uprof haununuliwi popote,Bali unapatikana chuo kikuu tu.Ni sheria gani inayomlazimisha kufundisha?
Unajua maana ya Professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mahaba naye mkuu kwakua ulisafir nae au kuna la ziada maana imebakia kidogo tu useme hakuna wa kumzidi duniani.Mwakajana tu nilisafiri naye kwenda SA. Alikuwa anaenda kutoa mhadhara huko. Bado yupo vizuri sana. Huwezi hata kumkaribia. Kichwa hasa. Sijui kama kuna wa kumlinganisha naye katika hawa maprofessor tulio nao sasa hivi Serikalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok kama havunji sheria yoyote haina haja kumsengenya.Ishue sio sheria, ni Utashi wa mtu.