mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Ubuyu kidogo mamii?R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubuyu kidogo mamii?R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Mkewe alikufa mwaka juziMbona Pascal Mayalla ameandika Kuwa huyu kafiwa na mkewe hapa mbona kuna doubt
R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Hapo sawaMkewe alikufa mwaka juzi
Akishirikiana na Prof Mark Mwandosya!Hajatokea wa kufananishwa nae. Ndio alihakikisha TTCL college Kijitonyama iwe sehemu ya UDSM na ndio hii inaitwa CoICT
Mauna waume wengi, yupi?R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Nakumbuka siku moja tukiwa Mlimani UDSM, nilimsikia akisema alikuwa ana mheshimu Prof. Mark James Mwandosya tu!!!Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
Tundu Lissu anafahamu sana hizi habari.Huyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza 😀