ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kanywanyi Gamalieli Mgongo Fimbo,Issa Shivji... wakongwe wa UDSM hao! Luhanga, Mwandosya, Mkude, Mbwette, Mlama, Mshana, et. al.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanywanyi Gamalieli Mgongo Fimbo,Issa Shivji... wakongwe wa UDSM hao! Luhanga, Mwandosya, Mkude, Mbwette, Mlama, Mshana, et. al.
N.B
Wazee wabadilishe kawaida yao, waandike vitabu mapema wakiwa in their 40s
Wewe ni mke wa Pascally Mayala wa jf?R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Yap bila kuwasahau Mmari, Materu, Mushi, Walter Rodney, et. al.Kanywanyi Gamalieli Mgongo Fimbo,Issa Shivji
Mbwete alitangulia mbele ya haki. Padre Mkude na Mama Bali wa accommodation according to PUNCH. Kusoma wakati ule UDSM ilikuwa bahati ya wachache aisee... wakongwe wa UDSM hao! Luhanga, Mwandosya, Mkude, Mbwette, Mlama, Mshana, et. al.
... wazee mliosoma enzi za CACO na CADO! Sina hakika vijana wa enzi za DVC watawaelewa!Mbwete alitangulia mbele ya haki. Padre Mkude na Mama Bali wa accommodation according to PUNCH. Kusoma wakati ule UDSM ilikuwa bahati ya wachache aisee
Pasco amesoma lawWewe ni mke wa Pascally Mayala wa jf?
Alafu hii familia nahisi wote ni ma genius kuna mwenzake alikuwa Tanesco. RIP ProfMakamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
Mbwete alitangulia mbele ya haki. Padre Mkude na Mama Bali wa accommodation according to PUNCH. Kusoma wakati ule UDSM ilikuwa bahati ya wachache aisee... wakongwe wa UDSM hao! Luhanga, Mwandosya, Mkude, Mbwette, Mlama, Mshana, et. al.
Pole na wewe dear wifeR.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
ati nini....[emoji44]R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Mwambie Mme wako anatuaibisha wahandisi !ajitahidi kukufikisha kileleni ili uwe na utulivu wa akiliR.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Nimeishia kucheka kama mazuriHuyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza 😀
Mwingine alikuwa jeshini, Major General Luhanga?Alafu hii familia nahisi wote ni ma genius kuna mwenzake alikuwa Tanesco. RIP Prof
Mwingine alikuwa jeshini, Major General Luhanga?