TANZIA Prof. Mathew Luhanga, aliyekuwa Makamu Mkuu wa UDSM kuanzia 1991 hadi 2006 afariki dunia

RIP Professor Matthew Luhanga. Ulikuwa na ndoto nyingi za kuandika vitabu vingi.

Kutoka maktaba:
29 Juni 2021
PROF MATTHEW LUHANGA - MAKAMU MKUU MSTAAFU WA UDSM NA MAPINDUZI YA ELIMU NCHINI

Profesa Matthew Luhanga ni Makamu Mkuu mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) aliyehudumu kwa mafanikio makubwa chuoni hapo. Mbali ya wadhifa huo pia ni mtaalamu mbobezi wa uhandisi. Jaafar Mponda amezungumza nae kwenye ZUMARI ili kufahamu mengi ikiwemo mchango wake katika kuwasaidia vijana kielimu kupitia falsafa mbalimbali ambazo yeye (Profesa Luhanga) anaziamini.
Source : Azam TV
N.B
Wazee wabadilishe kawaida yao, waandike vitabu mapema wakiwa in their 40s
 
Alafu hii familia nahisi wote ni ma genius kuna mwenzake alikuwa Tanesco. RIP Prof
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…