TANZIA Prof. Mathew Luhanga, aliyekuwa Makamu Mkuu wa UDSM kuanzia 1991 hadi 2006 afariki dunia

Kuna mtu alitaka TTCL Kajitonyama kiwe Chuo Kikuu cha Waislamu, nadhani walikuja kupewa Chuo cha Tanesco Morogoro sijui
 
Umri nadhani hajavuka 74.
 
Alikuwa kichwa wakati ule tukiwa pale hill, apumzike pema.
 
Am very sorry kusema we ni kiazi,yaani unaona mtu na mkewe kufa ni kitu cha ajabu au,jingaaa kabisa wewe
Tatizo lako kichwa chako kizito au haujui kiswahili.
Mimi nashangaa kifo cha mkewe kuhusishwa hapa! Kinachoongelewa hapa ni kifo cha Luhanga sasa hayo ya kifo cha mkewe yametoka wapi! Kuwa makini unaposoma jambo hakikisha umeelewa vizuri pasipo na shaka kisha toa maoni yako badala ya kutukana, tukana kadiri uwezavyo ukikosa hoja.
 
Alinizidi mwaka mmoja shuleni, yeye aliondoka la 8 mwaka 65 mimi 66. Mara ya mwisho nilikutana naye Oysterbay akiwa na mzee Cheyo Mapesa.
 
Fuatilia vizuri , nilimjibu mtu aliyeuliza kuwa aliyekufa ni yeye au mkewe,fuatilia hiyo.mi nikamjibu kuwa mkewe alishatangulia mwaka juzi,kosa liko wapi
 
Angalia post no 18
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Unadai unamjua mtu, halafu hapo hapo unataka akutajie mwaka aliomaliza ndio umjue.
 
Acha uongo.
Aisee pale pangependeza mno kungekua chuo pendwa hata Ile masjidi ya Kinondoni (inayojengwa na Mfalme wa Morocco) hapo Kijitonyama hasa kwenye zile playgrounds pangependeza mnoo.
**Tumche, tusichoke
 
Mzee

Mwanaume anaongea na demu wewe unavamia,kama natongoza nitombe wewe kinakuwasha nini?

Sometimes ukiona mwanamke anapewa maneno uwe unajikataa basi

Au kama na wewe unamtaka mtongoze kivyako basi..

Punguza sissyness in you!
Acha kujifanya JUAJI wewe mkhundule.

Dada wa watu ashakwambia mara kibao haumjui. Hajasoma CoET. Mjinga umekaza fuvu tu.

Halafu ulivo fala sasa. Eti:
"mimi nakujua weeee... Taja mwaka uliomaliza nikutajie jina lako..." (huku umebana pua)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…