Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hajambo Kabisa, uhali Gani wewe?Magufuli hajambo?
Hajui kuwa wewe ni mtaalamYepi hayo?
Msalimie.Hajambo Kabisa, uhali Gani wewe?
Kwasababu hawana ukweli.Kinacho sikitisha ni kwa nini wapike uongo..?
Alitaka ku-preempty Press ya Mzee Freeman MboweHuyu mzee sasa ni bora anyamaze tu, hakuna cha maana anachozungumza hivyo sioni sababu ya kutumia akili kutafakari kile anachokizungumza, wanajua wameharibu yeye na dada yake, ndio maana wakati dada ameamua kukaa kimya, huyu kaka ndie kiherehere kuokoteza maneno yasiyo na maana yoyote ilimradi azungumze.
Kinacho sikitisha ni kwa nini wapike uongo..?
Mimi nakuaminia Rafiki yangu! Uko detailed!Madudu yaliyoibuliwa bandarini na Rais Samia mbona hayasemwi?
Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao. Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba...www.jamiiforums.com
Kiukweli hili eneo bado halina maelezo ya kutosha,tungependa kupata maelezo ya kina na kuona huo mchujo,ili tujiridhishe kwamba fedha haijatembea.Mwanzoni tulijulishwa kuwa walipatakana Kwa mfumo wa Single Source, Leo hii Tunaambiwa kuwa ilikua ni Tender.
Sasa, tunaomba kujua, Tarehe ya Tender kutangazwa, waliomba, waliokuwa disqualified Hadi DP WORLD kupita...View attachment 2687713View attachment 2687714
Madudu yaliyoibuliwa bandarini na Rais Samia mbona hayasemwi?
Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao. Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba...www.jamiiforums.com
Google tu "Dar Port tender" utapata majibu, huna haja ya mtu kukuaminisha kitu, ni tender ya Kimataifa hiyo.Kiukweli hili eneo bado halina maelezo ya kutosha,tungependa kupata maelezo ya kina kuona huo mchujo,ili tuondoe mawazo kwamba labda fedha imetembea.