Prof Mbarawa kuhusu DP WORLD selection, naomba kufahamu haya

Prof Mbarawa kuhusu DP WORLD selection, naomba kufahamu haya

PITA HAPA UONE!
Angalieni huu ukurasa wa sahihi kwa karibu sana!
Mnaona hapo kwa upande wa shahidi kuna sahihi ya Mbarawa ilianza alafu haikuisha - akaweka mtu mwingine! Aisee Alafu mashahidi wote wawili hawana majina na huyo wa Dubai hata cheo hatujui ni nani!View attachment 2687792

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa ndio kali, Section A
IMG-20230714-WA0039.jpg
 
Khaa mawakili uchwara wa Tanzania!!!
Exctly, wakili anaingia kwenye mtandao kusambaza uongo wa kuwatisha Watanzania huyo kama si wakili uchwara ni nini?


Huyo mwambulukutu huyo lussu na mwenzao mwengine aliyeitwa na DCI hawaelewi kuwa IGA zote zinalindwa Kimataifa na Umoja wa Maytaifa?

Hawaelewi kuwa IGA siyo mkataba wa kibiashara? kama IGA inagusia biashara fulani basi mkataba wa hizo biashara ndiyo una" take precedence." na unalindwa na IGA , IGa hata iwe mbovu vipi au iwe haipo kabisa basi bado nchi za Umoja wa Mataifa zitalindwa kwa dhuluma yoyote ile. Ndiyo maana unaona Tanzania ilipokurupuka ndege zake zikaanza kushikwa hovyo.
 
Uzuri ni kuwa sheria zaa Kimataifa hazitungwi bungeni kwetu, bungeni zinakuwa "endorsed" tu.

Sheria za Kimataifa hata muwe wajinga vipi mnalindwa na Umoja wa Mataifa. Siyo na mawakili uchwara wa Tanzania.
So Faizal you seriously believe nchi za nje hawapindishi sheria! si kweli,hili ni tatizo everywhere.Kumbuka the called insurrection ya Congress ya Marekani na witch hunt iliyofanyika kwa Trump wakati hata mtoto mdogo akiona wazi kwamba issue yote ile ilipangwa na Democrats.Kumbuka pia issue ya Trump kudaiwa kakutwa na confidential documents za White House,kumbe ni mbinu za Democrats
ili Trump akwamishwe asiwezee kugombea 2024.Sijui kwa nini tumeamishwa kwamba the West ni Malaika,na kila kitu chao ni super,they are not,they are just as dumb-ass.
 
So Faizal you seriously believe nchi za nje hawapindishi sheria! si kweli,hili ni tatizo everywhere.Kumbuka the called insurrection ya Congress ya Marekani na witch hunt iliyofanyika kwa Trump wakati hata mtoto mdogo akiona wazi kwamba issue yote ile ilipangwa na Democrats.Kumbuka pia issue ya Trump kudaiwa kakutwa na confidential documents za White House,kumbe ni mbinu za Democrats
ili Trump akwamishwe asiwezee kugombea 2024.Sijui kwa nini tumeamishwa kwamba the West ni Malaika,na kila kitu chao ni super,they are not,they are just as dumb-ass.
Sikiliza kijana, hakuna sheria ya Kibinadam isiyoweza kupindishwa.

Watu wanapindisha sheria za biblia itakuwa sheria hizi za kibinadam?


Tulichokuwa nacho ni IGA, IGA ni makubaliano ya Kimataifa yanayolindwa kimataifa, wacha kuipindisha, hata uiweke juu chini, haikuondoi kwenye haki.

Wakili asiyoyajuwa hayo ni mjinga tu.

kwanza kazi ya uwakili siyo ya kuingia mitandaoni na kuanza kusema uongo. Kazi yake ni simple tu, kuisaidia mahakama kufikia uamuzi wa haki. Si aende mahakamani?


Na kile wakili anaeenda mahakamani kwa iGA hii ataishia kusomeshwa tu na hakimu. Na akizidi ataambiwa alipe gharama za aliowaita mahakamani kuwashitaki.

Si ndiyo maana unawaona wanapiga makelele nje huku. Si waende mahakamani?
 
PITA HAPA UONE!
Angalieni huu ukurasa wa sahihi kwa karibu sana!
Mnaona hapo kwa upande wa shahidi kuna sahihi ya Mbarawa ilianza alafu haikuisha - akaweka mtu mwingine! Aisee Alafu mashahidi wote wawili hawana majina na huyo wa Dubai hata cheo hatujui ni nani!View attachment 2687792

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
Mbarawa alishaanza kusaini tena kwa niaba ya Dubai akaambiwa basi inatosha acha wasaini wao hapa...
Nchi ngumu sana hii miaka nenda miaka rudi
 
Na nnaendelea kusema mawakili uchara na waongo kama mafundi wa Tabata, wanawatia hofu Watanzania kwa kununuliwa kwa thamani ndogo tu.
Sikiliza kijana, hakuna sheria ya Kibinadam isiyoweza kupindishwa.

Watu wanapindisha sheria za biblia itakuwa sheria hizi za kibinadam?


Tilochokuwa nacho ni IGA, IGA ni makubaliano ya Kimataifa yanayolindwa kimataifa, wacha kuipindisha, hata uiweke juu chini, haikuondoi kwenye haki.

Wakili asiyoyajuwa hayo ni mjinga tu.

kwanza kazi ya uwakili siyo ya kuingia mitandaoni na kuanza kusema uongo. Kazi yake ni simple tu, kuisaidia mahakama kufikia uamuzi wa haki. Si aende mahakamani?


Na kile wakili anaeenda mahakamani kwa iGA hii ataishia kusomeshwa tu na hakimu. Na akizidi ataambiwa alipe gharama za aliowaita mahakamani kuwashitaki.

Si ndiyo maana unawaona wanapiga makelele nje huku. Si waende mahakamani?
Faizal naomba nikurekebishe, mimi sio mzee,ni mtu wa umri wa kati.Pili,nilitaka tu kukupa angalizo kwàmba msidhani everything in the West is rosy, kwa hovyo kweli kweli.
 
Na nnaendelea kusema mawakili uchara na waongo kama mafundi wa Tabata, wanawatia hofu Watanzania kwa kununuliwa kwa thamani ndogo tu.
Mafundi wa Tabata ni product pia ya mfumo mbaya wa serikali ya CCM kama ilivyo Kwa mawakili uchwara. Don't forget that
 
Hii hapa ndio kali, Section AView attachment 2687878
UTANGULIZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi ("Tanzania") na FEMIRATA YA DUBAI, ikiwakilishwa ipasavyo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Bandari, Forodha na Ukanda Huru ("Dubai");

(Tanzania na Dubai baadaye zinajulikana kama "Wanachama wa Jimbo" (kila moja kama "Chama cha Jimbo"):

(A) KWA KUZINGATIA ziara ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Dubai Expo 2020 na kikao alichofanya na Mtawala wa Dubai Februari 2022 kuhusu fursa za uwekezaji nchini Tanzania;

(B) KUZINGATIA Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World (DPW) uliosainiwa katika ziara ya Mh. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Maonesho ya Dubai 2020 tarehe 28 Februari, 2022;

(C) KWA KUZINGATIA matakwa yaliyotolewa katika Makubaliano kuhusu maeneo ya ushirikiano kati ya TPA na DPW kwa ajili ya kuendeleza na/au uboreshaji wa uendeshaji na usimamizi wa miundombinu ya kimkakati ya bandari za Bandari ya Tanzania bahari na ziwa, kanda maalum za kiuchumi, hifadhi za usafirishaji na biashara. korido za Serikali ya Tanzania;

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom