Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Kwa nini huu mkataba hautaji muda wa kusitishwa kwake..?
Na kwa nini pesa ilikopwa WB kwa ajili ya kuongeza ufanihisi halafu muda mfupi tu inasainiwa mkataba wa Dubai port..? Mbona kama hapa pia kuna mazingira ya ufisadi...?
Na kwa nini pesa ilikopwa WB kwa ajili ya kuongeza ufanihisi halafu muda mfupi tu inasainiwa mkataba wa Dubai port..? Mbona kama hapa pia kuna mazingira ya ufisadi...?