Prof. Mbarawa: Treni hii ya Tanzania siyo high speed train kama zile za vichwa vilivyochongoka, Wananchi eleweni hilo

Kibonde chameleon kilisibitishwaje bila kupima ubongo kama alivyo fanyiwa baba wa taifa.
 
Kama hizo za wenzetu zinaenda 200km/hr na zetu zinaenda 160km/hr sasa speed 40 tu ndo ifanye tuletewe majitu yasio eleweka yamerepewa mpka basi dah tunapigwa alaf tunapewa maelezo ya kupigwa na bado watatupa hela kipindi cha uchaguzi tutawarudisha kutupiga tena
 
Hapa Prof Mbarawa, kule Dkt Mwigulu, Màra Paap Mzee Makamba Sr, ukigeuka tu eeee Wastaafu, Wauniiiiiiiiiiiiiiiiiii......Makamba Jr na Awesu kazi iendelee.
 
Washatuchosha aiseh, Mtu unachoka hadi ukiona kweny TV watu wamekaa kijani unatoka ndani nduki kuogopa usije pata mshtuko wa moyo.
 
Narudia,

Reli yetu ni ELECTRIFIED...

Kuwa electrified haimaanishi inaweza kutumika na hizo Bullet Train....

RELI za high speed trains ni tofauti na hii ya kwetu (sio in terms of physical structure).

Hii ya kwetu ina uwezo wa ku-handle trains zinazotembea hadi 160km/hours wakati Bullet Trains/High Speed Trains zinatembea from 250km/hours na kuendelea!

So, ili SGR yetu iweze ku-handle Bullet Trains basi inatakiwa iwe completely modified, na hata reli zake zinaitwa high speed rails.

Na hilo likifanyika, ina maana itabaki fahari tu kwamba tuna high speed rail na high speed trains lakini 99.9% HAWATAWEZA ku-afford coz ukweli ni kwamba, nauli zake zinakuwa kubwa sana kuzidi hata nauli za ndege!

Pili, sijasema Marekani wameshindwa bali ni kama hazipo tu kwa sababu wanaona not commecially viable.

Suala la priority ni la serikali lakini private sector wakiona very profitable, watajenga tu lakini ndo kwanza kuna eneo dogo sana ndo wamewekeza na ma-research kila siku!!

The problem watu mnaongea kishabiki, kwa staili ile ile kwamba "nchi kama Tanzania inakosaje kuwa na ndege zake yenyewe wakati ki nchi kama Rwanda wanazo"

With that Pride, zikanunuliwa ndege ambazo leo hii zinaingiza kutia hasara tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…