Prof. Mbarawa: Tukipata muwekezaji mahiri bandarini, 67% ya bajeti itatoka bandari ya Dar na kuacha kutembeza bakuli

Anatakiwa aseme kuanzia mwaka gani hiyo 67% itaanza kuonekana. Isije ikawa ni ahadi hewa kama uchumi wa gas ya Mtwara.
 
Ewaaa DP WORLD wahiniiiii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…