KERO Prof. Mkenda suala la chakula Shuleni, limekuwa mateso na mzigo kwa Wazazi / Walezi, bora kipangwe kiasi fulani cha fedha kwa wote

KERO Prof. Mkenda suala la chakula Shuleni, limekuwa mateso na mzigo kwa Wazazi / Walezi, bora kipangwe kiasi fulani cha fedha kwa wote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Mara kadhaa Serikali imesisitiza kuwa suala la malipo ya michango ya ziada ni suala la makubaliano kati ya Shule na Wazazi au Walezi wa Watoto, hilo linaangukia pia kwenye suala la chakula kwa Wanafunzi, ambapo utaratibu ulivyo umekuwa kero kwa wengi wetu.

Utaratibu ulivyo kwa sasa kila shule imekuwa na bei zake, mfano ni Tsh. 1,000 hadi 1,500 kila asubuhi.

- Mwanafunzi anapokuwa hana fedha ambalo siyo kosa lake bali ni ufinyu wa kipato kwa Wazazi/Walezi basi adhabu ya fimbo itamwangukia Mwanafunzi huyo na pengine kukatazwa asihudhurie masomo kisa ameshindwa kutoa fedha ya chakula.

- Kiwango cha chakula wapewacho ni kidogo kiasi kwamba kuna baadhi huwa wanapewa si zaidi ya vijiko vitatu vikubwa vya chakula.

- Upo uwezekano mkubwa kwa hasira ambazo Walimu huwa nazo huu huwa mradi wao, + wapewa tender!

- Serikali ipange kiasi sahihi ambacho Mwanafunzi atatakiwa kukilipa kisichozidi Tsh. 500/- aidha kila Mtoto awe anachangia 10,000 kwa mwezi, ili kupata stock ya Jumla kuliko hivi kwa mafungu ambayo kuna muda mambo yakiwa magumu, unamvuruga mtoto.

- Haya nimeyaona katika shule fulani, yakanisikitisha sana!,

-Vipato vya wazazi wengi havipo sawa kuna, wajane wanasomesha, mama ntilie, wabibi walioyelekezewa wajukuu na wengi tu ndani ya jamii yetu,

-Serikali ije na mwarobaini wa tatizo hili la sivyo Walimu watakuja leta maafa wa watoto wasio na hatia yoyote!

Adios amigo!
 
Naunga hoja kipangwe kiwango ,ila watoto lazime wale na asiechangia atandikwe mboko za matako.Haiwezekani mtoto toka amekula saa mbili usiku ugali na fulu aje ale tena kesho saa 11 jioni.Zaidi ya masaa 20 kafunga.Hata rafiki zangu Waislamu ambao nawakubali sana kwenye hiyo sekta wanafunga kwa takribani masaa 12.Ubwabwa oyee .
 
-Kila shule na bei zake, 1000-1500 kila asubuhi,
-mwanafunzi anapokuwa hana fedha ambalo siyo kosa lake bali ni ufinyu wa kipato kwa wazazi basi adhabu ya fimbo itamwangukia mwanafunzi huyo na pengine kukatazwa asihudhurie musoma kisa ameshindwa kutoa fedha ya chakula,
-kiwango cha chakula wapewacho huwa si zaidi ya vijiko vitatu vikubwa vya chakula,
-upo uwezekano mkubwa kwa hasira ambazo walimu huwa nazo huu huwa mradi wao, + wapewa tender!
-serekali ipange kiasi sahihi ambacho mwanafunzi atatakiwa kukilipa kisichozidi 500/- aidha kila mtoto awe anachangia 10000 kwa mwezi, ili kupata stock ya Jumla,
-haya nimeyaona katika shule fulani, yakanisikitisha sana!,
-vipato vya wazazi wengi havipo sawa kuna, wajane wanasomesha, mama ntilie, wabibi walioyelekezewa wajukuu na wengi tu ndani ya jamii yetu,
-Serekali ije na mwarobaini wa tatizo hili la sivyo walimu watakuja leta maafa wa watoto wasio na hatia yoyote!

Adios amigo!
Heading umeandika kama katot😵mba moderators waedit.
 
Kama unaona Elimu ni gharama na walimu wananufaika na buku lako, basi endeleza ujinga kwa mwanao.

Ukishindwa kumhudumia wewe uliyemzaa huyo mtoto, unataka nani akusaidie kumhudumia?, au ndo yaleyale ya watu kumlaumu Trump kusitisha Misaada utadhani ni haki yao kusaidiwa tu?.
Semea walio wengi,Semea watanzania wengi, hafai kuwa kiongozi!
 
Kama unaona Elimu ni gharama na walimu wananufaika na buku lako, basi endeleza ujinga kwa mwanao.

Mwalimu hapaswi kumchapa wala kumfukuza mtoto asiyechangia chakula, bali muache apambane na njaa kutwa nzima.


Ukishindwa kumhudumia wewe uliyemzaa huyo mtoto, unataka nani akusaidie kumhudumia?, au ndo yaleyale ya watu kumlaumu Trump kusitisha Misaada utadhani ni haki yao kusaidiwa tu?.

Viburi vya wa Tanzania wapumbavu walioajiriwa baada ya kupata Mikopo
 
Kama unaona Elimu ni gharama na walimu wananufaika na buku lako, basi endeleza ujinga kwa mwanao.

Mwalimu hapaswi kumchapa wala kumfukuza mtoto asiyechangia chakula, bali muache apambane na njaa kutwa nzima.


Ukishindwa kumhudumia wewe uliyemzaa huyo mtoto, unataka nani akusaidie kumhudumia?, au ndo yaleyale ya watu kumlaumu Trump kusitisha Misaada utadhani ni haki yao kusaidiwa tu?.
itakuwa ni mwalimu wewe sio bure maana hilo povu sio la kawaida
 
Kama unaona Elimu ni gharama na walimu wananufaika na buku lako, basi endeleza ujinga kwa mwanao.

Ukishindwa kumhudumia wewe uliyemzaa huyo mtoto, unataka nani akusaidie kumhudumia?, au ndo yaleyale ya watu kumlaumu Trump kusitisha Misaada utadhani ni haki yao kusaidiwa tu?.
Wewe ni mpumbavu sana.
Kama suala la chakula limebainika ni la maana sana shule kwanini lisiwe la kitaifa na serikali ikagharamia hicho chakula?
Kwanini serikali isitangaze ada kamili kwa kila mwanafunzi kitaifa Ili kumudu suala la chakula mashuleni?
Hivi kama taifa tuna akili timamu kweli kuruhusu mtoto abebe pesa ya chakula kila asubuhi?
Elimu ni muhimu , yes. Kwanini tununue ma dreamliner ya mabilioni huku kwenye elimu hatujamalizana nako?
 
Viburi vya wa Tanzania wapumbavu walioajiriwa baada ya kupata Mikopo
Binafsi sijawahi sikia watoto wakichapwa au kufukuzwa shuleni kisa mchango wa chakula, ila nimeona watoto wakishinda njaa kutwa nzima bila msaada kisa hawajachangia chakula.
 
Chakula ni muhimu
-Kila shule na bei zake, 1000-1500 kila asubuhi,
-mwanafunzi anapokuwa hana fedha ambalo siyo kosa lake bali ni ufinyu wa kipato kwa wazazi basi adhabu ya fimbo itamwangukia mwanafunzi huyo na pengine kukatazwa asihudhurie musoma kisa ameshindwa kutoa fedha ya chakula,
-kiwango cha chakula wapewacho huwa si zaidi ya vijiko vitatu vikubwa vya chakula,
-upo uwezekano mkubwa kwa hasira ambazo walimu huwa nazo huu huwa mradi wao, + wapewa tender!
-serekali ipange kiasi sahihi ambacho mwanafunzi atatakiwa kukilipa kisichozidi 500/- aidha kila mtoto awe anachangia 10000 kwa mwezi, ili kupata stock ya Jumla,
-haya nimeyaona katika shule fulani, yakanisikitisha sana!,
-vipato vya wazazi wengi havipo sawa kuna, wajane wanasomesha, mama ntilie, wabibi walioyelekezewa wajukuu na wengi tu ndani ya jamii yetu,
-Serekali ije na mwarobaini wa tatizo hili la sivyo walimu watakuja leta maafa wa watoto wasio na hatia yoyote!

Adios amigo!
 
Binafsi sijawahi sikia watoto wakichapwa au kufukuzwa shuleni kisa mchango wa chakula, ila nimeona watoto wakishinda njaa kutwa nzima bila msaada kisa hawajachangia chakula.

Apply Tena ukasoma Diploma ya common sense, maana ulivyochangia hapo awali na unachoandika kinaonyesha common sense yako sio common
 
Kama unaona Elimu ni gharama na walimu wananufaika na buku lako, basi endeleza ujinga kwa mwanao.

Mwalimu hapaswi kumchapa wala kumfukuza mtoto asiyechangia chakula, bali muache apambane na njaa kutwa nzima.


Ukishindwa kumhudumia wewe uliyemzaa huyo mtoto, unataka nani akusaidie pkumhudumia?, au ndo yaleyale ya watu kumlaumu Trump kusitisha Misaada utadhani ni haki yao kusaidiwa tu?.
Maoni ya mwalimu mwenye msongo wa mawazo
 
Wewe ni mpumbavu sana.
Kama suala la chakula limebainika ni la maana sana shule kwanini lisiwe la kitaifa na serikali ikagharamia hicho chakula?
Kwanini serikali isitangaze ada kamili kwa kila mwanafunzi kitaifa Ili kumudu suala la chakula mashuleni?
Hivi kama taifa tuna akili timamu kweli kuruhusu mtoto abebe pesa ya chakula kila asubuhi?
Elimu ni muhimu , yes. Kwanini tununue ma dreamliner ya mabilioni huku kwenye elimu hatujamalizana nako?
Swala la lishe ni swala la kitaifa mashuleni
 
-Kila shule na bei zake, 1000-1500 kila asubuhi,
-mwanafunzi anapokuwa hana fedha ambalo siyo kosa lake bali ni ufinyu wa kipato kwa wazazi basi adhabu ya fimbo itamwangukia mwanafunzi huyo na pengine kukatazwa asihudhurie musoma kisa ameshindwa kutoa fedha ya chakula,
-kiwango cha chakula wapewacho huwa si zaidi ya vijiko vitatu vikubwa vya chakula,
-upo uwezekano mkubwa kwa hasira ambazo walimu huwa nazo huu huwa mradi wao, + wapewa tender!
-serekali ipange kiasi sahihi ambacho mwanafunzi atatakiwa kukilipa kisichozidi 500/- aidha kila mtoto awe anachangia 10000 kwa mwezi, ili kupata stock ya Jumla,
-haya nimeyaona katika shule fulani, yakanisikitisha sana!,
-vipato vya wazazi wengi havipo sawa kuna, wajane wanasomesha, mama ntilie, wabibi walioyelekezewa wajukuu na wengi tu ndani ya jamii yetu,
-Serekali ije na mwarobaini wa tatizo hili la sivyo walimu watakuja leta maafa wa watoto wasio na hatia yoyote!

Adios amigo!
Kuna walimu wana mtindio wa ubongo. Sasa unamchapaje mtoto kwa kukosa hela aliyotakiwa apewe na mzazi🤭
 
Back
Top Bottom