Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kwani wakati haya màmbo yamepigwa marufuku watoto walikuwa hawasomi?-Kila shule na bei zake, 1000-1500 kila asubuhi,
-mwanafunzi anapokuwa hana fedha ambalo siyo kosa lake bali ni ufinyu wa kipato kwa wazazi basi adhabu ya fimbo itamwangukia mwanafunzi huyo na pengine kukatazwa asihudhurie musoma kisa ameshindwa kutoa fedha ya chakula,
-kiwango cha chakula wapewacho huwa si zaidi ya vijiko vitatu vikubwa vya chakula,
-upo uwezekano mkubwa kwa hasira ambazo walimu huwa nazo huu huwa mradi wao, + wapewa tender!
-serekali ipange kiasi sahihi ambacho mwanafunzi atatakiwa kukilipa kisichozidi 500/- aidha kila mtoto awe anachangia 10000 kwa mwezi, ili kupata stock ya Jumla,
-haya nimeyaona katika shule fulani, yakanisikitisha sana!,
-vipato vya wazazi wengi havipo sawa kuna, wajane wanasomesha, mama ntilie, wabibi walioyelekezewa wajukuu na wengi tu ndani ya jamii yetu,
-Serekali ije na mwarobaini wa tatizo hili la sivyo walimu watakuja leta maafa wa watoto wasio na hatia yoyote!
Adios amigo!
Waalimu wamepata mradi wa kuwingizia pesa, serikali iangalie maàna sasa ni kama rushwa kwa traffic.
Wanaadhibiwa watoto wasio na hatia.