Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja, na sio Waziri bora tuu, toka akiwa PS, he was the best!.Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Ndio huyu alikua anavutana na kigwala mpaka JPM akatishia kuwafuta kazi wote wasipopatana?Tangu akiwa Katibu mkuu wizara ile ya Kigwangala.
Kweli kabisa, huyo UD college mate,Adolf Mkenda naye ni kati ya viongozi wachache kwenye cabinet, wanaojaribu kuitendea haki elimu waliyoipata.........Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Prof Mkenda yupo vizuri..Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Akiwa Maliasili walizinguana sana na KigwangalaNi mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
ila anapenda sana kujionyesha kwenye tv.Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
DAP tulkuwa tunanunua kwa 55,000 kwa mfuko. Siku hizi ni 90,000. Bado unasema wizara ina mawaziri wazuri. Usinidanganye.Nakubaliana na wewe ni waziri mzuri lakini siyo kwa sifa za kijinga kama hizo ulizoweka hapo.
Hata msaidizi wake ni waziri mzuri.
Safari hii Kilimo kimepata mawaziri wenye hadhi stahiki kwa wizara hiyo muhimu sana.