Prof. Mkenda, Waziri bora na wa mfano

Prof. Mkenda, Waziri bora na wa mfano

Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
ila anapenda sana kujionyesha kwenye tv.
aache show of, achape kazi, wananchi wanataka kuona matokeo sio maneno mengi na kuonekana kwenye tv.
bado safari ni ndefu, muda wa kujipongeza bado sana.
 
Nakubaliana na wewe ni waziri mzuri lakini siyo kwa sifa za kijinga kama hizo ulizoweka hapo.

Hata msaidizi wake ni waziri mzuri.
Safari hii Kilimo kimepata mawaziri wenye hadhi stahiki kwa wizara hiyo muhimu sana.
DAP tulkuwa tunanunua kwa 55,000 kwa mfuko. Siku hizi ni 90,000. Bado unasema wizara ina mawaziri wazuri. Usinidanganye.
 
Back
Top Bottom