Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Kwa maprofesa nguli kama hawa kuhoji, kuna kitu nyuma ya pazia! Ni jukumu sasa la mamlaka ya udhibiti wa elimu ya juu nchini (TCU) kutoa majibu fasaha. Kama kuna michezo wanasiasa wanafanya kuchezea elimu angalau wawili watatu wawe mifano kukomesha hali hii for good!

Wekeni hizo abstracts, conclusions, na supervisors online watu wapitie; hata hizo theses hazitakiwi kuwa siri. Ziwekwe public pengine watafiti wengine wangependa "kuanzia walipoishia" kwenye tafiti mpya.
Bongo hii huwa naona tuko nyuma sana katika mambo mengi mno, imagine hata hili nalo mpaka leo lipo hivi ndio chanzo cha kuleta PHD zisizo na uhakika kabisa
 
Unamaanisha nini kusema kitafahamika Tandale wakati international ranking katika vyanzo mbalimbali vinavyoaminika ikiwemo Webomatrics wanaki-rank hicho chuo kuwa ni cha 4 kwa ubora Tanzania mwaka wa tano sasa mfululizo?

Mimi naona ni uzwazwa kukilaumu chuo pekee badala ya kukemea huu upuuzi wa wanasiasa kuingilia taaluma. Nakuapia chuo chochote kile unachokiheshimu hapa Tanzania, hawa vilaza wanasiasa hawashindwi kufanya waliyoyafanya UDOM. Fuatilia records UDSM,MZUMBE na Open University uthibitishe nisemalo.


Pia ukitaka kujua kuwa huu upuuzi unaendekezwa kwa wanasiasa tu basi jaribu wewe kapuku mwenzangu kujiunga PhD hapohapo UDOM uone mziki utakaokutana nao.
Mwenyekiti wa University Council ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Chama Tawala CCM, Umoja wa Wanawake UWT.
Na ana Diploma ya Ualimu Praimari na Sekondari.
What do you expect?
 
Hawa kina Prof Mwandosya, Prof Muhongo, Dkt Mwakyembe, Dkt Kijaji, Dkt Jasmine Tiisekwa, Dkt Tito Mwinuka (DG wa zamani TANESCO), Dkt Bashiru Ally, Dkt Leonard Chamuriho, Dkt Pudensiana Kikwembe, Prof Adelardus Kilangi, Prof Palamagamba Kabudi na wengine wengi inabidi warudi vyuoni wakafundishe. Huku kwenye practice wawaachie tenure-track practitioners huko wizarani na kwenye taasisi. Kwani kuna shida gani hawa practitioners waiwa promoted wakachukua hizo nafasi za juu ?

Kwani kuna ulazima wa kiasi hicho wa kuwatoa hawa wahadhiri vyuoni ?

Binafsi siamini kama kuna umuhimu wa kiasi hicho (labda kwenye exception kadhaa nitakubali). Ila hawa practitioners waliopo wizarani na

kwenye taasisi kadhaa za serikali wanatosha kushika hizo nafasi.

Nafikiri sauti inatosha.

Ujumbe uwafikie
Daah, vyuoni hakuna nono kama Bungeni......
 
Mwenyekiti wa University Council ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Chama Tawala CCM, Umoja wa Wanawake UWT.
Na ana Diploma ya Ualimu Praimari na Sekondari.
What do you expect?
Hivi kuna sheria inayotoa vigezo vya Mwenyekiti wa Council anatakiwa aweje ???
 
Usijitie usahaulifu kushangaa huyo unayemwita mwalimu wa secondary kuwa chairwoman wa University Council na hukumshangaa huyohuyo mwalimu alipokuwa Waziri wa Elimu,Sayansi na Technology
Tumia akili kidogo.
Uwaziri ni post ya kisiasa, any Tom, Dick and Harryanaweza kaa pale na anasimamia sera za kisiasa.
Vyuoni hakuna siasa kule, ni kucheck intergrity na quality education.
Ona sasa mwanasiasa haoni uozo wa kugawa PhD kama njugu kwa thesises ambazo hata hata kijana wa first degree0hawezi andika vile.
 
Unamaanisha nini kusema kitafahamika Tandale wakati international ranking katika vyanzo mbalimbali vinavyoaminika ikiwemo Webomatrics wanaki-rank hicho chuo kuwa ni cha 4 kwa ubora Tanzania mwaka wa tano sasa mfululizo?

Mimi naona ni uzwazwa kukilaumu chuo pekee badala ya kukemea huu upuuzi wa wanasiasa kuingilia taaluma. Nakuapia chuo chochote kile unachokiheshimu hapa Tanzania, hawa vilaza wanasiasa hawashindwi kufanya waliyoyafanya UDOM. Fuatilia records UDSM,MZUMBE na Open University uthibitishe nisemalo.


Pia ukitaka kujua kuwa huu upuuzi unaendekezwa kwa wanasiasa tu basi jaribu wewe kapuku mwenzangu kujiunga PhD hapohapo UDOM uone mziki utakaokutana nao.
Mkuu utasifiaje UDOM wakati upo ushahidi wa wazi wa Jafo na Biteko kutunukiwa PhD ambazo umma wa kisomi una wasiwasi nazo.
 
1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)
 
1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)
MKuu Mshana Jr

Kila Vyuo vina taratibu za kutoa tuzo za kitaaluma na lazima zifuatwe kwa usahihi kabisa.

Ili upate PhD, mosi lazima uwe na sifa za kitaaluma kuruhusiwa kusoma.

Kwa TZ lazima uwe na masters na uwe umefaulu kwa GPA isiyopungua 3. Ukishaingia, inabidi uandike research proposal ambayo itachambuliwa na kunyambuliwa na wataalam na kamati kadhaa kabla haijakubaliwa na kuruhusiwa kuendelea.

Baada ya hapo unaenda field kukusanya data. Kinachofuata unaanza kuchambua na kunyumbulisha data zako na kuanza kuandika tasnia.


Huo ni mchakato usiopungua mwaka mmoja hadi miwili kama hakuna tatizo lolote. Ukishakamilisha kuandika tasnia yako itasomwa na kusomwa na kupewa kila aina ya maoni malaini na makali.

Ikipita hapo tasnia inaenda kutahiniwa na watu wawili, moja ndani ya Chuo na mwingine nje ya chuo chako na mara nyingi kutoka nje ya nchi. Hao wakikubali unaenda kwenye mtihani wa mwisho unaoitwa viva voce examination.

Sasa tunaopinga hizi PhD za wenzetu tulete ushahidi kama hawa ndugu hawakupitia hiyo michakato.
 
1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)
Tafiti sasa na utupe taarifa. Ni jukumu la wenye mashaka kufanya utafiti na kuleta ushahidi. Sasa mnauliza maswali huku mitandaoni mnamuuliza nani? Leteni data
 
Unamaanisha nini kusema kitafahamika Tandale wakati international ranking katika vyanzo mbalimbali vinavyoaminika ikiwemo Webomatrics wanaki-rank hicho chuo kuwa ni cha 4 kwa ubora Tanzania mwaka wa tano sasa mfululizo?

Mimi naona ni uzwazwa kukilaumu chuo pekee badala ya kukemea huu upuuzi wa wanasiasa kuingilia taaluma. Nakuapia chuo chochote kile unachokiheshimu hapa Tanzania, hawa vilaza wanasiasa hawashindwi kufanya waliyoyafanya UDOM. Fuatilia records UDSM,MZUMBE na Open University uthibitishe nisemalo.


Pia ukitaka kujua kuwa huu upuuzi unaendekezwa kwa wanasiasa tu basi jaribu wewe kapuku mwenzangu kujiunga PhD hapohapo UDOM uone mziki utakaokutana nao.
Makapuku na wasio na vyeo ndio huteseka huko chuoni, Mimi Kuna wahadhiri walinifundisha undergraduate tena wakiwa PhD na wako full time hapo chuoni ila PhD zimewachukua mda kumaliza, achilia tu masters Sasa Mimi nawashangaa Hawa wanasiasa vilaza kumaliza at right time huku wakiwa wako full time kwenye majukumu yao
 
UDOM wangepewa Waislamu kama ilivyokuwa Chuo cha TANESCO Morogoro. Hiki ni chuo chenye hadhi ya chini sana.
Mshamba mkubwa wewe, Udom ni chuo kikubwa na kina heshims yake. Pia acha dharau kwa waislami, mimi siyo Muslim ila sijaoenda dharau yako.
 
Makapuku na wasio na vyeo ndio huteseka huko chuoni, Mimi Kuna wahadhiri walinifundisha undergraduate tena wakiwa PhD na wako full time hapo chuoni ila PhD zimewachukua mda kumaliza, achilia tu masters Sasa Mimi nawashangaa Hawa wanasiasa vilaza kumaliza at right time huku wakiwa wako full time kwenye majukumu yao
Ha ha ha!
Jafo na Biteko wana PhD(Pubic hair Dressers)
 
Ukiona hadi wanatoa ujue wana ithibati ya TCU.

Udom hawajaanza kutoa PhD za akina Biteko. Juzi walitoa zaidi ya 60 wakiwemo hao.
 
Back
Top Bottom