Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.
 
Kwa sababu ameongea usilopenda kusikia?
Kuna wakati tusikilize na kuyafanyia kazi hata tusiyopenda kusikia.

Binafsi sihitaji katiba mpya maana naona mchakato ulioporwa na wanasiasa na kwa sasa la msingi ni watu kuuvaa uwajibikaji na kuacha ubinafsi.
Shida ya Africa sio Katiba bali ni utashi mbovu wa waAfrica, WAAFRICA BADO HAWAJASTARABIKA NA HATA UKIWALETEA KATIBA MPYA BADO TUTAONA HAIFAI TU.

TUSTAARABIKE KWANZA NA KUPENDANA WENYEWE KWA WENYEWE, HAYA YA KATIBA NI MAGUMU SANA KWETU.
 
Wapumbavu hata uwape katiba nzuri kiasi gani bado ni wapumbavu tu na wataendelea kubishana milele amina.

KATIBA MPYA bado itakuwa mali ya wapumbavu ambao ni sisi watanzania kwa mamilioni, TUACHE UPUMBAVU KWANZA.
 
Acha mihemuko, wapi nimeongelea maoni yake! Refa haruhusiwi kuuzuia mpira usitoke uwanjani, yeye kama anataka kutoa maoni aiache kazi ya uenyekiti ili awe nasi kwenye kutoa maoni.

Amejaribu kufanunua upande wa pili wa CD ambao wengi hawauzungumzii na wala hawataki kuusikia kwa sababu ya interest zao, UPANDE WA WATU WASIOTAKA KATIBA MPYA.
 
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.
Mie nilivosikia tu ba mkwe (Hamad Rashid)nae yumo, nikajua pamekucha.
Hii kamati ni kama imejifanya kukusanya maoni ya Katiba mpya sawa na ya tume ya Jaji Warioba ati. Inakera.
 
Acha kufananisha Nchi makini na Nchi ya hovyohovyo

Hata hizo zilikuwa za hovyohovyo kabla ya kuwa makini, Tanzania kwasasa ni ya hovyohovyo na watu wake ukiwemo wewe na mimi labda kama wewe sio MTZ.
TUUACHE KWANZA UHOVYOHOVYO NDIO TUANZE KUTENGENEZA KATIBA NYINGINE.
 
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.
Na mwisho wa kukusanya maoni ni lini?
 
Acha mihemuko, wapi nimeongelea maoni yake! Refa haruhusiwi kuuzuia mpira usitoke uwanjani, yeye kama anataka kutoa maoni aiache kazi ya uenyekiti ili awe nasi kwenye kutoa maoni.
Mzee Warioba wakati akiwa anaongoza tume ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya sikuwahi kumsikia akitoa maoni yake binafsi. Mara nyingi kama so zote walikuwa akiwataja wananchi in percentage au kwa eneo, kundi maalumu n.k HE DESERVES A ROUND OF APPLAUSE! Huyu Mkandara pamoja na uprofesa wake wa jalalani haiwezi hii kazi huo ndio ukweli tusionaene haya katika suala nyeti kama hili.
 
Mzee Warioba wakati akiwa anaongoza tume ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya sikuwahi kumsikia akitoa maoni yake binafsi. Mara nyingi kama so zote walikuwa akiwataja wananchi in percentage au kwa eneo, kundi maalumu n.k HE DESERVES A ROUND OF APPLAUSE! Huyu Mkandara pamoja na uprofesa wake wa jalalani haiwezi hii kazi huo ndio ukweli tusionaene haya katika suala nyeti kama hili.
Huyo ndiyo alikuwa Mwenyekiti kweli tofauti na hiki kikosa kazi
 
Tatizo letu ni kudhani katiba mpya inahusu Chadema na vyama vingine kuruhusiwa kufanya siasa bila kujua katiba ni zaidi ya siasa. Katiba ndiyo inayoshikilia maisha yote ya kila siku ya wananchi, leo unakuta kidudumtu kinasema eti yeye hahitaji katiba mpya! Huyu ni mpumbavu kwani yeye anajua katiba inahusu vyama vya siasa tu bila kujua inahusu hata ndoa yake na wanawe, pia inahusu hata biashara tuzifanyazo nchini na elimu na mambo yote tuyafanyayo kila siku.
 
Kwa sababu ameongea usilopenda kusikia?
Kuna wakati tusikilize na kuyafanyia kazi hata tusiyopenda kusikia.

Binafsi sihitaji katiba mpya maana naona mchakato ulioporwa na wanasiasa na kwa sasa la msingi ni watu kuuvaa uwajibikaji na kuacha ubinafsi.
Shida ya Africa sio Katiba bali ni utashi mbovu wa waAfrica, WAAFRICA BADO HAWAJASTARABIKA NA HATA UKIWALETEA KATIBA MPYA BADO TUTAONA HAIFAI TU.

TUSTAARABIKE KWANZA NA KUPENDANA WENYEWE KWA WENYEWE, HAYA YA KATIBA NI MAGUMU SANA KWETU.
Ni mpumbavu tu ambaye anaona msingi wa nyumba yake umapata ufa au umetitia halafu anijipa matumaini kuwa hi nyumba Bado inanifaa kuishi ndani yake maadam bado imesimama.

Kwenye jamii yoyote ustaarabu unakuja baada ya kuwekeana Sheria, taratibu na kanuni znazokubalika na kuendana wakati husika kwa ajili ya kuongoza hiyo jamii.

Kwa katiba hii ya sasa ya Tanzania huwezi kupata huo ustaarabu unaotuaminisha hapa. Mambo mengi yamepitwa na wakati na yanahitajika kurekebishwa au kuondolewa kabisa na kuweka mapya. Hata ukisema wafanye marekebisho ya hii katiba ya sasa ni useless and lack of common sense.
 
Tatizo letu ni kudhani katiba mpya inahusu Chadema na vyama vingine kuruhusiwa kufanya siasa bila kujua katiba ni zaidi ya siasa. Katiba ndiyo inayoshikilia maisha yote ya kila siku ya wananchi, leo unakuta kidudumtu kinasema eti yeye hahitaji katiba mpya! Huyu ni mpumbavu kwani yeye anajua katiba inahusu vyama vya siasa tu bila kujua inahusu hata ndoa yake na wanawe, pia inahusu hata biashara tuzifanyazo nchini na elimu na mambo yote tuyafanyayo kila siku.

Wewe ukitaka katiba mpya ni lazima na wengine waitake katiba mpya?
Angle uliyokaa wewe na kuyaona mambo sio angle niliyokaa mimi na kuyaona mambo.

Kutokuwepo miundombinu bora ya barabara, maji, Elimu nk binafsi siamini kama shida yake ni Katiba.

Pale SOUTHAFRICA ambako labda tunaona wanakatiba bora kwakuwa Rais anaweza kutolewa madarakani nakukaa jela tunasahau ukitoa wale KABURU WOOOTE na kuacha wale WEUSI na ukawaachia hiyo hiyo katiba bora lile TAIFA LINAENDA KUWA MASIKINI MWEZI TU.

SHIDA YA AFRICA NI WATU ambao ni mimi na wewe na UTASHI WETU WA KIJINGA.

MWAFRICA HATAKI MAMBO MAGUMU MAGUMU NAKUSACRIFICE KWAAJILI YA MAISHA YA VITUKUU VYAKE, KIFUPI KIZAZI HIKI KIFANYE KAZI KWA BIDIII NA KINGINE KIFANYE KAZI KWA BIDII THEN WANAOFUATA WAKUTE MAENDELEO.
 
Ni mpumbavu tu ambaye anaona msingi wa nyumba yake umapata ufa au umetitia halafu anijipa matumaini kuwa hi nyumba Bado inanifaa kuishi ndani yake maadam bado imesimama.

Kwenye jamii yoyote ustaarabu unakuja baada ya kuwekeana Sheria, taratibu na kanuni znazokubalika na kuendana wakati husika kwa ajili ya kuongoza hiyo jamii.

Kwa katiba hii ya sasa ya Tanzania huwezi kupata huo ustaarabu unaotuaminisha hapa. Mambo mengi yamepitwa na wakati na yanahitajika kurekebishwa au kuondolewa kabisa na kuweka mapya. Hata ukisema wafanye marekebisho ya hii katiba ya sasa ni useless and lack of common sense.

Unafikiri maendeleo hayaji kwa sababu ya KATIBA?

Hiyo katiba ambayo leo imepitwa na wakati, wakati wake iliwahi kuleta maendeleo gani kwa raia wake?

Sio kila utaratibu wa kuishi ndio Katiba, Msingi ulipokuwepo mbona hiyo nyumba hatukuimalizia kuijenga mpaka mmomonyoka umeikuta na kucrack huo msingi?

Katiba hii hii tuliyonayo ni mara ngapi imechezewa na kuvunjwa au kutofuatwa?
Kwani hakuna mahala hii katiba inatoa adhabu kwa kutofuatwa ni nani Elite amepewa hiyo adhabu.

MPUMBAVU HATA UMUWEKEE UTARATIBU GANI NI SHIDA TU, MTOE KWANZA UPUMBAVU KWA MIJEREDI NDIO AKILI ITAMKAA SAWA,.

ULAYA NA AMERICA ZILIENDELEA KWA MIJEREDI NA UTEMI MWINGI, MWAFRICA ANATAKA KULELEWA NA KUBEMBELEZWA.

TAJA NCHI TATU ZA AFRICA ZILIZOENDELEA KAMA MATOKEO YA KATIBA BORA.
UKIONA NCHI AFRICA IMEENDELEA BASI NI INFLUENCE YA WAZUNGU KWA MANUFAA YAO FULANI FULANI.

MTU MWEUSI ANAPASWA KUJITAMBUA KWANZA, YEYE NI NANI, SHIDA YAKE DUNIANI NI NINI NA THAMANI YAKE NI NINI.
 
KUTOA JUA TATIZO LA MSINGI KWA MWAFRICA KUNAMFANYA AHANGAIKEHANGAIKE SANA KILA LEO.
TUACHE KUJITOA AKILI NA KULIACHA TATIZO LA MSINGI LA KUACHA UJINGA WETU NA KUANZA KUTUPIA LAWAMA KATIBA.


Hawa wezi kwenye serikali ndio ndugu kwenye familia zetu, JE HUKO KWENYE FAMILIA TUNAWAKEMEA?
Huko makanisani na misikitini wanapotoa mamilioni ya sadaka na kuwapigia makofi tunawakemea?
Huko kwenye maharusi na masherehe hawa ndugu zetu wanapotoa michango ya mamilioni ya hela tunawakemea? au tunasubiri KATIBA MPYA?

Leo tunachanga mamilioni ya hela kwenye maharusi ilihali wote makapuku, hii michango tungechanga tukachimba visima vya maji vijijini kwetu au simple classes vijijini vijana wakasoma tunapungukiwa nini?
Michango ya kujenga makanisa makuubwa na tungejenga mashule na mahospitali na sisi tukaabudu majumbani kwetu tungepungukiwa nini?
Lini tuliandamana kuishinikiza serikali ibadili mfumo wa elimu uwe na nafuu na uendane na dunia hii.
Lini tuliitisha vikao na harambee za mitaa kuchangia watoto wasiojiweza mtaani kwenu waende shule wakasome.
Hii mikusanyiko ya jumuiya za kidini kwanini isiwe mikusanyiko ya wanamitaa kujadili maendeleo ya mitaa na kukadili namna bora ya kukuza vipaji na vya watoto mtaani.

YOTE TUNASUBIRI KATIBA MPYA.
 
Kwa sababu ameongea usilopenda kusikia?
Kuna wakati tusikilize na kuyafanyia kazi hata tusiyopenda kusikia.

Binafsi sihitaji katiba mpya maana naona mchakato ulioporwa na wanasiasa na kwa sasa la msingi ni watu kuuvaa uwajibikaji na kuacha ubinafsi.
Shida ya Africa sio Katiba bali ni utashi mbovu wa waAfrica, WAAFRICA BADO HAWAJASTARABIKA NA HATA UKIWALETEA KATIBA MPYA BADO TUTAONA HAIFAI TU.

TUSTAARABIKE KWANZA NA KUPENDANA WENYEWE KWA WENYEWE, HAYA YA KATIBA NI MAGUMU SANA KWETU.
Hakupaswa aongee hata tunayopenda kusikia bilateral kutekana , kuuana , kulawitiwa , kwa sababu ya maoni tofaut ya kisiasa maumivu yake na matendo kutogusa familia zao hususan watoto wa damu wataendelea kufanya sanaa za kitoto , sa nani nchi hii anamuamini pronyoko mkandala
 
Kwa sababu ameongea usilopenda kusikia?
Kuna wakati tusikilize na kuyafanyia kazi hata tusiyopenda kusikia.

Binafsi sihitaji katiba mpya maana naona mchakato ulioporwa na wanasiasa na kwa sasa la msingi ni watu kuuvaa uwajibikaji na kuacha ubinafsi.
Shida ya Africa sio Katiba bali ni utashi mbovu wa waAfrica, WAAFRICA BADO HAWAJASTARABIKA NA HATA UKIWALETEA KATIBA MPYA BADO TUTAONA HAIFAI TU.

TUSTAARABIKE KWANZA NA KUPENDANA WENYEWE KWA WENYEWE, HAYA YA KATIBA NI MAGUMU SANA KWETU.
Umejitafakari kibnafsi bila kuangalia kesho ya kizazi chako. Yaani wewe unaamini watoto wako unaoendelea kuwasomesha wataendelea kuishi kama uaminivo? Lazima ukubali kuwa kuna Political evolution. Leo sio kesho!
 
Back
Top Bottom