Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Katiba ni takwa la nchi.

Takwa la watu wa chache

Me wala sitaji katiba mpya coz katiba hii ya sasa ambayo ww unaona ni mbovu haijanizuia kufanya anything

Au ww unataka katiba mpya Kwa ajili ya nn?

Utanufaika nayo nn ww na familia yako?
 
Takwa la watu wa chache

Me wala sitaji katiba mpya coz katiba hii ya sasa ambayo ww unaona ni mbovu haijanizuia kufanya anything

Au ww unataka katiba mpya Kwa ajili ya nn?

Utanufaika nayo nn ww na familia yako?
Maswali yako yamenifanya jasho linitoke, katiba inajumuisha mambo mengi sana kulingana na takwa la kila mtu kulingana na shughuri zake ila wote tunakuja kukutana ni kwenye haki ya kuishi, sasa kama wewe hata haki ya kuishi iliyomo kwenye katiba hauoni faida yake! Ndipo jasho linaponitoka.
 
Maswali yako yamenifanya jasho linitoke, katiba inajumuisha mambo mengi sana kulingana na takwa la kila mtu kulingana na shughuri zake ila wote tunakuja kukutana ni kwenye haki ya kuishi, sasa kama wewe hata haki ya kuishi iliyomo kwenye katiba hauoni faida yake! Ndipo jasho linaponitoka.
Katiba ya sasa inasema ww hauna haki ya kuishi?

Au Kwa akili yako kukiwa na katiba mpya hakuna watu watauliwa au kupotea?

Una umri gani kwanza? Nisije kuwa naongea na under 35yrs old
 
Katiba ya sasa inasema ww hauna haki ya kuishi?

Au Kwa akili yako kukiwa na katiba mpya hakuna watu watauliwa au kupotea?

Una umri gani kwanza? Nisije kuwa naongea na under 35yrs old
Unapenda kutawaliwa kirahisi rahisi, nimekuambia kila mtu ana hitaji lake kwenye katiba iliyo bora na analipata bila vikwazo.
 
USA, UK, FRANCE, GERMANY nk ni mara ngapi wamebadirisha katiba zao tangu kuanzishwa kwake?

Sasa kama huko kote unakubali wamebadilisha, unaona shida gani watu wakitaka mabadiliko ya katiba huku, au hujui unaongea nini?
 
Hata hizo zilikuwa za hovyohovyo kabla ya kuwa makini, Tanzania kwasasa ni ya hovyohovyo na watu wake ukiwemo wewe na mimi labda kama wewe sio MTZ.
TUUACHE KWANZA UHOVYOHOVYO NDIO TUANZE KUTENGENEZA KATIBA NYINGINE.

Unataka nini kifanyike ili tujue uhovyohovyo umeisha ili katiba mpya ianze kudaiwa?
 
Tatizo kubwa la waafrika siyo katiba ..... kama nasema uongo basi wape katiba yoyote ya nchi za magaribi, kama matatizo yataisha.....
wezetu wazungu walipambana sana, na umasikini na ujinga, ndipo wakangundua kuna kitu kinaitwa katiba bora.
Katiba ni matokeo ya vizazi bora

Sosi bado tunasafari ya kutoa ujinga kwanza na ufakara.. ndipo tuanze na ustarabu wa katiba mpya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwako Porofesa Mukandala nadhani umewasikia wananchi, hawakutaki.
Najua watanzania hatuna utamaduni wa kuachia ngazi.
 
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.

Kikosi kazi…Kamati ya CCM ya Katiba
 
Back
Top Bottom