Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Wewe ukitaka katiba mpya ni lazima na wengine waitake katiba mpya?
Angle uliyokaa wewe na kuyaona mambo sio angle niliyokaa mimi na kuyaona mambo.

Kutokuwepo miundombinu bora ya barabara, maji, Elimu nk binafsi siamini kama shida yake ni Katiba.

Pale SOUTHAFRICA ambako labda tunaona wanakatiba bora kwakuwa Rais anaweza kutolewa madarakani nakukaa jela tunasahau ukitoa wale KABURU WOOOTE na kuacha wale WEUSI na ukawaachia hiyo hiyo katiba bora lile TAIFA LINAENDA KUWA MASIKINI MWEZI TU.

SHIDA YA AFRICA NI WATU ambao ni mimi na wewe na UTASHI WETU WA KIJINGA.

MWAFRICA HATAKI MAMBO MAGUMU MAGUMU NAKUSACRIFICE KWAAJILI YA MAISHA YA VITUKUU VYAKE, KIFUPI KIZAZI HIKI KIFANYE KAZI KWA BIDIII NA KINGINE KIFANYE KAZI KWA BIDII THEN WANAOFUATA WAKUTE MAENDELEO.
Nielewe, jukumu la kusema tunataka au hatutaki si la mkusanyaji maoni ni la watoa maoni na yeye kama anataka kutoa maoni auachie uenyekiti aje upande wetu ili atoe maoni yake, mimi nashindwa kuelewa uwezo wako wa kutofautisha kati ya refa na mchezaji, wewe unawaona wote sawa!
 
Mi
KUTOA JUA TATIZO LA MSINGI KWA MWAFRICA KUNAMFANYA AHANGAIKEHANGAIKE SANA KILA LEO.
TUACHE KUJITOA AKILI NA KULIACHA TATIZO LA MSINGI LA KUACHA UJINGA WETU NA KUANZA KUTUPIA LAWAMA KATIBA.


Hawa wezi kwenye serikali ndio ndugu kwenye familia zetu, JE HUKO KWENYE FAMILIA TUNAWAKEMEA?
Huko makanisani na misikitini wanapotoa mamilioni ya sadaka na kuwapigia makofi tunawakemea?
Huko kwenye maharusi na masherehe hawa ndugu zetu wanapotoa michango ya mamilioni ya hela tunawakemea? au tunasubiri KATIBA MPYA?

Leo tunachanga mamilioni ya hela kwenye maharusi ilihali wote makapuku, hii michango tungechanga tukachimba visima vya maji vijijini kwetu au simple classes vijijini vijana wakasoma tunapungukiwa nini?
Michango ya kujenga makanisa makuubwa na tungejenga mashule na mahospitali na sisi tukaabudu majumbani kwetu tungepungukiwa nini?
Lini tuliandamana kuishinikiza serikali ibadili mfumo wa elimu uwe na nafuu na uendane na dunia hii.
Lini tuliitisha vikao na harambee za mitaa kuchangia watoto wasiojiweza mtaani kwenu waende shule wakasome.
Hii mikusanyiko ya jumuiya za kidini kwanini isiwe mikusanyiko ya wanamitaa kujadili maendeleo ya mitaa na kukadili namna bora ya kukuza vipaji na vya watoto mtaani.

YOTE TUNASUBIRI KATIBA MPYA.
Kusanyiko lolote utakalofanya ni lazima liidhinishwe na katiba ya nchi, hauruhusiwi kuchangisha pesa bila katiba kukupa uhuru wa kufanya hivyo.
 
Kwa sababu ameongea usilopenda kusikia?
Kuna wakati tusikilize na kuyafanyia kazi hata tusiyopenda kusikia.

Binafsi sihitaji katiba mpya maana naona mchakato ulioporwa na wanasiasa na kwa sasa la msingi ni watu kuuvaa uwajibikaji na kuacha ubinafsi.
Shida ya Africa sio Katiba bali ni utashi mbovu wa waAfrica, WAAFRICA BADO HAWAJASTARABIKA NA HATA UKIWALETEA KATIBA MPYA BADO TUTAONA HAIFAI TU.

TUSTAARABIKE KWANZA NA KUPENDANA WENYEWE KWA WENYEWE, HAYA YA KATIBA NI MAGUMU SANA KWETU.

Watanganyika wanataka gari mpya wakati tatizo ni kutokujua kuendesha gari.
 
Wewe ukitaka katiba mpya ni lazima na wengine waitake katiba mpya?
Angle uliyokaa wewe na kuyaona mambo sio angle niliyokaa mimi na kuyaona mambo.

Kutokuwepo miundombinu bora ya barabara, maji, Elimu nk binafsi siamini kama shida yake ni Katiba.

Pale SOUTHAFRICA ambako labda tunaona wanakatiba bora kwakuwa Rais anaweza kutolewa madarakani nakukaa jela tunasahau ukitoa wale KABURU WOOOTE na kuacha wale WEUSI na ukawaachia hiyo hiyo katiba bora lile TAIFA LINAENDA KUWA MASIKINI MWEZI TU.

SHIDA YA AFRICA NI WATU ambao ni mimi na wewe na UTASHI WETU WA KIJINGA.

MWAFRICA HATAKI MAMBO MAGUMU MAGUMU NAKUSACRIFICE KWAAJILI YA MAISHA YA VITUKUU VYAKE, KIFUPI KIZAZI HIKI KIFANYE KAZI KWA BIDIII NA KINGINE KIFANYE KAZI KWA BIDII THEN WANAOFUATA WAKUTE MAENDELEO.
Shida ni watu wa aina ya wewe.
 
Shida ni watu wa aina ya wewe.

Hatuwezi kufikiri kwa kufanana, unachofikiri hakiwezi kuwa sahihi kila mahala na kwa kila mtu.

Tujitahidi kuzifanya bongo zetu kuwa flexible na tuwaze wenyewe kiundani na sio kutegemea wengine wawaze na kutuletea agenda halafu tunakuwa oyaoya.

HOME WORK: FIKIRI KIUNDANI, UNAFIKIRI TANZANIA IMEKWAMA KWA SABABU YA KATIBA?
 
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.
Mukandala akifanya mchezo na Katiba mpya atakuja kukamatwa au kufukuzwa nchini .
 
Hatuwezi kufikiri kwa kufanana, unachofikiri hakiwezi kuwa sahihi kila mahala na kwa kila mtu.

Tujitahidi kuzifanya bongo zetu kuwa flexible na tuwaze wenyewe kiundani na sio kutegemea wengine wawaze na kutuletea agenda halafu tunakuwa oyaoya.

HOME WORK: FIKIRI KIUNDANI, UNAFIKIRI TANZANIA IMEKWAMA KWA SABABU YA KATIBA?
Hili nalo ni tatizo, haudhani katiba ndiyo inakuwezesha kupata elimu sahihi, tiba sahihi, milo sahihi na makazi bora. Wenzetu walioendelea katiba huwawezesha kulipwa mafao ya kukosa ajira, na haki zote za msingi kama makazi bora na usipopata unayo haki ya kudai siyo sisi rais anatuambia kwani yeye kaleta jaa! Na tunaogopa kudai.
Watanzania tumekuwa watu wa hovyo ndiyo sababu tunatawalika kirahisirahisi.
Hata kama tunatofautiana kifikra lakini tuwe tayari kuelimishwa.
 
Watanganyika wanataka gari mpya wakati tatizo ni kutokujua kuendesha gari.
Kwahiyo unataka wajifunze kuendesha kwenye gari bovu! Matokeo ya kujifunza kwenye magari mabovu ni hizo ajali za kila siku.
 
Hatuwezi kufikiri kwa kufanana, unachofikiri hakiwezi kuwa sahihi kila mahala na kwa kila mtu.

Tujitahidi kuzifanya bongo zetu kuwa flexible na tuwaze wenyewe kiundani na sio kutegemea wengine wawaze na kutuletea agenda halafu tunakuwa oyaoya.

HOME WORK: FIKIRI KIUNDANI, UNAFIKIRI TANZANIA IMEKWAMA KWA SABABU YA KATIBA?
Maisha yako ya kila siku yanategemea katiba iliyo bora.
 
Wapumbavu hata uwape katiba nzuri kiasi gani bado ni wapumbavu tu na wataendelea kubishana milele amina.

KATIBA MPYA bado itakuwa mali ya wapumbavu ambao ni sisi watanzania kwa mamilioni, TUACHE UPUMBAVU KWANZA.

..tupatiwe katiba mpya sasa hivi.

..upumbavu unaoulalamikia utashughulikiwa lakini tayari tukiwa na katiba mpya na bora.
 
Back
Top Bottom