Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Prof. Mukandala hafai kuongoza tume ya katiba mpya

Kwahiyo unataka wajifunze kuendesha kwenye gari bovu! Matokeo ya kujifunza kwenye magari mabovu ni hizo ajali za kila siku.

Huhitaji Ferrari kujua kama wewe ni dereva mzuri au lah, IST ya sasa inafaa kabisa na inakufisha chocho zote ambazo hata hiyo Ferrari haiwezi kufika. Noa skills zako za udereva tatizo sio gari.
 
Watanganyika wanataka gari mpya wakati tatizo ni kutokujua kuendesha gari.

..hakuna tatizo.

..ni rahisi kujifunza kuendesha gari jipya kuliko gari bovu / mkweche.

..katiba mpya na bora ni muhimu na lazima.
 
Huhitaji Ferrari kujua kama wewe ni dereva mzuri au lah, IST ya sasa inafaa kabisa na inakufisha chocho zote ambazo hata hiyo Ferrari haiwezi kufika. Noa skills zako za udereva tatizo sio gari.
Hili nalo ni tatizo, dunia ya kwanza hawatumii njia tunazotumia kujifunza udereva, kutokana na hilo wakija kwetu wanapata shida ya kutuzoea uendeshaji wetu ila usijitie ujanja lazima ujue katiba si kwa ajili ya wanasiasa na siasa ni kwa maisha yako yote kuanzia watoto wachanga mpaka wazee na maiti, mazao na wanyama vyote vimo ndani ya katiba na ndiyo inayotengeneza sheria.
 
Unafikiri maendeleo hayaji kwa sababu ya KATIBA?

Hiyo katiba ambayo leo imepitwa na wakati, wakati wake iliwahi kuleta maendeleo gani kwa raia wake?

Sio kila utaratibu wa kuishi ndio Katiba, Msingi ulipokuwepo mbona hiyo nyumba hatukuimalizia kuijenga mpaka mmomonyoka umeikuta na kucrack huo msingi?

Katiba hii hii tuliyonayo ni mara ngapi imechezewa na kuvunjwa au kutofuatwa?
Kwani hakuna mahala hii katiba inatoa adhabu kwa kutofuatwa ni nani Elite amepewa hiyo adhabu.

MPUMBAVU HATA UMUWEKEE UTARATIBU GANI NI SHIDA TU, MTOE KWANZA UPUMBAVU KWA MIJEREDI NDIO AKILI ITAMKAA SAWA,.

ULAYA NA AMERICA ZILIENDELEA KWA MIJEREDI NA UTEMI MWINGI, MWAFRICA ANATAKA KULELEWA NA KUBEMBELEZWA.

TAJA NCHI TATU ZA AFRICA ZILIZOENDELEA KAMA MATOKEO YA KATIBA BORA.
UKIONA NCHI AFRICA IMEENDELEA BASI NI INFLUENCE YA WAZUNGU KWA MANUFAA YAO FULANI FULANI.

MTU MWEUSI ANAPASWA KUJITAMBUA KWANZA, YEYE NI NANI, SHIDA YAKE DUNIANI NI NINI NA THAMANI YAKE NI NINI.
YOU ARE JUST TALKING RUBBISH. HUO UTASHI NI MJOMBA WAKO NDIO ATAULETA KWA WATANZANIA ILI WAJIELEWE NA KULETA MAENDELEO? KWAKO WEWE KATIBA SIYO MUHIMU ILA UTASHI NDIO MUHIMU SANA. NCHI GANI HIYO HAPA DUNIANI WANATUMIA TU UTASHI KUISHI NA KUJILETEA MAENDELEO? NITAJIE JAPO MOJA TU BASI!
 
99% ni CCM tupu
Hao ndiyo kikosi kazi cha kudhoofisha katiba itakayokidhi mahitaji yetu, hujuma hii inatokana na maovu wanayoyafanya na kupata upenyo wa kujitungia sheria za kinga ya kutoshitakiwa! Sheria hii ipo Tanzania tu nchi isiyo na wenyenchi, nchi unayoweza kufanya hujuma yoyote ile mradi uwe kiongozi wa CCM.
 
Watanganyika wanataka gari mpya wakati tatizo ni kutokujua kuendesha gari.
Unataka Watanzania waendelee kujifunza kuendesha chai maharage wakati mahitaji ya usafirI kwa sasa ni Mwendo kasi? DON'T BE RIGID TO ACCEPT NEW CHALLENGES AND CHANGES!
 
Africa tupo kama mazuzu,sasa unakusanya maoni kwamba tuwe na Katiba au tusiwe nayo huku Rais amisha sema na kuwaambia Ulimwengu kuwa Katiba mpya lazima iwepo hata kama itamugharimu Urais wake-kwa tamko hilo unakusanya maoni ya nini?
 
Africa tupo kama mazuzu,sasa unakusanya maoni kwamba tuwe na Katiba au tusiwe nayo huku Rais amisha sema na kuwaambia Ulimwengu kuwa Katiba mpya lazima iwepo hata kama itamugharimu Urais wake-kwa tamko hilo unakusanya maoni ya nini?
Ni matumizi tu ya hovyo ya fedha ya walipa kodi wa Tanzania. Maoni yalishachukuliwa na kudadavuliwa vyema kabisa na tume ya katiba ya Warioba na kila mtanzani aanalijua hilo. Sasa haya mambo ya kuunda kikosi kazi cha kuchukua maoni mengine kama vile yale ya tume ya warioba sio maoni valild ni UJINGA wa kiwango cha SGR.

Hii serikali inatafuta tu njia ya kuruka kihunzi cha kuendeleza mchakato wa katiba mpya. Huyu mama anawarubuni tu wapinzani ili wasimkere lakini ukweli ni kwamba huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia. Hata kama kweli yeye binafsi ana hiyo dhamira lakini chama chake haikitakubali kiurahisi na hata kama wakikubali basi huo mchakato mzima utatawliwa na hao wa kijani kama tu liliovyokuwa wakati wa Bunge la katiba. In fact mentor yupo kazini.
 
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.
Anachokifanya huyo mkanda wa ndala ndio dhumuni kubwa la hilo dubwasha kikosikazi. Ndio maana chadema tulikikataa hicho kitu kinachoitwa kikosikazi from beginning
 
Wapumbavu hata uwape katiba nzuri kiasi gani bado ni wapumbavu tu na wataendelea kubishana milele amina.

KATIBA MPYA bado itakuwa mali ya wapumbavu ambao ni sisi watanzania kwa mamilioni, TUACHE UPUMBAVU KWANZA.
hata Mungu aliweka amri kwanza ili wanadamu wazijue na wakizivunja ijulikane... hukumu ijulikane.
katiba kwanza ili anayevunja ajulikane na ahukumiwe
 
Tangu awali alipoteuliwa nilisema huyu siye, hiyo ilitokana na yeye kujitambulisha ni muumini wa CCM.

Hivi sasa tunashuhudia yeye akitoa maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo katiba mpya, yeye ni mkusanyaji maoni hivyo hatakiwi kuwa mtoa maoni na kama anataka atoe maoni basi inabidi aachie cheo cha uenyekiti aje upande wetu wa watoa maoni na si vinginevyo.

CCM ilimuweka Mukandala kwa lengo maalum la kuikwamisha katiba mpya ili hii mbovu iendelee kuwepo baada ya wao kuifanyia marekebisho wanayoyapenda, ni jukumu letu kusimama kidete na kumkataa huyu Mukandala.
I don't care what he says about katiba! He is a persistent nonsense person! Tatizo langu ni kazi anayopewa akiwa na ubwege wake. Hajawahi kuwa kiongozi mzuri. Ni wale ambao wako tayari kulawitiwa ili tu apate mkate wake. That is how he is.
 
Ni matumizi tu ya hovyo ya fedha ya walipa kodi wa Tanzania. Maoni yalishachukuliwa na kudadavuliwa vyema kabisa na tume ya katiba ya Warioba na kila mtanzani aanalijua hilo. Sasa haya mambo ya kuunda kikosi kazi cha kuchukua maoni mengine kama vile yale ya tume ya warioba sio maoni valild ni UJINGA wa kiwango cha SGR.

Hii serikali inatafuta tu njia ya kuruka kihunzi cha kuendeleza mchakato wa katiba mpya. Huyu mama anawarubuni tu wapinzani ili wasimkere lakini ukweli ni kwamba huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia. Hata kama kweli yeye binafsi ana hiyo dhamira lakini chama chake haikitakubali kiurahisi na hata kama wakikubali basi huo mchakato mzima utatawliwa na hao wa kijani kama tu liliovyokuwa wakati wa Bunge la katiba. In fact mentor yupo kazini.
Watanzania hatujui kudai haki zetu kwani wakoloni ndio walitutia ujinga kwa kutotutawala, wangetutawala tungechangamka tusingechezewa na hizi familia za wachache.
 
YOU ARE JUST TALKING RUBBISH. HUO UTASHI NI MJOMBA WAKO NDIO ATAULETA KWA WATANZANIA ILI WAJIELEWE NA KULETA MAENDELEO? KWAKO WEWE KATIBA SIYO MUHIMU ILA UTASHI NDIO MUHIMU SANA. NCHI GANI HIYO HAPA DUNIANI WANATUMIA TU UTASHI KUISHI NA KUJILETEA MAENDELEO? NITAJIE JAPO MOJA TU BASI!

sijui mnaelewa au mnaandika tu, kwani toka tumepata uhuru hatuna KATIBA? hiyo katiba ndio inafanya tusiendelee? ncho ngapi za Africa zimebadili katiba lakini bado masikini?
Unaongea utafikiri hii nchi haina Katiba.

Point ya msingi: Kwa wakati huu hiyo katiba tulionayo sio chanzo cha huu umasikini wa Watanzania bali chanzo cha huu umasikini ni tabia binafsi na ujinga wa watu ambao hata uwaletee Katiba nyingine shida itakuwa palepale kama hawajabadirika.

Wengi mnashabikia kwa kuunga tera la wanasiasa pasipo kujua nini mnataka.

Zambia wanakatiba inayoweza kumwajibisha Rais na wengine wakitoka madarakani toka 1980, lakini mpaka leo bado masikini na madini yanachimbwa na mabeberu watakavyo na hawana cha kufanya.

WAAFRICA TUFANYE KAZI TUACHE KUSHABIKIA SIASA ZINAZOTUDANGANYA KWENYE URAHISI.
 
hata Mungu aliweka amri kwanza ili wanadamu wazijue na wakizivunja ijulikane... hukumu ijulikane.
katiba kwanza ili anayevunja ajulikane na ahukumiwe

Kwani Katiba ya sasa haijaweka makatazo na adhabu zake lakini bado watu wanaikanyaga na hizo adhabu hawapewi.

Zipo nchi nyingi Africa zina katiba bora kabisa zakumshitaki mpaka Rais lakini bado ni masikini na tabia zile zile za kipumbavu.

Tanzania ina katiba hakuna aliyesema haina katiba, JE HIYO KATIBA YENYEWE INAFUATWA NA KUTEKELEZWA.?

Vitabu vitakatifu vipo vimetoa mpaka adhabu na vipo toka karne nyingi nyumba bila new version zenye marekebisho lakini watu wanaishi na kufuata maandiko yaleyale na wengine pia wanayavunja Ukiwemo wewe siajabu ndio namba moja kwa ushetwani.
 
sijui mnaelewa au mnaandika tu, kwani toka tumepata uhuru hatuna KATIBA? hiyo katiba ndio inafanya tusiendelee? ncho ngapi za Africa zimebadili katiba lakini bado masikini?
Unaongea utafikiri hii nchi haina Katiba.

Point ya msingi: Kwa wakati huu hiyo katiba tulionayo sio chanzo cha huu umasikini wa Watanzania bali chanzo cha huu umasikini ni tabia binafsi za watu ambao hata uwaletee Katiba nyingine shida itakuwa palepale kama hawajabadirika.

Wengi mnashabikia kwa kuunga tera la wanasiasa pasipo kujua nini mtaka.

Zambia wanakatiba inayoweza kumwajibisha Rais na wengine wakitoka madarakani toka 1980, lakini mpaka leo bado masikini na madini yanachimbwa na mabeberu watakavyo na hawana cha kufanya.

WAAFRICA TUFANYE KAZI TUACHE KUSHABIKIA SIASA ZINAZOTUDANGANYA KWENYE URAHISI.
PUMBAFU
 
Back
Top Bottom