Prof. Mussa Assad: Asilimia 60 ya viongozi wana uwezo mdogo

Prof. Mussa Assad: Asilimia 60 ya viongozi wana uwezo mdogo

Yupo sahahi kabisa; inawezekanaje wewe mtaalam ukatumia taarifa ya feasibility study ya 1970 ukajenga mradi mkubwa wa JNHP? kama siyo utahira ni nini? kisa kiongozi flani amesema kua mradi uanze feasibility study itakuja nyuma.

Sidhani kama tunapaswa kuendelea na viingozi wa namna hii
Kwenye report ya Prof Assad ya 2015/17 yeye ndio alieshauri umeme wa maji wa bwawa la stiglers now likiitwa bwawa la nyerere kuliko umeme wa kununua...
Naambatanisha na video...to be specific angalia dk ya 1.55



So km ni utaahira ww ndo unao tena mwingi wa kutosha
 
Yupo sahahi kabisa; inawezekanaje wewe mtaalam ukatumia taarifa ya feasibility study ya 1970 ukajenga mradi mkubwa wa JNHP? kama siyo utahira ni nini? kisa kiongozi flani amesema kua mradi uanze feasibility study itakuja nyuma.

Sidhani kama tunapaswa kuendelea na viingozi wa namna hii
Imagine! Nafikiri mwendazake alikuwa na matatizo ya afya ya akili, na ile PhD yake ilimaanisha Parmanent Head Damage! No wonder kina Ben Saa8 walioihoji walipotezwa!
 
Niliwaambiwaga Huyu Prof [emoji1818] ni mtu muhimu sana ktk kushauri maswala muhimu ya nchi hii tumsikilize vizuri na kufanyia kazi anayoshauri ili tufanikiwe.
 
Huyu jamaa sio mnafiki saaana,,, coz toka JPM yupo alikataa kuwa mnafiki ndio maana akatumbuliwa.... So anachofanya sasa ni muendelezo tu wa alichokianzisha toka siku za nyuma...


Awe makini tu,,, chawa wa mwendazake wako na masikio sana na hasira juu..
 
Ni kweli Prof. Tena nafasi za CEOs zote zinapaswa kutangazwa na kufanyiwa usaili wa wazi na vetting.

Hii itatoa nafasi sawa kwa kila mtanzania kupata haki ya kuomba na kutumikia Taifa letu, tofauti na utaratibu wa sasa wa kuteuana ambao hufanyika kwa kujuana tu.

Wale ambao hawajuani na hao wapambe wa Rais watapataje nafasi ?

Je hamuoni mnawanyima haki?
 
Kua timamu basi ndugu; mimi sijapinga ujenzi au wenda ujui taratibu ya ujenzi.
kwenye ujenzi kuna vitu kama feasibility study...kupima udongo and likes.
Sasa utaanzaje ujenzi 2020 kwa kutumia taarifa ya 1970? wakati kuna mabadiliko mengi sana ya kimazingira? unadhani kwanini maji yanachimwa then baada ya miezi mitatu maji hayatoki tena eneo husika.
Kwa maana nyingine kwenye hiyo video imeonesha Prof Asad akisema kua ujenzi uanze bila kufanyika feasibility study?
 
Ukiwa CAG unapata fursa ya kufanya kazi karibu na Viongozi wote wa Serikali, unawakagua, unawaelekeza na kuwashauri juu ya matumizi sahihi ya pesa za Umma. Kumkatalia anachokisema kisa unalipwa kuitetea Serikali ni ujinga.
Wewe na CAG nani anawafahamu vema Viongozi wa Taasisi zote za Serikali na uwezo wao wa kusimamia rasilimali za Umma?
muongo sample aliyochukua kubwa mno hawezi ku justify lakini kwa kuwa yey e ni mhasibu namsamehe

Angesema mfano asilimia 60 mawaziri hapo sawa

Kusema asilimia 60 ya viongozi wote serikali ni uongo hawezi justfy hizo takwimu sample kubwa mno .A narrow down

Alichosema hakina credibility kitakwimu
 
Ukiwa CAG unapata fursa ya kufanya kazi karibu na Viongozi wote wa Serikali, unawakagua, unawaelekeza na kuwashauri juu ya matumiziYeyr sahihi ya pesa za Umma. Kumkatalia anachokisema kisa unalipwa kuitetea Serikali ni ujinga.
Wewe na CAG nani anawafahamu vema Viongozi wa Taasisi zote za Serikali na uwezo wao wa kusimamia rasilimali za Umma?
Yeye sio CAG tena alishaondoka siku nyingi hana Acess hiyo sasa hivi na hata kama alikuwa CA Kusema ana takwimu za sasa hivi mwongo.Hana Access hiyo dababubu sio CAG

kazi ya CAG ni kukagua mahesabu sio kukagua IQ za viongozi

Takwimu alizotoa za uongo
 
Hakuwa Kiongozi? Leo kajibu swali langu inakuwaje Prof mzima anatolewa knock out na Spika kiasi kile huku akiwa na genge la wahuni nyuma yake wakimsaidia? Naye yuko fungu la 60.
 
Professor kama Professor CV yake tuu ukimaliza kuisoma nenda ukadai upewe Diploma imeshiba kweli kweli.
 
Back
Top Bottom