Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye report ya Prof Assad ya 2015/17 yeye ndio alieshauri umeme wa maji wa bwawa la stiglers now likiitwa bwawa la nyerere kuliko umeme wa kununua...Yupo sahahi kabisa; inawezekanaje wewe mtaalam ukatumia taarifa ya feasibility study ya 1970 ukajenga mradi mkubwa wa JNHP? kama siyo utahira ni nini? kisa kiongozi flani amesema kua mradi uanze feasibility study itakuja nyuma.
Sidhani kama tunapaswa kuendelea na viingozi wa namna hii
Imagine! Nafikiri mwendazake alikuwa na matatizo ya afya ya akili, na ile PhD yake ilimaanisha Parmanent Head Damage! No wonder kina Ben Saa8 walioihoji walipotezwa!Yupo sahahi kabisa; inawezekanaje wewe mtaalam ukatumia taarifa ya feasibility study ya 1970 ukajenga mradi mkubwa wa JNHP? kama siyo utahira ni nini? kisa kiongozi flani amesema kua mradi uanze feasibility study itakuja nyuma.
Sidhani kama tunapaswa kuendelea na viingozi wa namna hii
Acha upuuziProf.Assad ajipambanue tujue kama anatamani kuwa mwanasiasa.
Mnahisi B mkubwa ni mpole ndo maana mnaanzia mbaaali kumzingua, eti?
😆😆😆😆Jikite kwenye mada
muongo sample aliyochukua kubwa mno hawezi ku justify lakini kwa kuwa yey e ni mhasibu namsamehe
Angesema mfano asilimia 60 mawaziri hapo sawa
Kusema asilimia 60 ya viongozi wote serikali ni uongo hawezi justfy hizo takwimu sample kubwa mno .A narrow down
Alichosema hakina credibility kitakwimu
Yeye sio CAG tena alishaondoka siku nyingi hana Acess hiyo sasa hivi na hata kama alikuwa CA Kusema ana takwimu za sasa hivi mwongo.Hana Access hiyo dababubu sio CAGUkiwa CAG unapata fursa ya kufanya kazi karibu na Viongozi wote wa Serikali, unawakagua, unawaelekeza na kuwashauri juu ya matumiziYeyr sahihi ya pesa za Umma. Kumkatalia anachokisema kisa unalipwa kuitetea Serikali ni ujinga.
Wewe na CAG nani anawafahamu vema Viongozi wa Taasisi zote za Serikali na uwezo wao wa kusimamia rasilimali za Umma?
Kashalamba BAN huyo mpuuzi..Jikite kwenye mada