Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Duh! Kweli wewe ni mzalendo uchwara. Hivyo vidole ulivyopostia hii posti unavitumia kulia chakula?Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Umeaminije kasema yeye...Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Unakosea Sana kwa kauli hizi huezi kupima Imani ya mtu huna unalojua Baina yake na Allah uko wrong!Ndio maana nasema pamoja na kuwa na sigida huyu jamaa ni msindikizaji katika dini.
Kinachombeba ni elimu tu katika uislamu.
Ndiyo,ukweli hauzidi hapo.Kwa hiyo kifo cha Jpm ndio Mungu kajibu maombi yake na yeye ajiombee dua aishi milele sasa
Mumemchoka na nani? Sisi hatujamchoka na tunamtaka aingie Serikalini kwa namna yeyoteHuyu naeee tushamchoka kila siku porojo
Kama baba yako anavyozungumziwa na ukoo wenu alivyokua na roho mbayaYaani huwezi kukwepa kuliongelea vibaya shetani lile. Uovu wake uko wazi mno
Tatizo kulikuwa na watu wanapenda kuabudiwa na yeye alikataa kuwaabudu.
Hili jamaa bwana sijui lilitiwa kidole linachuki mbaya sana wewe utakuwa na laana sio bureNinyi mnaongea ya juu juu tu. Huyu bwana alipitia wakati mgumu sana. Hata kuwepo kwake hai mpaka leo, kwa kiasi kikubwa alisaidiwa na dini yake.
Wenzetu waislam, wanasema muislam mwenzako ni mtu wa karibu zaidi kuliko mwingine yeyote.
Wapo watu (sijui kama ni busara kuwataja, maana mpaka sasa wapo kwenye ngazi za juu za Serikali na utumishi wa umma. Wanaojua codes, mmoja ana majina yenye herufi JM, na mwingine BSR, wote waislam) walishikirishwa katika mipango ya kumpoteza Duniani huyu profesa aliyekuwa CAG eti kwa sababu ana kiburi. Na jambo hilo ilikuwa lifanyike baada ya uchaguzi wa 2020. Watu hao hao walioshirikishwa kwenye mipango hiyo, kwa vile ni waswahilina wenzake, walienda kumtonya kuwa aondoke haraka mjini. Na alifanya hivyo.
Ikumbukwe kuwa alitekwa kwa mara ya kwanza akiwa Mlimani City, lakini ikawa bahati nzuri watu wengi wakawa wameona. Akaachiwa baada ya masaa 8.
Uonevu ulitumika bila utaratibu wa sheria za nchi.Ila inaonekana CAG aliumia sana kuondolewa ile nafasi. KWA NINI ALIUMIA HIVI?
Hii story sema tunasimuliana tofauti tofauti sana. Yaani versions ni nyingi. Mimi nlisimuliwa tofauti kabisa na hii. Anyway tuendelee kusambaza watu wengi waipate.Ninyi mnaongea ya juu juu tu. Huyu bwana alipitia wakati mgumu sana. Hata kuwepo kwake hai mpaka leo, kwa kiasi kikubwa alisaidiwa na dini yake.
Wenzetu waislam, wanasema muislam mwenzako ni mtu wa karibu zaidi kuliko mwingine yeyote.
Wapo watu (sijui kama ni busara kuwataja, maana mpaka sasa wapo kwenye ngazi za juu za Serikali na utumishi wa umma. Wanaojua codes, mmoja ana majina yenye herufi JM, na mwingine BSR, wote waislam) walishikirishwa katika mipango ya kumpoteza Duniani huyu profesa aliyekuwa CAG eti kwa sababu ana kiburi. Na jambo hilo ilikuwa lifanyike baada ya uchaguzi wa 2020. Watu hao hao walioshirikishwa kwenye mipango hiyo, kwa vile ni waswahilina wenzake, walienda kumtonya kuwa aondoke haraka mjini. Na alifanya hivyo.
Ikumbukwe kuwa alitekwa kwa mara ya kwanza akiwa Mlimani City, lakini ikawa bahati nzuri watu wengi wakawa wameona. Akaachiwa baada ya masaa 8.
Kama alitumbuliwa si ni kukubali tu kuwa kama aliteuliwa basi kuna kutenguliwa? Hii nafasi hakuzaliwa nayo. INAONEKANA ALIPENDA SANA KUWA CAG AKAKATISHWA. AACHANE NA HILO KWA SASA. WAPO WENGI WALITENGULIWA BILA NOTICE AU UTARATIBU WAKAENDELEA NA MAISHA YAO.Uonevu ulitumika bila utaratibu wa sheria za nchi.
Kwa hiyo huwa mnaomba dua kwa ajili watu wafe kwa hiyo hiyo na wewe unajiombea uishi mileleNdiyo,ukweli hauzidi hapo.
With due respect Let's assume haya unayosema ni kweli.Ninyi mnaongea ya juu juu tu. Huyu bwana alipitia wakati mgumu sana. Hata kuwepo kwake hai mpaka leo, kwa kiasi kikubwa alisaidiwa na dini yake.
Wenzetu waislam, wanasema muislam mwenzako ni mtu wa karibu zaidi kuliko mwingine yeyote.
Wapo watu (sijui kama ni busara kuwataja, maana mpaka sasa wapo kwenye ngazi za juu za Serikali na utumishi wa umma. Wanaojua codes, mmoja ana majina yenye herufi JM, na mwingine BSR, wote waislam) walishikirishwa katika mipango ya kumpoteza Duniani huyu profesa aliyekuwa CAG eti kwa sababu ana kiburi. Na jambo hilo ilikuwa lifanyike baada ya uchaguzi wa 2020. Watu hao hao walioshirikishwa kwenye mipango hiyo, kwa vile ni waswahilina wenzake, walienda kumtonya kuwa aondoke haraka mjini. Na alifanya hivyo.
Ikumbukwe kuwa alitekwa kwa mara ya kwanza akiwa Mlimani City, lakini ikawa bahati nzuri watu wengi wakawa wameona. Akaachiwa baada ya masaa 8.
Aliyemtumbua naye akatumbuliwa na Corona.Kama alitumbuliwa si ni kukubali tu kuwa kama aliteuliwa basi kuna kutenguliwa? Hii nafasi hakuzaliwa nayo. INAONEKANA ALIPENDA SANA KUWA CAG AKAKATISHWA. AACHANE NA HILO KWA SASA. WAPO WENGI WALITENGULIWA BILA NOTICE AU UTARATIBU WAKAENDELEA NA MAISHA YAO.
Nitakufa ila sitaki kuua mtu ili niishi milele.Kwa hiyo huwa mnaomba dua kwa ajili watu wafe kwa hiyo hiyo na wewe unajiombea uishi milele
Ni kawaida. Walikufa Manabii itakuwa Magufuli. Aache kulia lia. Mi naamini ana uwezo mzuri wa kupiga pesa bado. Si lazima awe CAG. Magufuli keshakuwa udongo. Anapolalamika anaonekana aliumia sana kuondolewa hiyo nafasi.Aliyemtumbua naye akatumbuliwa na Corona.