Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

Si akaombe tena kazi upya, unakuwaje babu na mdomo kiasi hicho? Kwani yeye niwakwanza kutolewa
 
Kwamba kalipwa baada ya kifo cha Magu na yeye karudishwa nafasi yake?

Tatizo udini ukikuzidi sana hata kama ni msomi kwa kiwango gani huondoa maarifa na busara.

Yeye angekuwa wa maana dunia ingekuwa imeshamchukua na kumtumia kama kina Mwelle Malecela.

Ana mapungufu mno kuliko anavyodhania yupo sahihi. Kiislam huwa wanaamini kila ridhki hupangwa na mwenyezi Mungu ndio maana huwa wanasema kila mtoto anazaliwa na ridhki yake.

Huyu ridhki zake za visasi na husda. Atabaki hapo sana tu.
Mpaka inakera , angelalamika kipindi kipindi kaondolewa, maana hata aliyemuondoa hayupo na hatamjibu, yawezekana na udini unamsumbua.
 
Uislamu ni dini inafundisha chuki sana.

Huyu anaswali sala Tano wanamuita muislamu safi lakini kutwa kusema marehemu vibaya.

Sasa alitaka kuwa CAG maisha yake yote.

Mzee ana tamaa sana huyu ya pesa na madaraka.
Wapo wengi sana wa aina hii ya Prof. Assad, sema tu hawapati nafasi ya kusikika. Hapa hakuna uislamu wala ukristo. Kawaida ya watu waovu hukimbilia kujitetea kwa kutumia hisia kali zinazowagawa watu kama imani ya kidini, tabaka za kiuchumi (wanyonge), jinsia, jiografia (ukabila, ukanda), nk. Kama binadamu Prof. Assad aliumizwa binafsi kama raia na kama mtumishi wa umma aliyeshika nafasi iliyokuwa inalindwa na katiba lakini bado watu waovu wakadiriki kaivunja katiba ya nchi na kumkomoa na kumuumiza! Kuzungumzia uovu huo siyo chuki bali ni wajibu wa kiraia na kizalendo kutukumbusha kama taifa kuhusu mahali pabaya tulipopata kufikishwa na watu waliotaka kutuamisha kuwa wametumwa na Mungu kutukomboa! Kwa mtazamo wa kidini, tulivyoshuhudia kwa macho yetu viongozi wa imani ya kikristo ndiyo walioonyesha "chuki" zaidi kwa vitendo kwa kukemea uongozi wa awamu ya tano kuliko wale wa dini ya Kiislamu. Hayo mafundisho ya "chuki" ya uislamu yako wapi?
 
Prof. Assad kaonyesha roho mbaya sana, ana chuki mbaya mno hadi kwa marehemu, huyu hafai kabisa kuwa na nafasi ktk sehemu yoyote ile, sbb ana roho mbaya sana, ndio namuona alivyo ndani rohoni mwake, hafai huyu Prof. ana roho ya kichawi, shetani kabisa
 
Majambazi yaliyobaki yanamchukia JPM hadi karaha .sasa huyu mbwai aliamua kukabidhi vyeti vyake vyote kw zito mzirankende akala kichwa sasa hadi leo ni kilio .si alime tikiti.
 
Yeye mtu safi mtu wa dini anafelisha vipi watu?
sasa kama umefeli unataka upewe pass ya mchongo? Hiyo ni dhambi kubwa sana kwani wenzako wamejitahidi wewe umekwenda disco kila weekend halafu unataka ufaulu kwa ubwerere.
 
Chuki zidi ya marehemu Haina pa kuomba msamaha. Jisamehe mwenyewe prof la sivyo unajichumia moto wa milele.
 
Mi huwa nashangaa wanaofurahia mtu flani kufa na wao kubaki,hivi nani hatakufa?
Membe kashtua watu,Le Mutuz kashtua watu,bado kuna watu wanaona wao ni spesho sana,JPM anaonekana kifo chake hakiji kuwagusa wao,inashangaza sana,ni sawa na kijana anayemcheka mzee,wakati nayeye anauendea uzee,yaani ni vituko sana.
 
Back
Top Bottom