TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Mungu kamjibuje?kama anadhani kifo ndio jibu nae atakufa tu siku moja na kifo sio adhabu au anamanisha Mungu yupi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa hakuna hatua zozote mzee ni ubabe mwanzo mwisho.Sasa aliongea angesubili hatua zichukuliwe?
Asiye mbabe taarifa za sasa kazifanyia niniKulikuwa hakuna hatua zozote mzee ni ubabe mwanzo mwisho.
Kwa imani yake yuko sahihi waswahili husema malipo ni hapa hapa duniani.Mungu kamjibuje?kama anadhani kifo ndio jibu nae atakufa tu siku moja na kifo sio adhabu au anamanisha Mungu yupi?
Atakuwa mungu wa kwake, lakini Mungu huyu Muumba mbingu na nchi hapendi watu wapotee bali waipokee toba.Mungu kamjibuje?kama anadhani kifo ndio jibu nae atakufa tu siku moja na kifo sio adhabu au anamanisha Mungu yupi?
Unajishuku, kamtaja mtu?Hivi ni kila ukimuongelea vibaya JPM unalipwa au ?
mfuasi WA mange we kazi kuiga ujinga kenge madoadoa weUnayehamasisha matusi ni nyie kila akiguswa yule ibilisi mnajiharishia hovyo! RIH JPM
Nafasi ya kuteuliwa ukitolewa hutakiwi kulalamika sana, kuna watu wengi wenye uwezoAliondolewa ili waibe watakavyo maana yeye alikuwa kikwazo wa kufichua wezi na wanyang'aji.
Usahihi kwenye kutotaka kuhojiwa juu ya unjustified expenditures ya 1.5T? Ana kweli we Mzalendo Uchwara!Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Lakini ile trilioni 1.5 hawajaitolea maelezo yoyote kama alivyosema au nyie mnafurahia kodi zenu kuibiwa.Nafasi ya kuteuliwa ukitolewa hutakiwi kulalamika sana, kuna watu wengi wenye uwezo
Heshima ni kukaa kwenye ofisini za umma ukila hela za wanaume?Heshima ipi wakato yupo kitaa anapiga kelele tu.
Labda alijua yeye ndiye bora kuliko waliopita na wajaoNafasi ya kuteuliwa ukitolewa hutakiwi kulalamika sana, kuna watu wengi wenye uwezo
Yeye hata akifa hana tatizo maana hajifanyi Mungu mtu. Dhalimu sasa ndio ilikuwa tatizo maana alikuwa anajiona ni Mungu wa Tanzania.Kwani aliisharudi kwenye uCAG? Au aliambiwa yeye hatakufa kwasababu alifanya Dua? Huu upumbavu mnafundishwa wapi?
Anataka kurudishiwa u-CAG [emoji1787]Sasa tutasemaje, Mungu mwenyewe ukiomba msamaha anasamehe na kufuta kabisa, sasa yeye alishasema watu wakasikia, lakini yeye na nyepesi daa , sijui walikuwa na ajenda gani za siri
Lazima aumie sana, hasa anapoona rais anayejivika uzalendo wa mchongo akiiba hela za wananchi.Ila inaonekana CAG aliumia sana kuondolewa ile nafasi. KWA NINI ALIUMIA HIVI?
Na pia ukafukuzwa kazi kwa vyeti feki.Lazima aumie sana, hasa anapoona rais anayejivika uzalendo wa mchongo akiiba hela za wananchi.
Hunakosea ku-quote kweli,mbona swali na nilichoandika haviendani!?Kwanini aliondolewa kwenye nafasi yake kinyume na Katiba?.
Vyeti feki!!..hujui Kama alitolewa udsm!?Na pia ukafukuzwa kazi kwa vyeti feki.
huyu jamaa inaonekana ni mshamba sana , kila siku stori ile ile , kwani yeye alifanya nini cha ajabu ambacho aliyembadili hajafanya , njaA mbaya sana kwa hiyo anataka ateuliwe tena au alipwe , au anahisi ofisi ilikuwa ni mali ya baba yake
Wizi bado unaendelea hadi sasaLakini ile trilioni 1.5 hawajaitolea maelezo yoyote kama alivyosema au nyie mnafurahia kodi zenu kuibiwa.