Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

sasa kama umefeli unataka upewe pass ya mchongo? Hiyo ni dhambi kubwa sana kwani wenzako wamejitahidi wewe umekwenda disco kila weekend halafu unataka ufaulu kwa ubwerere.
Kwani pale walipelekwa kuwafundisha au kuwafelisha? Unazani watu hatujui janja janja zao kwa wanachuo, tatizo si kama wamefanya vibaya shida nyingi huanza kwa walimu wao, wala rushwa zapesa mpaka ngono
 
Mi huwa nashangaa wanaofurahia mtu flani kufa na wao kubaki,hivi nani hatakufa?
Membe kashtua watu,Le Mutuz kashtua watu,bado kuna watu wanaona wao ni spesho sana,JPM anaonekana kifo chake hakiji kuwagusa wao,inashangaza sana,ni sawa na kijana anayemcheka mzee,wakati nayeye anauendea uzee,yaani ni vituko sana.
Ukiona watu wanafurahia kifo chako ujue wewe ni muuaji, kwani jambazi likiuwawa kuna anayechukia?.
 
mwislamu safi mcha Mungu huwezi ukamuona ana sigida. wenye sigida wengi ni wanafiki, wana chuki na roho mbaya na katili sana. Hata hivyo mbona waarabu hizo sigida hawana? Hata imamu/sheikh mkuu wa maka hana, inakuwaje hawa waswahili wanazo, wanajisugua makusudi?
Hiyo QUR'AN ya wapi umesoma!?..maana Qur'an ya mtume inasema mtume na baadhi ya waumini Wana alama paji la USO kwa athari ya kusujudu,pia imesema mcha mungu we huwezi mjua anamjua Mungu tu,wewe umewezaje kuwajua wachamungu!?
 
Kwani pale walipelekwa kuwafundisha au kuwafelisha? Unazani watu hatujui janja janja zao kwa wanachuo, tatizo si kama wamefanya vibaya shida nyingi huanza kwa walimu wao, wala rushwa zapesa mpaka ngono
siku hizi mumezidi ufeki, munanunua mitihani kila kona, akitokea profesa hataki rushwa munaanza kumsema anafelisha.

Hivi kweli ufaulu halafu ufelishwe si uende ukashtaki ili paper yako isahihishwe na mwingine?
 
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa tutasemaje, Mungu mwenyewe ukiomba msamaha anasamehe na kufuta kabisa, sasa yeye alishasema watu wakasikia, lakini yeye na nyepesi daa , sijui walikuwa na ajenda gani za siri
 
siku hizi mumezidi ufeki, munanunua mitihani kila kona, akitokea profesa hataki rushwa munaanza kumsema anafelisha.

Hivi kweli ufaulu halafu ufelishwe si uende ukashtaki ili paper yako isahihishwe na mwingine?
Acha unafiki basi! Kwanza alivyo kakaa unaanzaje kumwambia habari za rushwa? Mtu anatisha hhivyo?
 
Prof. Assad kaonyesha roho mbaya sana, ana chuki mbaya mno hadi kwa marehemu, huyu hafai kabisa kuwa na nafasi ktk sehemu yoyote ile, sbb ana roho mbaya sana, ndio namuona alivyo ndani rohoni mwake, hafai huyu Prof. ana roho ya kichawi, shetani kabisa
Kwanini aliondolewa kwenye nafasi yake.
 
Hiyo QUR'AN ya wapi umesoma!?..maana Qur'an ya mtume inasema mtume na baadhi ya waumini Wana alama paji la USO kwa athari ya kusujudu,pia imesema mcha mungu we huwezi mjua anamjua Mungu tu,wewe umewezaje kuwajua wachamungu!?
Kwanini aliondolewa kwenye nafasi yake kinyume na Katiba?.
 
Kwanini aliondolewa kwenye nafasi yake.
Kwani ile ninafasi alipewa ya milele? Halafu niyakuteuliwa na usipoendana na aliyekuteua unnataka afanye nini, boss wako akuweke umsaidie kisha ujifanye mjuaji akuache ili iweje sasa!
 
Kwani ile ninafasi alipewa ya milele? Halafu niyakuteuliwa na usipoendana na aliyekuteua unnataka afanye nini, boss wako akuweke umsaidie kisha ujifanye mjuaji akuache ili iweje sasa!
Yeye katumbuliwa kama wengine walivyotumbuliwa halafu anajiona perfect sana kuwa yeye hakustahili kutumbuliwa?😀

Huyo mzee ana Ego ya kishamba sana.
 
Kwani ile ninafasi alipewa ya milele? Halafu niyakuteuliwa na usipoendana na aliyekuteua unnataka afanye nini, boss wako akuweke umsaidie kisha ujifanye mjuaji akuache ili iweje sasa!
Alisema trilioni 1.5 ilichukuliwa na Ikulu, kusema ukweli ni kosa?.
 
Yeye katumbuliwa kama wengine walivyotumbuliwa halafu anajiona perfect sana kuwa yeye hakustahili kutumbuliwa?[emoji3]

Huyo mzee ana Ego ya kishamba sana.
Yaani sijui alikuwa na mipango gani ya siri si kwa kulalamika huko
 
Back
Top Bottom