Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Anaongea baada hayati hayupo? Ni unafiki siku zote alikuwa wapi? Au hayati awezi kujitetea huko alipo basi nae kahamu kutafuta kick?
Na siku zote nani alienda kumuuliza na leo kajipeleka kwenye vyombo vya habari ama vimemfuata!?
 
Asiendelee kufuchua....maana anatutia aibu
 
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine

Huyu jamaa (CAG) mstaafu kabisa siyo mzalendo, angalikuwa mzalendo angalikuwa na msimamo na hata ni kutupwa gerezani kwa faida ya taifa kwahiyo viongozi kama hawa, wanafiki, hawafai na ni hatari kwa taifa, anagawa wa Tanzania kwa uonga wake. Angalikuwa kama Dr Tuntemeka Sanga aliyekuwa (banished) zuiliwa kijijini kwake enzi hizo kwa kutaka makuu kwa kujiona kasoma kuliko Mtanzania yeyote!! He should have spoken his mind according to his profession and patriotic mind. He let Tanzanians down by not speaking the truth loudly. Kwa sasa tunachukulia kuwa anatafuta kitu kwa faida yake binafsi! Hili ni wazo langu binafsi! I stand to be corrected.
 
Please; we only want to hear about LEGACY 😛😛😛😛😛
 
Duuh!!, wewe ni kichwa, hujaacha hata moja!!! Umeweza kueleza kiufasaha na mifano dhahiri
Asante Ndugu. Lazima hizi kumbukumbu tuziweke vizuri ili vizazi na vizazi vije kujua huyu dhalimu alikuwa ni mtu wa namna gani?
 
Bora hiyo ripoti nayo ikabidhiwe Jeshi....maana kuna watu hawaitaki...
 
Huu ni utetezi? Au maoni?
 
Mkuu kuna kitu kimekukwaza? Hukutaka kisemwe....
 
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine

kama kusema tu 1.5t haipo alitolewa kimagumash hili je si angepelekewa watu kama TL nyie hamwelewi ? Tukiwaambia majitu ya ccm majiz hamwamini ? angalia wanavyokamatana uchawi kudadeki
 
Ahaa si alisema Bunge ni dhaifu halina uwezo wa kusimamia serikali

na ndungai akabisha lakin ye mwenyewe katuonyesha kuwa bunge ni dhaifu alikuwa anajua mikataba ni mibovu lakini hawez kusema sababu anamwogopa magufuli huo pia ni udhaifu
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…