serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Ben sanane mlimpeleka wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Watu wa chato mbona mnakuwa wakali na matusi juu, shida nini?We Ku.ma endelea kuhangaika na mitandao mi nilikua sitegemei Mtu mzee Salary yangu inangia kila mwezi na enjoy maisha hii nafasi niliopo hata aje Rais gani nitaendelea ku enjoy na kula bata
ujumbe mkuu ni kuwa nyaraka hawatoimleta mada, umechanganya madawa Assad Kasema aliomba nyaraka za SGR, Stieglers na Ndege na siyo bandari ya bagamoyo
Msikilize alichosema hapa:
kumbe unategemea salary na wewe ni mnyonge tu pole kwa kufiwa umbwa yoyote anayemshabikia Jiwe ni Opium tu hamna kituWe Ku.ma endelea kuhangaika na mitandao mi nilikua sitegemei Mtu mzee Salary yangu inangia kila mwezi na enjoy maisha hii nafasi niliopo hata aje Rais gani nitaendelea ku enjoy na kula bata
Ujinga mzgoVery incompetent CAG ndio maana wakamtimua anabaki kutafuta huruma tu kwenye media.
Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa
Ulishamalizana nao basi.sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi.Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengin
aseme mumuue?Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Na familia ya Azory Gwanda, na ya Ben Saanane aliwaambia nini......Mh hebu kuwa na hofu ya Mungu! Unamuita Mzoga alieoZa, hata wewe ni Mzoga mtarajiwa! Unajua umebakisha mda gani wa Kuringa hapa Duniani? Have some Respect yule ni Baba wa mtu na wanaumia kuona such Comments kwa Mpendwa wao.
Na baada ya kusema hayo ndugai akawaka Kama make mwenza vile [emoji1787]Ahaa si alisema Bunge ni dhaifu halina uwezo wa kusimamia serikali
Ila naanza kunusa harufu ya kuondoka kwa utawala wa kidikteta na kurudi kwa utawala wa mlegezo. Kikwete yupo active sana na kila kinachosemwa sasa hivi ni calculated movie yake. Huu mradi wa Bagamoyo unapigiwa debe sana na pro Kikwete na haikuna wa kuuzuia. Ni mkataba mbovu wa kuiuza nchi yetu. Wananchi tusidhani kina Ndugai wanatupenda sana kiasi ambacho wanapenda kutuletea vitu vyenye faida.Nimemsikia Prof Assad ,Huyu inatakiwa arudishwe ili aendelee kulitumika taifa.
Amesema ATCL ivunjwe ,ndege ziuzwe maana hamna kitu wanafanya.
Mkataba wa bagamoyo uweke wazi watu wasome na kama kuna vitu vya kukubaliana vinaweza kurekebishwa ili mradi ujengwe.
Kuna kitu hakiingii akilini. Unaposema aliomba maana yake ni nini? Huwa hatuombi nyaraka, huwa tunapewa nyaraja kufanya audit. Ukishaanza audit utakuwa uneshapewa kika unachohitaji, kimeandaliwa kabla hujaja. Wao pia ni wahasibu kama wewe, wanajua mahitaji. Isitoshe tayari una data za mwaka jana na mwaka juzi hii si audit mpya. Kama angesema aliomba nyaraja za SGR, zipi, akanyimwa ningeelewa, lakini alipisema aliomba za SGR NA za ndege NA za barabara nikajua si kweli, these are different audits. Na hasemi ni nyaraka gani, kwa sababu hata jina ni nyaraka, bajeti ni nyaraja, bank statement ni nyaraka, invoice ni nyaraka na risiti ni nyaraka unapewa moja kwa moja kutoka benki au kwa creditor hupitii kwa Magu. Na pale anaposema ana uzoefu na hayo mambo si kweli, ni wa chuo kikuu mtu wa library. Sitashangaa kama hata train hajapanda si mtu wa Bara.
Ikulu haikaguliwa wee MZEE,kama Kuna watu waoga nawe ni mmoja wao,mnapambana na aliyetangulia mbele ya haki siku zote ulikua wapi? Bagamoyo Kuna bandari?Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga
Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua
Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu
anaumia kwerkwerTulia mzee bashiruu
Acha kuishi kwenye kivuli Cha mwendazakeVery incompetent CAG ndio maana wakamtimua anabaki kutafuta huruma tu kwenye media.
hivi hakurireta ritetemeko ira akaishia kura hera za wahanga a.k.a wanyongeanaumia kwerkwer
Mataga yanaumia kwrkwrna
hivi hakurireta ritetemeko ira akaishia kura hera za wahanga a.k.a wanyonge
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine