TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

Kweli ni habari mbaya! Duh! Ni kweli lakini? Oh my Lord, the gold is gone! What a big loss to the Politics of URT!

RIP Prof Baregu!
Alikuwa na akili sana na faida kwa nchi. RIP COMRADE
 
Kwenye misiba yote CCM wana busara sana hawana maneno ya shombo kwa mwendazake

R.I.P Mwendazake
 
Pumzika kwa amani Prof Baregu, mwana mwema wa tumbo la mama Tanganyika
 
View attachment 1816939
Ni habari mbaya ambayo imetokea muda si mrefu.

Aliyekuwa Mhadhiri wa Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, Prof. Mwesiga Baregu amefariki dunia mapema leo.

Prof. Baregu alikuwa pia Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA.

Pia Soma: Prof. Baregu alifukuzwa UDSM kwa sababu za kisiasa, huku Bashiru akiachwa kwakuwa ni CCM
R.I.P Mtani wangu Profesa Baregu, Pole kwa Familia ya Marehemu, Pole kwa Taasisi zote za Elimu ya Juu alizofundisha ikiwemo Chuo Kikuu cha SAUT ( Dar es Salaam Campus ), Pole pia Wanafunzi wote tuliowahi Kufundishwa nae na Pole nyingi kwa Chama chake cha CHADEMA

Wazee Werevu wanapukutika tu nchini.
 
Impact yake katika siasa angalia humu wanavyomlilia kila thread. Hakuna atakayekamtwa kwa kushangilia kifo chake.

1: RIP Prof Baregu; tukiwa members wa UDASA enzi hizo ulikuwa ni mmoja wa pillars za UDASA

2: Poleni sana ndugu wa karibu wa Prof Baregu kwa kuwa karibu sana na msiba huu kuliko sisi wengine wote.

3. Kifo ni njia ya binadamu wote; sote tutakipitia. ila ni bahati mbaya siku za hivi karibuni vifo hasa vya watu maarufu vimekuwa vikitafsiriwa kisiasa zaidi kuliko kutafsiriwa kitaifa. Mmoja akifariki anaitwa mzoga, na mwingine anaiwata shujaa. Mungu wetu ndiye anayetuhukumu, na ikiwezakana tujisuzea kutoa hukuma kwa waliotutangualia.

4. Baregu alikuwa ni intellectual mzuri sana ingawa sijui impact yake kwenye opposition politics ambako alitumia takiba miaka 20.
 
Ni msomi pekee aliekuwa pale chadema!
.
Corona hii ina mambo sana
Hilo la "msomi pekee" unalisema wewe na usinihusishe. Kuna watu wana Elimu za kuokoteza wamejaa CCM mbona huwasemi? Nimekuja kwenye huu Uzi kumuomboleza Mtanzania anayejua maana ya haki, sijaja kwa ajili ya bla bla za siasa zenu za majikidimbwi.
 
Hilo la "msomi pekee" unalisema wewe na usinihusishe. Kuna watu wana Elimu za kuokoteza wamejaa CCM mbona huwasemi? Nimekuja kwenye huu Uzi kumuomboleza Mtanzania anayejua maana ya haki, sijaja kwa ajili ya bla bla za siasa zenu za majikidimbwi.
Sawa mkuu!

Mimi nilifikiri chadema hawafi
 
Mzee huu nilikuwa namkubali sana kwa siasa zake za Kisomi. RIP mzee wangu
 
Back
Top Bottom