mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Alikuwa na akili sana na faida kwa nchi. RIP COMRADEKweli ni habari mbaya! Duh! Ni kweli lakini? Oh my Lord, the gold is gone! What a big loss to the Politics of URT!
RIP Prof Baregu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na akili sana na faida kwa nchi. RIP COMRADEKweli ni habari mbaya! Duh! Ni kweli lakini? Oh my Lord, the gold is gone! What a big loss to the Politics of URT!
RIP Prof Baregu!
Professor Abdallah Safari je?Ni msomi pekee aliekuwa pale chadema!
.
Corona hii ina mambo sana
R.I.P Mtani wangu Profesa Baregu, Pole kwa Familia ya Marehemu, Pole kwa Taasisi zote za Elimu ya Juu alizofundisha ikiwemo Chuo Kikuu cha SAUT ( Dar es Salaam Campus ), Pole pia Wanafunzi wote tuliowahi Kufundishwa nae na Pole nyingi kwa Chama chake cha CHADEMAView attachment 1816939
Ni habari mbaya ambayo imetokea muda si mrefu.
Aliyekuwa Mhadhiri wa Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, Prof. Mwesiga Baregu amefariki dunia mapema leo.
Prof. Baregu alikuwa pia Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA.
Pia Soma: Prof. Baregu alifukuzwa UDSM kwa sababu za kisiasa, huku Bashiru akiachwa kwakuwa ni CCM
1: RIP Prof Baregu; tukiwa members wa UDASA enzi hizo ulikuwa ni mmoja wa pillars za UDASA
2: Poleni sana ndugu wa karibu wa Prof Baregu kwa kuwa karibu sana na msiba huu kuliko sisi wengine wote.
3. Kifo ni njia ya binadamu wote; sote tutakipitia. ila ni bahati mbaya siku za hivi karibuni vifo hasa vya watu maarufu vimekuwa vikitafsiriwa kisiasa zaidi kuliko kutafsiriwa kitaifa. Mmoja akifariki anaitwa mzoga, na mwingine anaiwata shujaa. Mungu wetu ndiye anayetuhukumu, na ikiwezakana tujisuzea kutoa hukuma kwa waliotutangualia.
4. Baregu alikuwa ni intellectual mzuri sana ingawa sijui impact yake kwenye opposition politics ambako alitumia takiba miaka 20.
Hilo la "msomi pekee" unalisema wewe na usinihusishe. Kuna watu wana Elimu za kuokoteza wamejaa CCM mbona huwasemi? Nimekuja kwenye huu Uzi kumuomboleza Mtanzania anayejua maana ya haki, sijaja kwa ajili ya bla bla za siasa zenu za majikidimbwi.Ni msomi pekee aliekuwa pale chadema!
.
Corona hii ina mambo sana
RIP professor.View attachment 1816939
Ni habari mbaya ambayo imetokea muda si mrefu.
Aliyekuwa Mhadhiri wa Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, Prof. Mwesiga Baregu amefariki dunia mapema leo.
Prof. Baregu alikuwa pia Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA.
Pia Soma: Prof. Baregu alifukuzwa UDSM kwa sababu za kisiasa, huku Bashiru akiachwa kwakuwa ni CCM
Mpaka ukiacha kumpigia magoti DjSitahangaika na mamluki
Sawa mkuu!Hilo la "msomi pekee" unalisema wewe na usinihusishe. Kuna watu wana Elimu za kuokoteza wamejaa CCM mbona huwasemi? Nimekuja kwenye huu Uzi kumuomboleza Mtanzania anayejua maana ya haki, sijaja kwa ajili ya bla bla za siasa zenu za majikidimbwi.
Uliopita dept. Of political science IDSM tunamjua huyu. Hakuwa muunga juhudi
CHADEMA wamekufa?Sawa mkuu!
Mimi nilifikiri chadema hawafi
Hakuna msiba mwepesi kwa binadamu yoyote mwenye utu
Pole kwa msiba
Aisee.
Poleni kwa wafiwa.
Apumzike salama mzee.