Kuna jamaa mmoja muhehe nae anatabia ya kujikomba bila sababu kama weweAmbia hicho chanzo chako, Muache gubu na wivu tafuteni na nyie njia za Panya mpate hiyo nafasi kama mnadhani ni upatikanaji wake ni wa hovyo namna hiyo[emoji3][emoji3]
Walimu msipoacha majungu mtaendelea kutumikishwa sana inji hii.
Kada yenu kubwa ila hamjitambui!
Nizijue njia zote za panya kwani Mimi Mmakonde?.Wamakonde ndo wanatakiwa kujua njia zote za panya kwasababu ni chakula chao.Unazijua njia za panya zote?!!
Huyo Prof ni mtaalamu wa Mazingira?Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nizijue njia zote za panya kwani Mimi Mmakonde?.Wamakonde ndo wanatakiwa kujua njia zote za panya kwasababu ni chakula chao.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
πππHuyo Prof ni mtaalamu wa Mazingira?
Nimezinasa hizi taarifa jana kwamba huyu mkurugenzi alimkwida shati huyo mwalimu mkuu lakini source ni kishegwe ushauri wa bule kwa mkurugenzi tunafahamu kwamba ulifanya maamuzi kwa hasira tunajua una busara lakini kuwa makini na mshauri wako ulichomfanyia yule kijana si uungwana mbaya zaidi unampa na adhabu juu kuna mambo yakiwekwa wazi wewe ndiye inastahili adhabu.Ushauri wa bure kwa mkurugenzi wa wilaya ya chamwino kuwa makini na afisa elimu msingi kishegwe kitendo cha aibu ulichomfanyia yule kijana mwalimu mkuu na ukajihami kwa kumuadhibu hakivumiliki kuwa makini na huyo mshauri wako uchunguzi ukifanyika juu ya uchelewaji wa ujenzi wa fedha za uvico mzembe ni wewe!
ππ Hakika mkuuπ§π§
Jana mkurugenzi wa wilaya ya chamwino kamdunda tena mtumishi kijiji cha manchali kisa hakieleweki,wiki chache zilizopita alimdunda mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali na kumshusha cheo,ni kweli ukichunguza tatizo la miradi mingi ya ujenzi wilaya ya chamwino kutokamilika kwa wakati ni maamuzi ya hovyo yenye halufu ya upigaji ni kwanini vifaa vyote vya ujenzi vinunuliwe na kujazana ofisi ya halmashauri?!Hii wilaya ya chamwino uwenda kuna tatizo kubwa na sasa waziri wa tamisemi mh ummy mwalimu ondoa pamba masikioni jana tena kwa mala ya pili baada ya wiki kama tatu mkurugenzi wa wilaya ya chamwino kampiga mtumishi,mh rais ametoa pesa za ujenzi kwa maendeleo ya nchi hakuagiza viongozi wawapige watumishi wa chini,kosa wafanye wao viongozi kununua vifaa vote vya ujenzi na kuvirundika ofisi ya halmashauri ujenzi unaposhindwa kukamilika kwa wakati mkurugenzi anawapiga watumishi.
wekeni picha yake hapa
Huyu mchawi kazingua tenaInamaana bado yupo ofisini!
Hii serikali ipo serious na elimu ya watoto wetu?
Ni muda muhafaka Sasa mkuu wa mkoa dodoma aambiwe huyu mama ni keto wilaya ya CHAMWINO udikteta umepitwa na wakatiUnamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Ana sura ya mbuziwekeni picha yake hapa
Picha mkuuπ€£π€£π€£Ana sura ya mbuzi
Flat screenHakosi chura huyo
Ova